yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,898
Mwalimu nyerere anawazidi wengi kati ya hao uliowataja.
Kwa lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu nyerere anawazidi wengi kati ya hao uliowataja.
Mwalimu yupi yule sera zake zote zilishindwa auMwalimu nyerere anawazidi wengi kati ya hao uliowataja.
Ingekuwa wanaongelea wenye IQ ndogo zaidi na ubabe mwingi hakika Sizonje angeshika namba 1kwa hiyo afrika hata sizonje hawajamuweka?
[emoji23] [emoji23] kwahiyo wafuas wa Mungu ni hawa wa afrika!! Kina Mugabe, Museven, Pombe, mswati, Zuma!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mind control T work, hao wote karibia ni wafuasi wa shetani wanajipigia promo,
Kudadeq zako mara ngap mmekatazwa ku quote uzi mrefu , acha ubwe.....Mind control T work, hao wote karibia ni wafuasi wa shetani wanajipigia promo,
Sijamaanisha hivyo,Mugabe na ulio wataja hawana inluence yoyote katika ulimwengu huu,zaid huwez kuelewa vizur,hao akina Netanyau ndio Ma baba wa ulimwengu huu,wamefanya mengi na wanaendelea kuyafanya kuu hadaa ulimwengu[emoji23] [emoji23] kwahiyo wafuas wa Mungu ni hawa wa afrika!! Kina Mugabe, Museven, Pombe, mswati, Zuma!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bashite (kolomije) = IQ 0.5Daudi bashitee aka makonda mungu wa dar es salam
Huyu IQ yake... sitaki kutaja.. nitaitwa mchochez11. Dr John Pombe Joseph Magufuli
IQ ni uzushi tu. Halafu hata ukiikubali, IQ ya 100 ni ya kawaida sana.
Mkuu IQ ni ile hali ya kupambanua mambo kwa uharaka na kutoa majawabu yaliyo sahihi. Wanapo pima IQ wanaangalia mambo mengi ila kubwa sana ni uwezo wa kufikiri. Zipo IQ test ambazo huwa na maswali mchanganyiko.Mkuu nipe elimu kuhusu masuala ya IQ yananiwazisha sana
Uko sahihi na si taifa la Munguisraeli taifa la mungu
Kwanza uikubali, kitu kwangu muhali.Isiyo ya kawaida ni ngapi?
Kwanza uikubali, kitu kwangu muhali.
Ukitaka kuwa na namba ya IQ, kwanza ni lazima uweze kueleza "Intelligence" ni nini?
Kwa sababu limeulizwa katika msingi wa kwamba IQ ina maana.Al-Watan bana...unajua hujajibu kabisa swali langu?
Unaweza ukawa na uwezo na uwezo wako ukafunikwa usionekaneSijamaanisha hivyo,Mugabe na ulio wataja hawana inluence yoyote katika ulimwengu huu,zaid huwez kuelewa vizur,hao akina Netanyau ndio Ma baba wa ulimwengu huu,wamefanya mengi na wanaendelea kuyafanya kuu hadaa ulimwengu