mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Hii report imeandaliwa Kw hisani Y watu wa marekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii list hata mimi naona africa hawajaiwaza kabisa huu ndio ubaguzi mambo leoKwa africa nan ndio wa kwanza
Umeeonaa Eeeh mbona africa wapo na walikuwepo wengi tuHii report imeandaliwa Kw hisani Y watu wa marekani
hahahahahaNingeliambiwa nitaje wenye akili mbovu au au matahira au vichaa wasafi wa suti au vichwa panzi nadhani page isingelitosha na pasingelitosha si mnajua tena.
It is so Euclidean in its axiomatic structure.Eh bana eeh...basi we mkali sana!
Kama praimare ulipata zaidi ya 100 sasa hivi si utapata zaidi ya 200 kabisa!
😀😀
Tusubili msimu wa pili hahahahahaMAgufuri hyupo??? Hao waongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha labda hao hao[emoji23] [emoji23] kwahiyo wafuas wa Mungu ni hawa wa afrika!! Kina Mugabe, Museven, Pombe, mswati, Zuma!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukimuweka mkwawa tu, hadi mjerumani akaiba fuvu unaweza ukatupilia mbali zoezi zimaUmeeonaa Eeeh mbona africa wapo na walikuwepo wengi tu
It is so Euclidean in its axiomatic structure.
Kuna kipande kimoja kilikuwa kinapiga Ph.D ya mambo ya saikolojia ndiyo kazi zao kupima watu akili, nilikuwa nikikibana kinakubali tu kwamba kupima IQ ni uzushi na unavyozidi kusoma haya mambo kwenye level hiyo ya Ph.D na kupima kweli unajua IQ is so crude.
Duuuh hebu tusaidieNaamini hao wote waliotajwa hapo juu hawamfikii Mugabe
Hahaha.Yule wa kaka.Nimempelekea chocolate covered strawberries na maua kafuraaaahi.Huyo si yule wa Spelman kweli? 😀
HahahahahaHuyu wa Kolomije mbona hayupo!????
Mwalimu nyerere anawazidi wengi kati ya hao uliowataja.
Fanya kilichokuleta heading sio shida iq akili wote wa mama mmojaBadil heading si0 akili n iQ . pia mtwa mkwawa yup0