Viongozi wanaotajwa kuongoza kuwa na akili nyingi zaidi Duniani.

Viongozi wanaotajwa kuongoza kuwa na akili nyingi zaidi Duniani.

MBONA YULE NABII MWENYE HUWA ANAFUFUA MISUKULE YA KIFIPA KWENYE MAKABURI YA KINONDONI HAJAWEKWA???
 
Kwa hiyo wenye IQ kubwa ni wazungu tu?
Futa matokeo kisha anza upya.
 
Screen-Shot-2017-03-04-at-18.05.53.png

Rekodi ya Dunia ya watu wanaoaminika kuwa na akili nyingi zaidi (IQ) ni Wanasayansi na wachezaji Chess lakini pia unaweza ukawa umewahi kujiuliza ni kiongozi gani mwenye akili zaidi Duniani, nimekutana na list hii kutoka www.topteny.com inakuletea majina ya viongozi waliothibitika kisayansi kuwa na IQ kubwa zaidi duniani.

1:Benjamin Netanyahu (Israel) – IQ=180

Huyu ni Waziri mkuu wa Israel na anatajwa kuongoza kuwa na IQ ya 180, kwa mujibu wa score za IQ, Benjamin Netanyahu anauwezo mkubwa sana wa kupambanua mambo na kutatua maswali magumu.

benjamin-netanyahu12.jpg

Benjamin Netanyahu

2: John Quincy Adams (USA) – IQ=175

Alikuwa Rais wa sita wa Marekani kuanzia mwaka 1825 mpaka 1829 ana IQ level ya 175 , ambayo ni kubwa zaidi ukilinganisha na marais wengine wa Marekani.

John-Quincy-Adams_Pushed-Into-Politics_HD_768x432-16x9-1.jpg

John Quincy Adams

3: Joachim Palme (Sweden) – IQ=156

Waziri mkuu wa sita wa Sweden Joachim (1969-1976), ukiacha mchango wake mkubwa katika kuchangia nchi nyingi kupata uhuru pia anaweka rekodi ya kuwa kiongozi namba tatu kuwa na IQ kubwa zaidi Duniani.

Olof-Palme.jpg

John Quincy Adams


Abraham Lincolin ni mmoja kati ya Marais waliowahi kupendwa sana Marekani na amekuwa mdau mkubwa sana wa Demokrasia,pia anatajwa kuwa na IQ ya 150.
Abraham-Lincoln-USA-POLITICS-HEADLINE-NEWS-WORLD-U.S.-890x395.jpg

Abraham Lincoln

5: George Washington (USA) – IQ=140.

Rais wa kwanza wa Marekani George Washington anajulikana zaidi kwa mchango wake mkubwa wa kuiletea uhuru Marekani pia anatajwa kuwa katika list ya viongozi 10 wenye IQ ya 140.

George-Washington-1.jpg

George Washington

6: Thomas Jefferson (USA) – IQ=138

Thomas Jefferson anatajwa kama Rais aliyechangia maendeleo ya mwanzo ya Marekani, wanasayansi wanamtaja kuwa na IQ level ya 138.

Thomas-Jefferson-1.jpg

Thomas Jefferson

7: Richard Nixon (USA) IQ =132.

Baada ya kujiuzulu kwenye kiti cha urais Richard Nixon alipata upinzani mkubwa sana lakini hiyo haikumuondolea sifa ya kuwa kwenye list ya viongozi wenye IQ kubwa, ambapo ana IQ ya 132.

nixon-announces-his-resignation_HD__142399_1104x622-16x9.jpg

Richard Nixon

8: John F. Kennedy (USA) – IQ=117.

Alikuwa Rais wa 35 wa Marekani na Rais mdogo zaidi kuwahi kuchaguliwa na taifa hilo akiwa na umri wa miaka 43 tu wakati huo, Kennedy anatajwa kuwa na IQ level ya 117.

John-F.-Kennedy-1-1.jpg

John F. Kennedy

9: Ferdinand Marcos (Philippines) – IQ=98.01

Anajulikana kama Rais aliyeshikilia kiti cha Urais kwa muda wa miaka 20, anatajwa kuwa na IQ ya 98.01

161017173445-ferdinand-marcos-super-tease.jpg

Ferdinand Marcos

10: Dr. Ing. Bacharuddin Jusuf Habibie (Indonesia) IQ = 97.0 1

Akiwa na umri wa miaka 38 tu alitajwa kama mtu mwenye IQ kubwa baada ya kugundua teknolojia ya kupunguza ajali za ndege, alitajwa kuwa na IQ level ya 97.1

habibie-1.jpg

Dr. Ing. Bacharuddin Jusuf Habibie
Hiyo orodha ya wamarekani ya dunia haipo hivyo kwani Afrika viongozi waliodai Uhuru na kuweza kuelezea sababu lukuki ikiwemo kuwashawishi waafrika wenzao hawana IQ kubwa?
 
Hawa wamependelea hata mmoja hakuna Afrika, hatari.
Afrika kwa lipi ndugu yangu kama karne hii bado tunateseka namagonjwa yatokanayo na uchafu.Uku afrika tumepewa nguvu nyingi akili kidogo.Tungewai kupata viongoz wenye uwezo mzur wakufikiri naamin bara hili kwa maendeleo hakika tungekua mbali maana tuna kila kitu.kwaiyo tuwe wakweli badala yakujifariji.
 
Yaani hakuna putin ambaye ameirudisha collapsed russia, hakuna Lenin, hakuna Castro ambaye amehepa assasinatio atrempts zaidi ya 600, hakuna Mao wa china aliyejenga china imara, Hakuna nyerere, hii ni nonesense.
Mkuu hata mimi sijajua wametumia vigezo gani nimeamua kushare ili tujenge hoja mwanana[emoji41]
 
Asante mkuu

Hayo maswali yanapatikana wapi na Mimi nipime kiwango cha IQ nilicho nacho..........

Hao tunao aminishwa wenye IQ kubwa wako ni wale wenye majina makubwa

Naamini Kuna kaka na Dada zangu huku kiabakali wana IQ kubwa sema hawapo kwenye spotlight
Aaaaahhh.Mkuu hapo ni sawa nakusema uko kwenu kuna mtu anacheza mpira kuliko messi ila bado hajaonekana.
 
Screen-Shot-2017-03-04-at-18.05.53.png

Rekodi ya Dunia ya watu wanaoaminika kuwa na akili nyingi zaidi (IQ) ni Wanasayansi na wachezaji Chess lakini pia unaweza ukawa umewahi kujiuliza ni kiongozi gani mwenye akili zaidi Duniani, nimekutana na list hii kutoka www.topteny.com inakuletea majina ya viongozi waliothibitika kisayansi kuwa na IQ kubwa zaidi duniani.

1:Benjamin Netanyahu (Israel) – IQ=180

Huyu ni Waziri mkuu wa Israel na anatajwa kuongoza kuwa na IQ ya 180, kwa mujibu wa score za IQ, Benjamin Netanyahu anauwezo mkubwa sana wa kupambanua mambo na kutatua maswali magumu.

benjamin-netanyahu12.jpg

Benjamin Netanyahu

2: John Quincy Adams (USA) – IQ=175

Alikuwa Rais wa sita wa Marekani kuanzia mwaka 1825 mpaka 1829 ana IQ level ya 175 , ambayo ni kubwa zaidi ukilinganisha na marais wengine wa Marekani.

John-Quincy-Adams_Pushed-Into-Politics_HD_768x432-16x9-1.jpg

John Quincy Adams

3: Joachim Palme (Sweden) – IQ=156

Waziri mkuu wa sita wa Sweden Joachim (1969-1976), ukiacha mchango wake mkubwa katika kuchangia nchi nyingi kupata uhuru pia anaweka rekodi ya kuwa kiongozi namba tatu kuwa na IQ kubwa zaidi Duniani.

Olof-Palme.jpg

John Quincy Adams


Abraham Lincolin ni mmoja kati ya Marais waliowahi kupendwa sana Marekani na amekuwa mdau mkubwa sana wa Demokrasia,pia anatajwa kuwa na IQ ya 150.
Abraham-Lincoln-USA-POLITICS-HEADLINE-NEWS-WORLD-U.S.-890x395.jpg

Abraham Lincoln

5: George Washington (USA) – IQ=140.

Rais wa kwanza wa Marekani George Washington anajulikana zaidi kwa mchango wake mkubwa wa kuiletea uhuru Marekani pia anatajwa kuwa katika list ya viongozi 10 wenye IQ ya 140.

George-Washington-1.jpg

George Washington

6: Thomas Jefferson (USA) – IQ=138

Thomas Jefferson anatajwa kama Rais aliyechangia maendeleo ya mwanzo ya Marekani, wanasayansi wanamtaja kuwa na IQ level ya 138.

Thomas-Jefferson-1.jpg

Thomas Jefferson

7: Richard Nixon (USA) IQ =132.

Baada ya kujiuzulu kwenye kiti cha urais Richard Nixon alipata upinzani mkubwa sana lakini hiyo haikumuondolea sifa ya kuwa kwenye list ya viongozi wenye IQ kubwa, ambapo ana IQ ya 132.

nixon-announces-his-resignation_HD__142399_1104x622-16x9.jpg

Richard Nixon

8: John F. Kennedy (USA) – IQ=117.

Alikuwa Rais wa 35 wa Marekani na Rais mdogo zaidi kuwahi kuchaguliwa na taifa hilo akiwa na umri wa miaka 43 tu wakati huo, Kennedy anatajwa kuwa na IQ level ya 117.

John-F.-Kennedy-1-1.jpg

John F. Kennedy

9: Ferdinand Marcos (Philippines) – IQ=98.01

Anajulikana kama Rais aliyeshikilia kiti cha Urais kwa muda wa miaka 20, anatajwa kuwa na IQ ya 98.01

161017173445-ferdinand-marcos-super-tease.jpg

Ferdinand Marcos

10: Dr. Ing. Bacharuddin Jusuf Habibie (Indonesia) IQ = 97.0 1

Akiwa na umri wa miaka 38 tu alitajwa kama mtu mwenye IQ kubwa baada ya kugundua teknolojia ya kupunguza ajali za ndege, alitajwa kuwa na IQ level ya 97.1

habibie-1.jpg

Dr. Ing. Bacharuddin Jusuf Habibie
Do you believr your post?
 
Back
Top Bottom