Wametambulishwa leo dodoma ili kutambuwa uwepo wao na baadae wakarudi darEngineer alikuwepo kwa Mkapa Labda kama ulimaanisha Mangungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wametambulishwa leo dodoma ili kutambuwa uwepo wao na baadae wakarudi darEngineer alikuwepo kwa Mkapa Labda kama ulimaanisha Mangungu
Hesi SaidiKiongozi yupi wa Yanga aliyeshiriki kikao Cha CCM!!
Maana isijekua ni hoja za ki mbumbumbu?
Kutambulishwa Dodoma hakujamfanya yeye kutohudhuria mechi.Wametambulishwa leo dodoma ili kutambuwa uwepo wao na baadae wakarudi dar
Kwani hao viongozi ndio wanacheza uwanjani? Ndio maana kuna shabiki wa utopolo nilikua nimekaa nae karibu kamtukana kocha huku macho kayatoa, "Huyu kocha si amuingize Kibu Dennis ndio dakika zake, nikamjibu kwa upole Kibu Dennis haruhusiwi kucheza huku kwani yeye yuko Simba namuona kanyweea huku akivuta punzi ndefu🤣🤣🤣Ni dhambi kuisema laana hadharani?
Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana
Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao wameshiriki kilekile kinachowastahili ccm
na wa simba nao wameshiriki, itakuaje?Ni dhambi kuisema laana hadharani?
Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana
Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao wameshiriki kilekile kinachowastahili ccm
Kwa hiyo wangeingia vya CHADEMA? Anzisheni CHADEMA FC ili viongozi wake wasiwe wanaingia vikao vya CCM.Kabla ya Game muhimu ya leo ya Yanga na MC Alger kupigwa kulikuwa na Mkutano wa CCM Dodoma wenye lengo la Kumteua Steven Wassira kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mkutano uliopuuzwa kabisa na Wananchi wote
Huwezi kuwa na mechi kama hii ukaingia kwenye vikao kama hivyo halafu ukategemea ushindi.
Mmevuna mlichopanda
Eng Hersi na Gsm wameonekana jukwaani dodoma saa saba mchana, pia kwa mkapa wakawepoKiongozi yupi wa Yanga aliyeshiriki kikao Cha CCM!!
Maana isijekua ni hoja za ki mbumbumbu?
Eng Hersi na Gsm wameonekana jukwaani dodoma saa saba mchana, pia kwa mkapa wakawepoKiongozi yupi wa Yanga aliyeshiriki kikao Cha CCM!!
Maana isijekua ni hoja za ki mbumbumbu?
Gharib saidi pamoja na injinia hersi.Kiongozi yupi wa Yanga aliyeshiriki kikao Cha CCM!!
Maana isijekua ni hoja za ki mbumbumbu?
Maumivu ya kichadema.Ni dhambi kuisema laana hadharani?
Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana
Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao wameshiriki kilekile kinachowastahili ccm
Ni dhambi kuisema laana hadharani?Ni dhambi kuisema laana hadharani?
Kila mshirika wa moja kwa moja CCM, anasitahili laana
Kilichotokea leo ni matokeo ya viongozi wa Yanga kushiriki vikao na waliokataliwa na Mungu na wao wameshiriki kilekile kinachowastahili ccm