Nathason2
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 598
- 680
Sizonje IQ yake itakuwa Negation ya netanyau yaani hasi 180 na Mara chache huwa inapanda kufikia 0kwa hiyo afrika hata sizonje hawajamuweka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sizonje IQ yake itakuwa Negation ya netanyau yaani hasi 180 na Mara chache huwa inapanda kufikia 0kwa hiyo afrika hata sizonje hawajamuweka?
kwanza habari umeit0a internati0nal forumFanya kilichokuleta heading sio shida iq akili wote wa mama mmoja
Hiyo orodha ya wamarekani ya dunia haipo hivyo kwani Afrika viongozi waliodai Uhuru na kuweza kuelezea sababu lukuki ikiwemo kuwashawishi waafrika wenzao hawana IQ kubwa?![]()
Rekodi ya Dunia ya watu wanaoaminika kuwa na akili nyingi zaidi (IQ) ni Wanasayansi na wachezaji Chess lakini pia unaweza ukawa umewahi kujiuliza ni kiongozi gani mwenye akili zaidi Duniani, nimekutana na list hii kutoka www.topteny.com inakuletea majina ya viongozi waliothibitika kisayansi kuwa na IQ kubwa zaidi duniani.
1:Benjamin Netanyahu (Israel) – IQ=180
Huyu ni Waziri mkuu wa Israel na anatajwa kuongoza kuwa na IQ ya 180, kwa mujibu wa score za IQ, Benjamin Netanyahu anauwezo mkubwa sana wa kupambanua mambo na kutatua maswali magumu.
![]()
Benjamin Netanyahu
2: John Quincy Adams (USA) – IQ=175
Alikuwa Rais wa sita wa Marekani kuanzia mwaka 1825 mpaka 1829 ana IQ level ya 175 , ambayo ni kubwa zaidi ukilinganisha na marais wengine wa Marekani.
![]()
John Quincy Adams
3: Joachim Palme (Sweden) – IQ=156
Waziri mkuu wa sita wa Sweden Joachim (1969-1976), ukiacha mchango wake mkubwa katika kuchangia nchi nyingi kupata uhuru pia anaweka rekodi ya kuwa kiongozi namba tatu kuwa na IQ kubwa zaidi Duniani.
![]()
John Quincy Adams
Abraham Lincolin ni mmoja kati ya Marais waliowahi kupendwa sana Marekani na amekuwa mdau mkubwa sana wa Demokrasia,pia anatajwa kuwa na IQ ya 150.
![]()
Abraham Lincoln
5: George Washington (USA) – IQ=140.
Rais wa kwanza wa Marekani George Washington anajulikana zaidi kwa mchango wake mkubwa wa kuiletea uhuru Marekani pia anatajwa kuwa katika list ya viongozi 10 wenye IQ ya 140.
![]()
George Washington
6: Thomas Jefferson (USA) – IQ=138
Thomas Jefferson anatajwa kama Rais aliyechangia maendeleo ya mwanzo ya Marekani, wanasayansi wanamtaja kuwa na IQ level ya 138.
![]()
Thomas Jefferson
7: Richard Nixon (USA) IQ =132.
Baada ya kujiuzulu kwenye kiti cha urais Richard Nixon alipata upinzani mkubwa sana lakini hiyo haikumuondolea sifa ya kuwa kwenye list ya viongozi wenye IQ kubwa, ambapo ana IQ ya 132.
![]()
Richard Nixon
8: John F. Kennedy (USA) – IQ=117.
Alikuwa Rais wa 35 wa Marekani na Rais mdogo zaidi kuwahi kuchaguliwa na taifa hilo akiwa na umri wa miaka 43 tu wakati huo, Kennedy anatajwa kuwa na IQ level ya 117.
![]()
John F. Kennedy
9: Ferdinand Marcos (Philippines) – IQ=98.01
Anajulikana kama Rais aliyeshikilia kiti cha Urais kwa muda wa miaka 20, anatajwa kuwa na IQ ya 98.01
![]()
Ferdinand Marcos
10: Dr. Ing. Bacharuddin Jusuf Habibie (Indonesia) IQ = 97.0 1
Akiwa na umri wa miaka 38 tu alitajwa kama mtu mwenye IQ kubwa baada ya kugundua teknolojia ya kupunguza ajali za ndege, alitajwa kuwa na IQ level ya 97.1
![]()
Dr. Ing. Bacharuddin Jusuf Habibie
Afrika kwa lipi ndugu yangu kama karne hii bado tunateseka namagonjwa yatokanayo na uchafu.Uku afrika tumepewa nguvu nyingi akili kidogo.Tungewai kupata viongoz wenye uwezo mzur wakufikiri naamin bara hili kwa maendeleo hakika tungekua mbali maana tuna kila kitu.kwaiyo tuwe wakweli badala yakujifariji.Hawa wamependelea hata mmoja hakuna Afrika, hatari.
we jamaa mbona hovyo sana wacha mods wafanye kazi yao sio wewe kama ni ya huko wata merg:kwanza habari umeit0a internati0nal forum
Mkuu hata mimi sijajua wametumia vigezo gani nimeamua kushare ili tujenge hoja mwanana[emoji41]Yaani hakuna putin ambaye ameirudisha collapsed russia, hakuna Lenin, hakuna Castro ambaye amehepa assasinatio atrempts zaidi ya 600, hakuna Mao wa china aliyejenga china imara, Hakuna nyerere, hii ni nonesense.
Wale viongozi wote ambao ni wasaliti kwa wanainchi, kuweka kapuni shida zao. Ndo hao wenye IQ ndogo kabisa so tu Africa bali pia duniani kote.Tunaomba na list ya viongozi wenye IQ za chini
Kabisa katika bara la Africa
Mh, naogopa labda bosi wa Bashite! aka baba yake na BashiteKwa africa nan ndio wa kwanza
Hawana![emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Hujui Maana ya IQ, bora ungesema wanazo chache
Aaaaahhh.Mkuu hapo ni sawa nakusema uko kwenu kuna mtu anacheza mpira kuliko messi ila bado hajaonekana.Asante mkuu
Hayo maswali yanapatikana wapi na Mimi nipime kiwango cha IQ nilicho nacho..........
Hao tunao aminishwa wenye IQ kubwa wako ni wale wenye majina makubwa
Naamini Kuna kaka na Dada zangu huku kiabakali wana IQ kubwa sema hawapo kwenye spotlight
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Hujui Maana ya IQ, bora ungesema wanazo chache
Aka PhD (pure head damage)11. Dr John Pombe Joseph Magufuli
Do you believr your post?![]()
Rekodi ya Dunia ya watu wanaoaminika kuwa na akili nyingi zaidi (IQ) ni Wanasayansi na wachezaji Chess lakini pia unaweza ukawa umewahi kujiuliza ni kiongozi gani mwenye akili zaidi Duniani, nimekutana na list hii kutoka www.topteny.com inakuletea majina ya viongozi waliothibitika kisayansi kuwa na IQ kubwa zaidi duniani.
1:Benjamin Netanyahu (Israel) – IQ=180
Huyu ni Waziri mkuu wa Israel na anatajwa kuongoza kuwa na IQ ya 180, kwa mujibu wa score za IQ, Benjamin Netanyahu anauwezo mkubwa sana wa kupambanua mambo na kutatua maswali magumu.
![]()
Benjamin Netanyahu
2: John Quincy Adams (USA) – IQ=175
Alikuwa Rais wa sita wa Marekani kuanzia mwaka 1825 mpaka 1829 ana IQ level ya 175 , ambayo ni kubwa zaidi ukilinganisha na marais wengine wa Marekani.
![]()
John Quincy Adams
3: Joachim Palme (Sweden) – IQ=156
Waziri mkuu wa sita wa Sweden Joachim (1969-1976), ukiacha mchango wake mkubwa katika kuchangia nchi nyingi kupata uhuru pia anaweka rekodi ya kuwa kiongozi namba tatu kuwa na IQ kubwa zaidi Duniani.
![]()
John Quincy Adams
Abraham Lincolin ni mmoja kati ya Marais waliowahi kupendwa sana Marekani na amekuwa mdau mkubwa sana wa Demokrasia,pia anatajwa kuwa na IQ ya 150.
![]()
Abraham Lincoln
5: George Washington (USA) – IQ=140.
Rais wa kwanza wa Marekani George Washington anajulikana zaidi kwa mchango wake mkubwa wa kuiletea uhuru Marekani pia anatajwa kuwa katika list ya viongozi 10 wenye IQ ya 140.
![]()
George Washington
6: Thomas Jefferson (USA) – IQ=138
Thomas Jefferson anatajwa kama Rais aliyechangia maendeleo ya mwanzo ya Marekani, wanasayansi wanamtaja kuwa na IQ level ya 138.
![]()
Thomas Jefferson
7: Richard Nixon (USA) IQ =132.
Baada ya kujiuzulu kwenye kiti cha urais Richard Nixon alipata upinzani mkubwa sana lakini hiyo haikumuondolea sifa ya kuwa kwenye list ya viongozi wenye IQ kubwa, ambapo ana IQ ya 132.
![]()
Richard Nixon
8: John F. Kennedy (USA) – IQ=117.
Alikuwa Rais wa 35 wa Marekani na Rais mdogo zaidi kuwahi kuchaguliwa na taifa hilo akiwa na umri wa miaka 43 tu wakati huo, Kennedy anatajwa kuwa na IQ level ya 117.
![]()
John F. Kennedy
9: Ferdinand Marcos (Philippines) – IQ=98.01
Anajulikana kama Rais aliyeshikilia kiti cha Urais kwa muda wa miaka 20, anatajwa kuwa na IQ ya 98.01
![]()
Ferdinand Marcos
10: Dr. Ing. Bacharuddin Jusuf Habibie (Indonesia) IQ = 97.0 1
Akiwa na umri wa miaka 38 tu alitajwa kama mtu mwenye IQ kubwa baada ya kugundua teknolojia ya kupunguza ajali za ndege, alitajwa kuwa na IQ level ya 97.1
![]()
Dr. Ing. Bacharuddin Jusuf Habibie