Viongozi wanaofaa na wasiofaa kuwa Marais mbeleni

Viongozi wanaofaa na wasiofaa kuwa Marais mbeleni

1. Humphrey Polepole: Kijana huyu ameonyesha uzalendo, misimamo na kutonunulika na hayumbishwi (ANAFAA)

2. Kassim Majaliwa: Licha ya utendaji mzuri alionao katika nafasi yake, lakini ameonesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa Samia kama Rais (HAFAI)

3. Philipo Mpango: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake, lakini naona akishika Urais atabadilika (ANAFAA)

4. Josephat Gwajima🙁ANAFAA)

NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.

Mimi mtoa mada ni CCM, tena timu Magufuli
Kwanza kabla ya kuleta hayo makorokocho yako hebu tuambie ule wimbo wenu wa "mitano tena" mbona sijausikia tena awamu hii? Au watunzi wa huu wimbo hawapo tena Bungeni?
 
Upeo mdogo wa fikra ni mbaya sana

kila anayepinga serikali anaonekana anafaa kuwa rais

huyuhuyu pole pole aliyekua anapiga mna na vieite kwa nchi masikini ambayo hadi leo umeme, maji, elimu, Afya na miundombinu Bado Iko chini…. Huyuhuyu aliyekua anacheza mayenu huku ukawa wanapiga kelele za uonevu

gwajiboy… huyu huyu aliyetukana waislamu, na wakatoliki kwenye public , huyu aliyekua Kwenye ile video ya kuanzisha taifa la waislamu?

vijana mnatakiwa mtafute forum humu jf iwe inawapa shule ya historia ya tulipotoka, aina za uchumi tulionao, uwanda mzima wa siasa, katiba na dira za vyama

Pia tuwe na forum ya kuangalia sifa muhimu za potential presidential candidates

rais haokotwi, rais anaandaliwa
mimi ni mkatoliki na naomba uthibitishe sehemu ambayo gwajima alidhihaki au kutukana wakatoliki
 
😅😅😅😅😅😅🤩🤩🤩🤩🤩 ni kweli namaanisha mkuu ila sio kwa nchi ambayo iko corrupt kwa kiwango hiki cha sasa ambapo ukiwa na ajenda ambayo serikali hawaitaki wanakupa kesi nzito uhangaike nayo
Hahahaaaa, unaogopa kuitwa gaidi?
 
Hao hata wakishindanishwa na kivuli,kivuli kitashinda
Nalog off
 
1. Humphrey Polepole: Kijana huyu ameonyesha uzalendo, misimamo na kutonunulika na hayumbishwi (ANAFAA)

2. Kassim Majaliwa: Licha ya utendaji mzuri alionao katika nafasi yake, lakini ameonesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa Samia kama Rais (HAFAI)

3. Philipo Mpango: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake, lakini naona akishika Urais atabadilika (ANAFAA)

4. Josephat Gwajima🙁ANAFAA)

NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.

Mimi mtoa mada ni CCM, tena timu Magufuli
Au wewe ndiyo Humphery Pole pole mwenyewe?
 
Upeo mdogo wa fikra ni mbaya sana

kila anayepinga serikali anaonekana anafaa kuwa rais

huyuhuyu pole pole aliyekua anapiga mna na vieite kwa nchi masikini ambayo hadi leo umeme, maji, elimu, Afya na miundombinu Bado Iko chini…. Huyuhuyu aliyekua anacheza mayenu huku ukawa wanapiga kelele za uonevu

gwajiboy… huyu huyu aliyetukana waislamu, na wakatoliki kwenye public , huyu aliyekua Kwenye ile video ya kuanzisha taifa la waislamu?

vijana mnatakiwa mtafute forum humu jf iwe inawapa shule ya historia ya tulipotoka, aina za uchumi tulionao, uwanda mzima wa siasa, katiba na dira za vyama

Pia tuwe na forum ya kuangalia sifa muhimu za potential presidential candidates

rais haokotwi, rais anaandaliwa
Mkuu naona hujaelewa,
Polepole hakuna mahali ameipinga serikali(labda utuonyeshe wewe)

Gwajima ametoa mtazamo wake na kuikosoa serikali(siyo kuipinga),kuikosoa serikali siyo kosa kwani hata serikali nayo imeonyesha kutokuwa na uhakika na jambo lenyewe ambalo linagusa afya za watu

Halafu naomba utuelezee raisi anaandaliwaje ili tujiridhishe kuwa hao nilowataja kweli hawastahili.
 
Au wewe ndiyo Humphery Pole pole mwenyewe?
Mkuu mimi ninaitwa MTIMAWACHI,hili ni jina langu halisi ila sijaweka surname,hao niliowataja sina nasaba nao zaidi ya kuwa watanzania wenzangu
 
Mkuu naona hujaelewa,
Polepole hakuna mahali ameipinga serikali(labda utuonyeshe wewe)

Gwajima ametoa mtazamo wake na kuikosoa serikali(siyo kuipinga),kuikosoa serikali siyo kosa kwani hata serikali nayo imeonyesha kutokuwa na uhakika na jambo lenyewe ambalo linagusa afya za watu

Halafu naomba utuelezee raisi anaandaliwaje ili tujiridhishe kuwa hao nilowataja kweli hawastahili.
Utampigia Kira polepole? Au gwajiboy?

kuwa rais wako?
 
Ku
mimi ni mkatoliki na naomba uthibitishe sehemu ambayo gwajima alidhihaki au kutukana wakatoliki
Kuna video ilitrend sana mitandaoni wakati anapigia chapuo jimbo

ndio maana hata wabunge waiongelea namna waivyoteseka kumsafisha

it is out in public

Bahati mbaya I can’t publish here
 
japo nawe pia umeyumba katika hii list yako lakini kiukweli upinzani wajitafakari sana uraisi sio lelemama watengeneze watu wenye hadhi ya uraisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi kwa sasa kila mtu anafaa kuwa Rais, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi wa Halmashauri, nk.

Na kigezo kikuu siyo kingine! Awe tu kada wa ccm! Kweli katiba mpya inahitajika haraka iwezekanavyo. Tukiendelea kuwachekea hawa vichwa maji, ipo siku tutakuja kulia kwa sauti kubwa sana tofauti na hii ya sasa.

Na siku ikitokea hicho KILIO,basi wa kulaumiwa ni nyinyi wapinzani kwa kushindwa kwenu kuandaa watu makini kwa zaidi ya miongo miwili.
Mnazidi kudumaa siku hadi siku.
 
Back
Top Bottom