Viongozi wa Yanga nawapa pongezi kwa kufanya mambo kimyakimya bila kuwajibu wanaowazodoa

Viongozi wa Yanga nawapa pongezi kwa kufanya mambo kimyakimya bila kuwajibu wanaowazodoa

Wewe shabiki makande tena makande ya kilabuni huwezi kuwazuia wahandishi wa habari za michezo kupata za ndani hata siku moja mtu kama ricardo momo au dickson job au anuary binde au shaffii dauda unamzuiaje asipate habari za ndani kutoka yanga.

Na kwa taarifa yako moalini anaenda yanga kuwa msaidizi wa kocha mpya anayekuja.

Gamondi kapewa mechi tatu tu za kimataifa za kumuangalia akizingua wanamtimua akipafomu wanampa muda amalize mkataba wake unaoisha mwakani apite hivi.
 
Tuthibitishie kwa vitendo yanga atashinda mechi zote 20 zilizobakia na simba atafungwa mechi zote 20 zilizobakia acha porojo.

Msimu uliopita kwenye mechi 10 za mwanzo ulikuwa umeshinda mechi 9 alama 27, na magoli 30 ukifungwa mechi 1 tu.

Hadi sasa hivi umecheza mechi 10,umefungwa 2,umeshinda 8,alama 24,magoli 14 ya kufunga,4 ya kufungwa halafu unacheza mpira mbovu unafunga magoli ya offside, halafu unajamba jamba tu hapa ooh tutashinda tutashinda,shinda tuone acha kujinyea nyea.

Kwa akili yako fupi unadhani simba hii ndo simba ile mbovu ya wazee ambao hawawezi kukimbia,kukaba,kushambulia,hawana ari,morari wapo kama mazombi tu.

Hii simba ni bora 3 times compared to the last season so usitegemee simba itadondosha alama kirahisi na ukijichanganya ukafirimbwa ukizidiwa alama 4 au 5 inaweza ikaisha ivo ivo.

Acha kuishi kwa mazoea kuti la mazoea ndiyo linalomuangushaga mgema.
Unaongea vitu Gani wewe mbona ueleweki? Umesoma vizuri kilichoandikwa au umekurupuka tu kutoka kwenye ulanzi? Nani kaongelea habari ya kushinda sijui mechi 20 hapo? Nimeupongeza uongozi wa yanga kwa utulivu wao wewe unaleta ujinga wako na vitakwimu za kipuuzi, Mangungu alikuwa sahihi kukataa kujiuzulu awezi kupelekeshwa na empty brain kama hizi ambazo azijui ata kuchanganua mambo!
 
Wewe shabiki makande tena makande ya kilabuni huwezi kuwazuia wahandishi wa habari za michezo kupata za ndani hata siku moja mtu kama ricardo momo au dickson job au anuary binde au shaffii dauda unamzuiaje asipate habari za ndani kutoka yanga.

Na kwa taarifa yako moalini anaenda yanga kuwa msaidizi wa kocha mpya anayekuja.

Gamondi kapewa mechi tatu tu za kimataifa za kumuangalia akizingua wanamtimua akipafomu wanampa muda amalize mkataba wake unaoisha mwakani apite hivi.
Gamond alikufata nyumbani kwako kukuhadithia kwamba kapewa mechi 3?
 
Hii kitu nimeipenda sana, viongozi wa yanga wamepata shutuma za Kila aina wiki hizi tatu, timu ya yanga imechambuliwa na Kila mchambuzi na maneno yake, kocha kafukuzwa na wachambuzi, lawama za Kila aina zimerushwa kwa yanga baada ya kupoteza mechi 2 dhidi ya Azam na Tabora united, lakini akuna kiongozi yoyote wa yanga aliyetoka kauli yoyote juu ya ayo yote!

Wamekaa kimya wakiendelea kuyafanyia kazi yale yote yanayotakiwa kufanyiwa kazi,
Wanafanya mipango yao kiuweledi na sio kupayukapayuka ovyo, tunajua Kuna wachambuzi wako kwenye payroll ya klabu Fulani wanajaribu kuchokonoa kujua kinachoendelea ili waupate cha kuandika kwenye mitandao yao lakini wamepigwa Pini awajui chochote wamebaki kuwa watabiri kama waganga wa kienyeji, Leo wanapost hiki kesho wanaposti kile awaeleweki!

Viongozi wameamua kunyamaza kufanya tathmini ya kina kujua ni wapi waliteleza na ni wapi warekebishe baada ya hapo Kuna kitu kinatengenezwa na watu watafunga Tena midomo waanze habari za gsm anaharibu ligi!
Wakati huu wako kimya wanakenua na meno yote 32 yanaonekana lakini wakianza kupoteana utaanza kusikia zile KELELE zinaibuka Tena za gsm anaharibu ligi!

Viongozi chapeni kazi nafikiri mmeona wanafiki wengi kipindi hiki, wanataka mpoteane wafurahie kwa maana iyo akuna habari za gsm anaharibu ligi bali ni wivu unawasumbua mkirudi kuanza ligi msicheke na kima iwe ni mwendo wa kata funua mpaka mwisho!
Umeongea vyema, ila ukimwa na vitendo uendane na matokeo. Kuna wachezaji wanahitaji wahakikishe wamebadilika au wawapige chini, katika wachezaji hao Aziz K ni mmoja wao. Pumbavu zake kabisa
 
Unaongea vitu Gani wewe mbona ueleweki? Umesoma vizuri kilichoandikwa au umekurupuka tu kutoka kwenye ulanzi? Nani kaongelea habari ya kushinda sijui mechi 20 hapo? Nimeupongeza uongozi wa yanga kwa utulivu wao wewe unaleta ujinga wako na vitakwimu za kipuuzi, Mangungu alikuwa sahihi kukataa kujiuzulu awezi kupelekeshwa na empty brain kama hizi ambazo azijui ata kuchanganua mambo!
 
Ricardo momo alinipigia simu akaniambia kama tu alivyoniambia molini anaenda yanga.
Ricardo momo ndio mdudu Gani pale yanga? Unameza Kila aina ya udaku alafu unatuletea hapa!
 
Tuthibitishie kwa vitendo yanga atashinda mechi zote 20 zilizobakia na simba atafungwa mechi zote 20 zilizobakia acha porojo.

Msimu uliopita kwenye mechi 10 za mwanzo ulikuwa umeshinda mechi 9 alama 27, na magoli 30 ukifungwa mechi 1 tu.

Hadi sasa hivi umecheza mechi 10,umefungwa 2,umeshinda 8,alama 24,magoli 14 ya kufunga,4 ya kufungwa halafu unacheza mpira mbovu unafunga magoli ya offside, halafu unajamba jamba tu hapa ooh tutashinda tutashinda,shinda tuone acha kujinyea nyea.

Kwa akili yako fupi unadhani simba hii ndo simba ile mbovu ya wazee ambao hawawezi kukimbia,kukaba,kushambulia,hawana ari,morari wapo kama mazombi tu.

Hii simba ni bora 3 times compared to the last season so usitegemee simba itadondosha alama kirahisi na ukijichanganya ukafirimbwa ukizidiwa alama 4 au 5 inaweza ikaisha ivo ivo.

Acha kuishi kwa mazoea kuti la mazoea ndiyo linalomuangushaga mgema.
Wewe na yeye wala hamna tofauti, wote mnaongea kiunazi. Ligi ya safari hii sio nyepesi sio kwa Simba wala sio kwa Yanga, umesahau Simba imepata point 3 kwa Mashujaa dakika za jioooooni kabisa. Kushinda mechi iliyofuata dhidi ya KMC kumewasaulisha jinsi ligi ilivyo ngumu.
 
Wewe na yeye wala hamna tofauti, wote mnaongea kiunazi. Ligi ya safari hii sio nyepesi sio kwa Simba wala sio kwa Yanga, umesahau Simba imepata point 3 kwa Mashujaa dakika za jioooooni kabisa. Kushinda mechi iliyofuata dhidi ya KMC kumewasaulisha jinsi ligi ilivyo ngumu.
Mtoto mdogo wewe umezaliwa jana huwezi kunielewa. Kunywa uji ukalale. Kuna sehemu nimesema simba hawezi kufungwa au haujui kusoma?
 
Ricardo momo ndio mdudu Gani pale yanga? Unameza Kila aina ya udaku alafu unatuletea hapa!
Hapo ulipo huna kadi ya uanachama na hakuna anayekujua ndani ya yanga na kama unayo weka hapa kuna laki 1 moja yako.
 
Sasa Kama Umekwisha pata Wadau Wanaozungumza Ya Kwako Na Ukicheki Kiundani Hayawahusu na Wanayo Ya Kwao Pia ambayo Wanapaswa Kuyazungumzia,,Utazungumza Nini??
 
Mbumbumbu wanaruka na kukanyagana ila wangejua kinacho fuata, wata toa Kila aina ya mlio na hakuna atakaye wasikia.
 
Viongozi wameamua kunyamaza kufanya tathmini ya kina kujua ni wapi waliteleza
Ni vizuri umejua kuwa waliteleza maana hata simba inavyofanya vibaya ni kuteleza huko huko ambako mlikuwa mnafurahia hadi hizi mechi mbili zilizowafanya mvurugane.
 
Hii kitu nimeipenda sana, viongozi wa yanga wamepata shutuma za Kila aina wiki hizi tatu, timu ya yanga imechambuliwa na Kila mchambuzi na maneno yake, kocha kafukuzwa na wachambuzi.

Lawama za Kila aina zimerushwa kwa yanga baada ya kupoteza mechi 2 dhidi ya Azam na Tabora united, lakini hakuna kiongozi yoyote wa Yanga aliyetoka kauli yoyote juu ya hayo yote!

Wamekaa kimya wakiendelea kuyafanyia kazi yale yote yanayotakiwa kufanyiwa kazi,
Wanafanya mipango yao kiuweledi na sio kupayukapayuka ovyo.

Tunajua Kuna wachambuzi wako kwenye payroll ya klabu Fulani wanajaribu kuchokonoa kujua kinachoendelea ili waupate cha kuandika kwenye mitandao yao lakini wamepigwa Pini hawajui chochote wamebaki kuwa watabiri kama waganga wa kienyeji, Leo wanapost hiki kesho wanaposti kile awaeleweki!

Viongozi wameamua kunyamaza kufanya tathmini ya kina kujua ni wapi waliteleza na ni wapi warekebishe baada ya hapo Kuna kitu kinatengenezwa na watu watafunga Tena midomo waanze habari za gsm anaharibu ligi!

Wakati huu wako kimya wanakenua na meno yote 32 yanaonekana lakini wakianza kupoteana utaanza kusikia zile KELELE zinaibuka Tena za gsm anaharibu ligi!

Viongozi chapeni kazi nafikiri mmeona wanafiki wengi kipindi hiki, wanataka mpoteane wafurahie kwa maana iyo akuna habari za GSM anaharibu ligi bali ni wivu unawasumbua mkirudi kuanza ligi msicheke na kima iwe ni mwendo wa kata funua mpaka mwisho!
Nawapongeza kwani waliona aibu kujibu kwa matendo ya aibu wanayofanya
 
Back
Top Bottom