Viongozi wa Yanga tunajua pesa ya pre season hamna tuwekeni wazi mashabiki tuchangie

Viongozi wa Yanga tunajua pesa ya pre season hamna tuwekeni wazi mashabiki tuchangie

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Inauma kuona wenzetu Simba tayari wameshaanza maandalizi ya msimu unaokuja alafu sisi bado tuna tunapishana kwenye kumbi za harusi hii inaonyesha ni jinsi gani hatupo serious na ligi na mashindano ya kimataifa.

Sisi kama mashabiki tunajua pesa yote imeishia kwenye usajili na pesa ya pre season hatuna, tunamuomba Rais wetu mtukufu asione aibu kupitisha bakuli ili timu ipate pesa ya kunza pre season mara moja.

Nawahakikishia viongozi wetu mkiketa Masihara kwenye hili suala sisi mashabiki hatuta mvimilia yeyote.

Daima mbele nyuma mwiko.
 
Tukutane tarehe 13 tuone wale wenye fedha nyingi walioweka Kambi nje ya nchi na wale ambao fedha zimeisha Kwa kumsajili Aziz K nani ataibuka mmbabe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Matombo kumenougaaaah!!!!!
 
Inauma kuona wenzetu Simba tayari wameshaanza maandalizi ya msimu unaokuja alafu sisi bado tuna tunapishana kwenye kumbi za harusi hii inaonyesha ni jinsi gani hatupo serious na ligi na mashindano ya kimataifa.

Sisi kama mashabiki tunajua pesa yote imeishia kwenye usajili na pesa ya pre season hatuna, tunamuomba Rais wetu mtukufu asione aibu kupitisha bakuli ili timu ipate pesa ya kunza pre season mara moja.

Nawahakikishia viongozi wetu mkiketa Masihara kwenye hili suala sisi mashabiki hatuta mvimilia yeyote.

Daima mbele nyuma mwiko.
Kolo kama kolo
 
Eti kwenye kumbi za Harusi..haahaaaah
 
Inauma kuona wenzetu Simba tayari wameshaanza maandalizi ya msimu unaokuja alafu sisi bado tuna tunapishana kwenye kumbi za harusi hii inaonyesha ni jinsi gani hatupo serious na ligi na mashindano ya kimataifa.

Sisi kama mashabiki tunajua pesa yote imeishia kwenye usajili na pesa ya pre season hatuna, tunamuomba Rais wetu mtukufu asione aibu kupitisha bakuli ili timu ipate pesa ya kunza pre season mara moja.

Nawahakikishia viongozi wetu mkiketa Masihara kwenye hili suala sisi mashabiki hatuta mvimilia yeyote.

Daima mbele nyuma mwiko.
Kweli kabisa! Hata sisi mashabiki hatuta mvimilia kolo yeyote yule atakaye jigeuza kuwa mwananchi.
 
Ngoja mechi zianze hiyo kambi ya Misri mtaikimbia.
Hawa jamaa dakika 0 tu watawageuka viongozi wao kwa kuipeleka timu Misri, halafu inafungwa na timu zilizoweka kambi Matombo Morogoro.
 
Naskia wako matombo wanatomb*na na bwana hersi aka mzee wa kula kina kabwili na kafeisal[emoji22][emoji22][emoji22]sjapenda lakini
 
Back
Top Bottom