Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23]kwa hiyo afrika hata sizonje hawajamuweka?
Ndiyo !! Na Ndiyo maana wanatawala Dunia sisi Africa tumebakia kucheza ngoma tu.......!!Kwa hiyo wenye IQ kubwa ni wazungu tu?
Futa matokeo kisha anza upya.
IQ yote hiyo mkuu??Bashite (kolomije) = IQ 0.5
Hisa ya akili= umri wa akili juu ya umri wa mtu mara 100.hii itanisaidia hata mmi mwenyewe kukagua ya kwangu
Vip ni nyingi sana?IQ yote hiyo mkuu??
tusingekuwa nchi yakilofa...sikubaliani na weweMwalimu nyerere anawazidi wengi kati ya hao uliowataja.
We ni mpinzani kisiasa, ungeweka mihemko ya kisiasa pembeni ningekwambia na ungeamini. Ila kwa kuwa una mindset za ki-protestant haina maaana yeyote ya kukubainishia.Nyerere ulitaka awekwe kwa uzuri wa jambo gani alilo litenda la akili nyingi. ???
Mbona povu linakutoka kwa swali dogo tu ! Mimi ni Mtanzania wakawaida tu, lakini nafikiri nje ya box sikubali kukaririshwa mambo....!!We ni mpinzani kisiasa, ungeweka mihemko ya kisiasa pembeni ningekwambia na ungeamini. Ila kwa kuwa una mindset za ki-protestant haina maaana yeyote ya kukubainishia.
Kabisa mkuu... Upo sahihi.Mimi sidhani kama inawezekana ku quantify IQ ya mtu kwa usahihi.
Na ndo maana mpaka leo hilo suala la IQ bado ni la utata utata tu.
Yaaaani mnamuona ana IQ kubwa sana eeeeeeeeeeMwalimu nyerere anawazidi wengi kati ya hao uliowataja.
umempendelea mnoo yule ni -ve kabisaVip ni nyingi sana?
OK, wacha povu linitoke.Mbona povu linakutoka kwa swali dogo tu ! Mimi ni Mtanzania wakawaida tu, lakini nafikiri nje ya box sikubali kukaririshwa mambo....!!