chungachungu
Member
- Dec 31, 2020
- 56
- 30
Hapo hakuna hata mmoja mwenye sifa,,,First eleven yangu
Innocent Bashungwa
Catherine Ruge
George Simbachawene
Jerry Slaa
John Mnyika
Anthony Mtaka
Malisa GJ
Jokate Mwogelo
Ummy Mwalimu
Bob Wangwe
Abdul Mohamed
Nyoooooooo1. Humphrey Polepole: Kijana huyu ameonyesha uzalendo, misimamo na kutonunulika na hayumbishwi (ANAFAA)
2. Kassim Majaliwa: Licha ya utendaji mzuri alionao katika nafasi yake, lakini ameonesha udhaifu mkubwa wa kimisimamo hasa baada ya ujio wa Samia kama Rais (HAFAI)
3. Philipo Mpango: Ingawa naona kama anatumia busara nyingi mno na upole mwingi katika nafasi yake, lakini naona akishika Urais atabadilika (ANAFAA)
4. Josephat Gwajima🙁ANAFAA)
NB:Huko upinzani sijaona anayefaa,waliojaa naona kazi yao kulitabiria taifa mabaya tu.
Mimi mtoa mada ni CCM, tena timu Magufuli
Huyu ni mwanaharakati zaidi,,, sio mwana siasaMalisa GJ ANAFAA.
Sawa kila mtu anakipimo chake BossHapo hakuna hata mmoja mwenye sifa,,,
Ni sawa,,, sisi tunapiga ramli tuSawa kila mtu anakipimo chake Boss
Najipanga mkuu kuja kuwakomboa. Nakuja na slogan inayosema "TUNAIREJESHA TANZANIA YETU YA ASALI NA MAZIWA"Raisi wetu ni konda msafi
Tupo naye pamoja
Inabidi tupiganie private candidate mkuuNajipanga mkuu kuja kuwakomboa. Nakuja na slogan inayosema "TUNAIREJESHA TANZANIA YETU YA ASALI NA MAZIWA"
Kabisa mkuu. ...hivi kusajili chama na kikapata usajili wa kudumu inachukua muda gani? Halafu mbona 2015 ACT Wazalendo ilisajiliwa fasta fasta na ikaingia kwenye kinyang'anyilo cha urais, wabunge na madiwani. Sasa na mimi nataka kupita njia aliyopita Zito Kabwe. Au zito aliruhusiwa kusajili fasta fasta kwa malengo flani?Inabidi tupiganie private candidate mkuu
Kumbuka late mtikila katika shauri lake bado kuna loop hole ya kupata private candidate
Tafuta political party act ya mwaka 1992 (revsd 2002)Kabisa mkuu. ...hivi kusajili chama na kikapata usajili wa kudumu inachukua muda gani? Halafu mbona 2015 ACT Wazalendo ilisajiliwa fasta fasta na ikaingia kwenye kinyang'anyilo cha urais, wabunge na madiwani. Sasa na mimi nataka kupita njia aliyopita Zito Kabwe. Au zito aliruhusiwa kusajili fasta fasta kwa malengo flani?
HaoMimi naweza kukupa vigezo. Waliopo wengi ni matokeo ya mfumo wa udikteta wa jiwe. Mfumo wa mama nao umelenga kuwazuia wanasiasa walio wengi kuonyesha uwezo wao kwa kuzuia, kuhujumu mawazo huru.
Wenye uwezo hawana pa kujionyesha kwa kuwa mfumo na utawala haujalenga kuwapa fursa sawa wale wenye nia hizo.
Kwa sasa hakuna tija ya kutafuta mtu bora kama tuna mfumo wa hovyo. Yeyote atakayepatikana, hata awe bora kiasi kikubwa, bado atajikuta anaogelea kwenye mfumo uleule uliooza, atashindwa
Hebu nitajie makamu na waziri mkuu wako nioneNajipanga mkuu kuja kuwakomboa. Nakuja na slogan inayosema "TUNAIREJESHA TANZANIA YETU YA ASALI NA MAZIWA"
Unakikumbuka ccj!?Kabisa mkuu. ...hivi kusajili chama na kikapata usajili wa kudumu inachukua muda gani? Halafu mbona 2015 ACT Wazalendo ilisajiliwa fasta fasta na ikaingia kwenye kinyang'anyilo cha urais, wabunge na madiwani. Sasa na mimi nataka kupita njia aliyopita Zito Kabwe. Au zito aliruhusiwa kusajili fasta fasta kwa malengo flani?
Kufanya kosa kama la Nd*00gai inabidi upagawe pepo kwanza!! Siyo rahisi!!! Hili jambo litamtesa sana!! Ni kosa kama la Yuda Iskariote!!
Alipokuja CCM alianza taratiibu kuibadili ili iendane na kile akichohubiri kwenye mchakato wa katiba.Kwenye nafasi ya urais hakuna wa kuweza kupambana na Askofu Gwajima!! Gwajima hana mpinzani!! Pole pole alijichanganya kwenye mchakato wa katiba mpya! Hawezi tena kuaminika!! Tumbo linamsaliti!!!!
Mkuu hapa ilikuwaje?
Kusifia magari yaliyotengenezwa na watu wengine badala ya kusifia maendeleo tuliyoyafanya sisi naona Kama aliyetuloga kaitwa na Mungu kwenda kueleza kwa nini ametu_ overdose.!Kutwa wanawaza maslahi yao