Viongozi wanaofaa na wasiofaa kuwa Marais mbeleni

Viongozi wanaofaa na wasiofaa kuwa Marais mbeleni

1> Humphrey Polepole:Kijana huyu ameonyesha uzalendo,misimamo na kutonunulika na hayumbishwi(ANAFAA)
2>Kassim Majaliwa:Licha ya utendaji mzuri alonao katika nafasi yake,lakini ameonyesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa SAMIA kama raisi (HAFAI)

3>PHILIPO MPANGO: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake,lakini naona akishika uraisi atabadilika(ANAFAA)

4>JOSEPHAT GWAJIMA🙁ANAFAA)
NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.

Mimi mtoa mada ni CCM,tena timu MAGUFULI
Kabla ya MAGUFULI ulikua team gani

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mpuuzi kama huyu hafai kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi achilia mbali kuingia Ikulu.

Kosa lipo wapi hapo, mbona nyie mlijisifia kununua au kupewa bus kwa Tundu lisu huko ulaya mkaliweka mpaka kwenye mitandao likiwa na bendela ya M4U ya chadema na mkalitangaza saana mbona hakuna aliyechukia?
Ingawa hilo bus mpaka sasa halijafika TZ.
 
1> Humphrey Polepole:Kijana huyu ameonyesha uzalendo,misimamo na kutonunulika na hayumbishwi(ANAFAA)
2>Kassim Majaliwa:Licha ya utendaji mzuri alonao katika nafasi yake,lakini ameonyesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa SAMIA kama raisi (HAFAI)

3>PHILIPO MPANGO: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake,lakini naona akishika uraisi atabadilika(ANAFAA)

4>JOSEPHAT GWAJIMA🙁ANAFAA)
NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.

Mimi mtoa mada ni CCM,tena timu MAGUFULI
Hawa wote ni wapuuzi hakuna anayefaa urais
 
1> Humphrey Polepole:Kijana huyu ameonyesha uzalendo,misimamo na kutonunulika na hayumbishwi(ANAFAA)
2>Kassim Majaliwa:Licha ya utendaji mzuri alonao katika nafasi yake,lakini ameonyesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa SAMIA kama raisi (HAFAI)

3>PHILIPO MPANGO: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake,lakini naona akishika uraisi atabadilika(ANAFAA)

4>JOSEPHAT GWAJIMA🙁ANAFAA)
NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.

Mimi mtoa mada ni CCM,tena timu MAGUFULI
Ha ha ha ha ACHA MASKHARA ya kitoto mkuu.....

🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Upeo mdogo wa fikra ni mbaya sana

kila anayepinga serikali anaonekana anafaa kuwa rais

huyuhuyu pole pole aliyekua anapiga mna na vieite kwa nchi masikini ambayo hadi leo umeme, maji, elimu, Afya na miundombinu Bado Iko chini…. Huyuhuyu aliyekua anacheza mayenu huku ukawa wanapiga kelele za uonevu

gwajiboy… huyu huyu aliyetukana waislamu, na wakatoliki kwenye public , huyu aliyekua Kwenye ile video ya kuanzisha taifa la waislamu?

vijana mnatakiwa mtafute forum humu jf iwe inawapa shule ya historia ya tulipotoka, aina za uchumi tulionao, uwanda mzima wa siasa, katiba na dira za vyama

Pia tuwe na forum ya kuangalia sifa muhimu za potential presidential candidates

rais haokotwi, rais anaandaliwa
"Kila anayepinga serikali inaonekana anafaa kuwa Rais"😍
 
Mpuuzi kama huyu hafai kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi achilia mbali kuingia Ikulu.



Bora abakie mama miaka 100 ila sio polepole... au vipi kamanda???🤣
 
  • Mshangao
Reactions: BAK
Umeandika Utopolo mtupu. Kwa hiyo kwenye watu wote umeona ambaye hafai ni Majaliwa!? Huyo pole pole ni Mnafki wa hali ya juu. Kipindi cha Kikwete Wakati yupo kwenye Tume ya Katiba alikuwa mstari wa mbele kuzungumzia Katiba Mpya, Tume huru ya uchaguzi na serikali 3. Lakin alipokuwa serikalini enzi za JPM akageula utadhani si yeye.

Ni Mtu asiye na msimamo kabisa huyo jamaa. Hafai hata kidogo. Majaliwa ni Mtu safi sana. Ni mchapa kazi na mtu asiye na kashfa za rushwa wala ufisadi wa namna yeyote. Ni muhimu ukiwa msaidizi uzingatie maelekezo ya Mkuu wako. Ndio maana hata mama enzi za Jpm alikuwa havai barakoa n.k kwa sababu ya interest ya mkuu wake. Sasa hivi anafanya ambayo anaona ni sahihi
 
Unasemea Urais wa Taasisi gani? Kama ni wa URT basi wahi hospitali kuchekiwa funza wamekula ubongo kwa kiwango gan haraka kabla ndugu hawajapata taabu ya kufunga tulubai
 
Hiyo namba 1 toa maelezo hayo,unamkumbuka HPolepole wakati wa mchakato wa kuandaa Rasimu ya Katiba Mpya V/S HPolepole wa awamu ya 5 na akiwa Muenezi?

Hakuna anayefaa hata mmoja..
 
Makosa tuliyoyafanya kwa kumpa Pombe badala ya Spunda hayatajirudia tena "WALLAH" haiwezekan mpaka leo hii napiga ndefu wakat kula ni lazima
 
Na kweli,manake hii nchi kila mtu sasa hv anaona anaweza kuiongoza,bora tuchukue makauzu tu
Eeh tubebane wana JF tuunde chama letu tukamate dolla haiwezekani mrundi atuzidi akili bana Kagame nchi anaiendesha vyedi japo majungu hayaishi ila mambo yanayofanyika yanaonekana
 
Ili tuamini kama kweli unamaanisha kutujali,kazichome moto zile chanjo laki saba zilizobakia,tena kazichomee pale getini kwake magogoni
😅😅😅😅😅😅🤩🤩🤩🤩🤩 ni kweli namaanisha mkuu ila sio kwa nchi ambayo iko corrupt kwa kiwango hiki cha sasa ambapo ukiwa na ajenda ambayo serikali hawaitaki wanakupa kesi nzito uhangaike nayo
 
Back
Top Bottom