Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Wewe ni mtoto wa mwsho ?Maana naona ni kama Waziri Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwa sababu ya Korona au hawakuona umuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA?
Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame, nao wamegoma?
Nakumbuka alipokufa Moi Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au.
Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe, hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao.
View attachment 1519387
Kwaheri mzee Baba, Watanzania tunatosha.
Wasilipize kwa JPM Mbona BMW na JK Walikuwa anaenda sana kwaocounterpart wao kahudhuria msiba nchi gani?
tuanze na hapo kwanza...
Cheap reasons
Acha madharau mkuu 😡 😡Wewe ni mtoto wa mwsho ?
Kama sio , mbona unapenda sana kudeka deka na kupetiwa petiwa
Hawa wanachukulia huu msiba kama misiba yao ya uswahilini, jirani asipokuja basi unanuna mwaka mzima.Haya ni mawazo yako, ushirikiano kati ya nchi na nchi ni jambo kubwa kuliko msiba. Hivi mtu kama ametuma salamu za rambirambi na kupepea bendera ya nchi yake nusu mlingoti kwa siku tatu bado haitoshi tu?
Shida ipo mkuu JPM hutuma watu wazito kama walivyofanya BURUNDIMagufuli uwa anatuma wawakilishi na yeye anatumiwa wawakilishi. Kuna shida hapo?
labda wanasubiri tukipata rais mwingine ndiposa waanze kuja tena.Wasilipize kwa JPM Mbona BMW na JK Walikuwa anaenda sana kwao
Kenyetta jana alisema nchi yake ina fuata demokrasia na haiwezi kuacha kutangaza hali ya korona nchini kwake kwa kuzuia vyombo vya habari kutangaza. Sasa hilo jiwe unadhani lilitupwa wapi?Maana naona ni kama Waziri Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwa sababu ya Korona au hawakuona umuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA?
Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame, nao wamegoma?
Nakumbuka alipokufa Moi Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au.
Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe, hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao.
View attachment 1519387
Kwaheri mzee Baba, Watanzania tunatosha.
Unakomalia Kenya, vipi kuhusu Uganda na Rwanda? Malawa, ZambiaHaya ni mawazo yako, ushirikiano kati ya nchi na nchi ni jambo kubwa kuliko msiba. Hivi mtu kama ametuma salamu za rambirambi na kupepea bendera ya nchi yake nusu mlingoti kwa siku tatu bado haitoshi tu?
Maana naona ni kama Waziri Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwa sababu ya Korona au hawakuona umuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA?
Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame, nao wamegoma?
Nakumbuka alipokufa Moi Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au.
Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe, hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao.
View attachment 1519387
Kwaheri mzee Baba, Watanzania tunatosha.
Maana naona ni kama Waziri Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwa sababu ya Korona au hawakuona umuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA?
Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame, nao wamegoma?
Nakumbuka alipokufa Moi Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au.
Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe, hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao.
View attachment 1519387
Kwaheri mzee Baba, Watanzania tunatosha.
Achana na korona mzee. hata NZIGE waliipenda Kenya wakaguezia Rombo wakarudi zao KenyaKenyetta jana alisema nchi yake ina fuata demokrasia na haiwezi kuacha kutangaza hali ya korona nchini kwake kwa kuzuia vyombo vya habari kutangaza. Sasa hilo jiwe unadhani lilitupwa wapi?
Tuna jiaibisha kwa vitu vidogo sana..
Kenyatta hapendi unafiki,, watanzania wengi tuna unafiki wa kuwango cha juu,,,Kenyatta: Kenya isilinganishwe na nchi zinazoficha takwimu za Corona ambazo pia hazina uhuru wa habari na demokrasia. Yani Tanzania iliyokuwa ya mfano inapigwa madongo na Kenya.
Kenyatta hawezi kuja kwenye nchi ya hivyo.
Fafanua kidogo Mzee baba umeishia njianiUngeelewa na hata Kubobea tu katika Itifaki na Principles zake Kuu wala usingeshangaa kutowaona leo akina Rais Museveni na Rais Kagame Mkuu.
Sio lazima waje leo.Maana naona ni kama Waziri Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwa sababu ya Korona au hawakuona umuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA?
Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame, nao wamegoma?
Nakumbuka alipokufa Moi Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au.
Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe, hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao.
View attachment 1519387
Kwaheri mzee Baba, Watanzania tunatosha.
so cheap mindCorona
Kagame, Museven walitangaza siku tatu za maombolezo na bendera nusu mlingoti. Sema jingineUnakomalia Kenya, vipi kuhusu Uganda na Rwanda? Malawa, Zambia