Viongozi wanaotajwa kuongoza kuwa na akili nyingi zaidi Duniani.

Viongozi wanaotajwa kuongoza kuwa na akili nyingi zaidi Duniani.

Hata huyu aliyopo marekani sasa atakuwa na hio IQiu ya 500
 
Unajua kwa nini limeulizwa kwa msingi huo? Kwa sababu wewe mwenyewe umesema/andika kuwa IQ ya 100 ni ya kawaida sana.

Ndo nami nikataka kujua isiyo ya kawaida ni ngapi?

Hivyo tu, basi.
Umechagua kutoiona qualification niliyoiweka ya kwamba "hata kama ukiikubali IQ, 100 ni ya kawaida sana"

Nishawahi kufanya mitihani ya IQ na kupata zaidi ya 100 nikiwa shule ya msingi, ndiyo maana nasema hiyo score ya 100 ni ya kawaida sana.
 
Hiyo list ni upuuzi wa Kimarekani kwa ajili ya Wamarekani.
 
Mi ndo maana takwimu za wazungu huwa naona wanapendeleana tu. Kuna Rais wa nchi fulani Africa anajua mpaka idadi ya samaki ziwani na idadi ya mayai ya samaki ambayo hayajatotolewa, anajua idadi ya mbuzi mpaka mimba zilizoharibika, anajua urefu wa barabara zote mpaka vichochoro vya kwenda chooni, Halafu mnataja IQ 10 bora mnamwacha? Wazungu acheni zenu bwana matatuudhi na sisi tumwambie Lizaboni atengeneze orodha yetu muone.
 
Kwahiyo aliye hai had leo ndio anashika nafas ya Kwanza
 
IQ ya 90 na kitu ni IQ kubwa?.

Exceptional ni kuanzia 120s au 130s. Average inaanzia mid 90s to mid 110s au 120s.

Hiyo tu ni list ya viongozi ambao IQ zao zilipimwa. Sio the best. Kwa sababu zingine hapo ni below average.
 
IQ ya 90 na kitu ni IQ kubwa?.

Exceptional ni kuanzia 120s au 130s. Average inaanzia mid 90s to mid 110s au 120s.

Hiyo tu ni list ya viongozi ambao IQ zao zilipimwa. Sio the best. Kwa sababu zingine hapo ni below average.

Mimi sidhani kama inawezekana ku quantify IQ ya mtu kwa usahihi.

Na ndo maana mpaka leo hilo suala la IQ bado ni la utata utata tu.
 
Back
Top Bottom