Viongozi wa yanga kwenye hili la timu ya wanawake mmelala usingizi wa pono amkeni mnatuaibisha

Viongozi wa yanga kwenye hili la timu ya wanawake mmelala usingizi wa pono amkeni mnatuaibisha

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nimeifuatilia hii timu ya wanawake kwa mda mrefu lakini naona viongozi ni Kama vile wameitelekeza, awaweki nguvu kuakikisha hii timu inakuwa stable kiushindani, aiwezekani timu inakuwa inafungwa tu kiholela na simba kila wanapokutana karibia msimu wa 4 sasa akuna mbinu mbadala ya kujinasua na kuleta ushindani, leo Hii kocha Edna lema anahojiwa anaongea pumba eti ingekuwa inafundishwa na mwanaume ingeshinda!!! Kwaiyo mwanaume ndo angeingia uwanjani kufunga magoli au kitu gani? Anashindwa kuongea ukweli timu inatakiwa ifanye usajili wa maana kwa wachezaji wenye uwezo wa kuichezea yanga na sio kuokota wachezaji ilimradi kujaza nafasi, kocha lema ni mzuri lakini inaonekana apewi ushirikiano wa kutosha kuitengeneza timu ya kiushindani na yeye anabaki kusononeka moyoni, simba wao timu yao waliitengeneza mda mrefu wakaweka nguvu na sapoti kubwa kwenye ile timu ndo maana wanafanya vizuri lakini yanga princes ilitelekezwa na haipewi kipaumbele ni bora ivunjwe tujue moja, kwa hili viongozi mmetuangusha Sana tena sana, fanyeni jambo kwenye timu ya awa dada zetu tuepuke hii aibu ya kuwa wateja kwa simba kila tunapokutana
 
hata timu ya wanaume bila fitina na rushwa kutoka jiesmu ni ngumu sana kushindana na simba nchi hii!
Kwenye ilo umepuyanga, gsm ndo iliwazuia kusajili vizuri? Gsm ndo inamuelekeza kibu denis apige mashuti nje ya goli kana kwamba anaua nyoka? Gsm ndo aliyewaambia muuze wachezaji wawili msajili kumi na mbili? Hii hoja yako haina mashiko, ukisemea rushwa basi simba ndio waasisi wa rushwa kwenye mpira rejea misimu 3 nyuma Mo alikuwa anafanya nini, Kama mlikuwa mnapata ubingwa kwa njia iyo basi auna uhalali wa kuilaumu gsm maana ata ushahidi wa icho unachokisema auna but jielekezeni kwenye kutengeneza timu maana ata nikikuuliza ni wachezaji wangapi wa simba wanaweza kuingia kikosi cha kwanza cha yanga ya sasa autanipa majibu yanayoeleweka sasa jeuri ya kusema yanga inatoa rushwa kupata ushindi sijui unaitoa wapi!
 
Kwenye ilo umepuyanga, gsm ndo iliwazuia kusajili vizuri? Gsm ndo inamuelekeza kibu denis apige mashuti nje ya goli kana kwamba anaua nyoka? Gsm ndo aliyewaambia muuze wachezaji wawili msajili kumi na mbili? Hii hoja yako haina mashiko, ukisemea rushwa basi simba ndio waasisi wa rushwa kwenye mpira rejea misimu 3 nyuma Mo alikuwa anafanya nini, Kama mlikuwa mnapata ubingwa kwa njia iyo basi auna uhalali wa kuilaumu gsm maana ata ushahidi wa icho unachokisema auna but jielekezeni kwenye kutengeneza timu maana ata nikikuuliza ni wachezaji wangapi wa simba wanaweza kuingia kikosi cha kwanza cha yanga ya sasa autanipa majibu yanayoeleweka sasa jeuri ya kusema yanga inatoa rushwa kupata ushindi sijui unaitoa wapi!
Atakwambia kua
Bocco atachukua nafasi ya Mayele
Kibu =Moloko
Mkude = Bangala
Kanoute =Aucho
Wawa = Mwamnyeto
 
Kwenye ilo umepuyanga, gsm ndo iliwazuia kusajili vizuri? Gsm ndo inamuelekeza kibu denis apige mashuti nje ya goli kana kwamba anaua nyoka? Gsm ndo aliyewaambia muuze wachezaji wawili msajili kumi na mbili? Hii hoja yako haina mashiko, ukisemea rushwa basi simba ndio waasisi wa rushwa kwenye mpira rejea misimu 3 nyuma Mo alikuwa anafanya nini, Kama mlikuwa mnapata ubingwa kwa njia iyo basi auna uhalali wa kuilaumu gsm maana ata ushahidi wa icho unachokisema auna but jielekezeni kwenye kutengeneza timu maana ata nikikuuliza ni wachezaji wangapi wa simba wanaweza kuingia kikosi cha kwanza cha yanga ya sasa autanipa majibu yanayoeleweka sasa jeuri ya kusema yanga inatoa rushwa kupata ushindi sijui unaitoa wapi!
Yanga unayoizungumzia hapa siyo hii inayocheza uwanjani....
Hii ni yanga iliyopo kichwani mwako
 
Kwenye ilo umepuyanga, gsm ndo iliwazuia kusajili vizuri? Gsm ndo inamuelekeza kibu denis apige mashuti nje ya goli kana kwamba anaua nyoka? Gsm ndo aliyewaambia muuze wachezaji wawili msajili kumi na mbili? Hii hoja yako haina mashiko, ukisemea rushwa basi simba ndio waasisi wa rushwa kwenye mpira rejea misimu 3 nyuma Mo alikuwa anafanya nini, Kama mlikuwa mnapata ubingwa kwa njia iyo basi auna uhalali wa kuilaumu gsm maana ata ushahidi wa icho unachokisema auna but jielekezeni kwenye kutengeneza timu maana ata nikikuuliza ni wachezaji wangapi wa simba wanaweza kuingia kikosi cha kwanza cha yanga ya sasa autanipa majibu yanayoeleweka sasa jeuri ya kusema yanga inatoa rushwa kupata ushindi sijui unaitoa wapi!
Maisha haya, Eti leo washabiki wa Yanga wanashauri Simba wafanye usajiri mzuri...!

Pale ambapo kipofu amefanikiwa kuona,cha kwanza kukiongelea ni kutoa kasoro Kwa fundi aliepaka rangi jengo la hospital
 
Kweli u mbumbumbu ni mzigo yaani kwenye powerhouse ya Yanga Kuna Bangala, Aucho, na Mauya kwenye striking Kuna Mayele, Feisal, Moloko na Ntibazonkiza.
Simba kwenye kiungo Wana mkude, mzamiru na Kanute mbele una kibu, sakho, Kagere na Morrison alafu unataka uwe Bingwa ivi iyo ni akili au matope? Kitendo Cha Simba kuto kutambua imejaza wavulana na inataka ubingwa uo ni u mbumbumbu ulio kubuhu.
 
Kweli u mbumbumbu ni mzigo yaani kwenye powerhouse ya Yanga Kuna Bangala, Aucho, na Mauya kwenye striking Kuna Mayele, Feisal, Moloko na Ntibazonkiza.
Simba kwenye kiungo Wana mkude, mzamiru na Kanute mbele una kibu, sakho, Kagere na Morrison alafu unataka uwe Bingwa ivi iyo ni akili au matope? Kitendo Cha Simba kuto kutambua imejaza wavulana na inataka ubingwa uo ni u mbumbumbu ulio kubuhu.
Ukizeeka utakuwa mchawi wewe. Uchambuzi wako ni wa kinazi zaidi. Kwa mpira gani wanaoucheza Yanga hadi uwape ubingwa mechi 11 Kati ya 30.? Tusubiri , muda ni hakimu utahukumu.
 
Simba Ina ma Tomas Karume wa kutosha tu, Sasa Kama humjui Tomas Karume ni nani pale Simba wewe bado ni mchanga kwenye soka la bongo.
 
Kwenye ilo umepuyanga, gsm ndo iliwazuia kusajili vizuri? Gsm ndo inamuelekeza kibu denis apige mashuti nje ya goli kana kwamba anaua nyoka? Gsm ndo aliyewaambia muuze wachezaji wawili msajili kumi na mbili? Hii hoja yako haina mashiko, ukisemea rushwa basi simba ndio waasisi wa rushwa kwenye mpira rejea misimu 3 nyuma Mo alikuwa anafanya nini, Kama mlikuwa mnapata ubingwa kwa njia iyo basi auna uhalali wa kuilaumu gsm maana ata ushahidi wa icho unachokisema auna but jielekezeni kwenye kutengeneza timu maana ata nikikuuliza ni wachezaji wangapi wa simba wanaweza kuingia kikosi cha kwanza cha yanga ya sasa autanipa majibu yanayoeleweka sasa jeuri ya kusema yanga inatoa rushwa kupata ushindi sijui unaitoa wapi!
Utopolo hii ni PRESHA YA 2025.

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Simba wanafanya usajiri na wamekuwa wakiboresha benchi la ufundi mara kwa mara.

Yanga wanatumia uzoefu kushiriki. Pia sikuona umuhimu wa kumrejesha Edna Lema. Walipaswa watafute kocha mwenye uwezo kuliko yeye.
 
Mkiambiwa mchange "Tozo ya jisiem" hamtaki....
Hela hakuna, inaonekana jisiem alivyowagawia jezi tu akapotea, hawapi posho.
Afu sajilini wachezaji acheni uhuni....huu mnaofanya saiv.
Mnakusanya matomboy wanaojua kupiga mpira mbele, ndio mnaiita team.
 
hata timu ya wanaume bila fitina na rushwa kutoka jiesmu ni ngumu sana kushindana na simba nchi hii!
Hakuna timu inayochukua ligi kuu bila fitina na ulozi hata uwe na kikosi kizuri vp uliza uambiwe
 
Yanga unayoizungumzia hapa siyo hii inayocheza uwanjani....
Hii ni yanga iliyopo kichwani mwako
Inayocheza uwanjani ni ipi na ninayoizungumzia ni ipi, mpira unachezwa uwanjani hadharani tunaona kama timu yako ni mbovu utaona ni mbovu tu na Kama timu ni nzuri utaona uwanjani na sio wivu wa kike auwezi kukusaidia chochote sana Sana utaendelea kuumia tu pasipokuwa na sababu za msingi
 
Back
Top Bottom