Viongozi wanaotajwa kuongoza kuwa na akili nyingi zaidi Duniani.

Viongozi wanaotajwa kuongoza kuwa na akili nyingi zaidi Duniani.

Walitumia kipimo gan au waliulizwa naswali magumu ndio wakajua?

NB. Color=blue] mwenye akili nyingi ni yule anaeuliza maswali mazuri Ila sio anaejibu maswali vizuri.[/color]
 
uyu wa huku vipi kwani?? hana kabisa au?? mbona hamjueka??
 
hii itanisaidia hata mmi mwenyewe kukagua ya kwangu
Hisa ya akili= umri wa akili juu ya umri wa mtu mara 100.
Umri wa akili huyo unaangalia ana matendo ya namna gani. Je anatenda kama mtoto mdogo au mtoto anatenda kama mtu mzima?
 
Nyerere ulitaka awekwe kwa uzuri wa jambo gani alilo litenda la akili nyingi. ???
We ni mpinzani kisiasa, ungeweka mihemko ya kisiasa pembeni ningekwambia na ungeamini. Ila kwa kuwa una mindset za ki-protestant haina maaana yeyote ya kukubainishia.
 
We ni mpinzani kisiasa, ungeweka mihemko ya kisiasa pembeni ningekwambia na ungeamini. Ila kwa kuwa una mindset za ki-protestant haina maaana yeyote ya kukubainishia.
Mbona povu linakutoka kwa swali dogo tu ! Mimi ni Mtanzania wakawaida tu, lakini nafikiri nje ya box sikubali kukaririshwa mambo....!!
 
Back
Top Bottom