Viongozi wa Yanga wajifunze, una mechi muhimu ya kimataifa, unashiriki vikao vya CCM?

Nilimuona Bacca akaenda pembeni ya uwanja, akaweka mswala na kufanya swala
 
Ni dhambi kuisema laana hadharani?

Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana

Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao wameshiriki kilekile kinachowastahili ccm
Kwani hao viongozi ndio wanacheza uwanjani? Ndio maana kuna shabiki wa utopolo nilikua nimekaa nae karibu kamtukana kocha huku macho kayatoa, "Huyu kocha si amuingize Kibu Dennis ndio dakika zake, nikamjibu kwa upole Kibu Dennis haruhusiwi kucheza huku kwani yeye yuko Simba namuona kanyweea huku akivuta punzi ndefu🤣🤣🤣
 
Ni dhambi kuisema laana hadharani?

Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana

Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao wameshiriki kilekile kinachowastahili ccm
na wa simba nao wameshiriki, itakuaje?
 
Kwa hiyo wangeingia vya CHADEMA? Anzisheni CHADEMA FC ili viongozi wake wasiwe wanaingia vikao vya CCM.
 
Fuatilia picha za wachezajj yanga kukagua uwanja kabla ya mechi, zile earphone zinatosha kukwambia ni washamba kiasi gani. Unamechi ngum, unapewa fursa ya kukagua uwanja, unaweka phone masikioni unaperuzi huku unazunguka uwanja
 
Shida ya yanga walijiona wakubwa sana wakasau kuwa bado hawajafuzu
 
Kiongozi yupi wa Yanga aliyeshiriki kikao Cha CCM!!
Maana isijekua ni hoja za ki mbumbumbu?
Eng Hersi na Gsm wameonekana jukwaani dodoma saa saba mchana, pia kwa mkapa wakawepo
 
Kiongozi yupi wa Yanga aliyeshiriki kikao Cha CCM!!
Maana isijekua ni hoja za ki mbumbumbu?
Eng Hersi na Gsm wameonekana jukwaani dodoma saa saba mchana, pia kwa mkapa wakawepo
 
Ni dhambi kuisema laana hadharani?

Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana

Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao wameshiriki kilekile kinachowastahili ccm
Maumivu ya kichadema.
 
Ni dhambi kuisema laana hadharani?

Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana

Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao wameshiriki kilekile kinachowastahili ccm
Ni dhambi kuisema laana hadharani?

Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana🤣🤣🤣
 
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Yanga ni wapumb°vu sana, muda ambao wenzao wanaandaa team wao walikuwa bize kwenye foleni za supu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…