V Verrazanno JF-Expert Member Joined Sep 15, 2021 Posts 454 Reaction score 1,011 Nov 24, 2021 #41 Barieda said: Mkuu ulitaka ukae naye kwenye foleni, Click to expand... hapana, hakutaka akae nae kwenye foleni hakukuwa na foleni kabla Rais hajaja na msafara Rais angeweza kujiunga na flow of traffic bila kutengeneza traffic nightmare
Barieda said: Mkuu ulitaka ukae naye kwenye foleni, Click to expand... hapana, hakutaka akae nae kwenye foleni hakukuwa na foleni kabla Rais hajaja na msafara Rais angeweza kujiunga na flow of traffic bila kutengeneza traffic nightmare
Barieda JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 1,808 Reaction score 2,470 Nov 24, 2021 #42 Verrazanno said: hapana, hakutaka akae nae kwenye foleni hakukuwa na foleni kabla Rais hajaja na msafara Rais angeweza kujiunga na flow of traffic bila kutengeneza traffic nightmare Click to expand... Kwakuwa wee bado ni kijana hujui kesho yako, tutaona kwenye utawala wako.
Verrazanno said: hapana, hakutaka akae nae kwenye foleni hakukuwa na foleni kabla Rais hajaja na msafara Rais angeweza kujiunga na flow of traffic bila kutengeneza traffic nightmare Click to expand... Kwakuwa wee bado ni kijana hujui kesho yako, tutaona kwenye utawala wako.
Mufti kuku The Infinity JF-Expert Member Joined Sep 21, 2019 Posts 6,053 Reaction score 10,032 Nov 24, 2021 Thread starter #43 Tate Mkuu said: Au kama vipi watengeneze barabara zao. Waache kujiona wao ndiyo wenye thamani na wanaojali muda kuliko wengine. Hata mimi jambo hili limekuwa likinikera sana. Click to expand... Sidhan kama kuna mtu anapenda hii kadhia
Tate Mkuu said: Au kama vipi watengeneze barabara zao. Waache kujiona wao ndiyo wenye thamani na wanaojali muda kuliko wengine. Hata mimi jambo hili limekuwa likinikera sana. Click to expand... Sidhan kama kuna mtu anapenda hii kadhia
2day Senior Member Joined Mar 2, 2017 Posts 168 Reaction score 129 Nov 24, 2021 #44 Katika vitu vinavyokera ktk maisha ni misafara isiyozingatia maisha ya watu wengine mnawekwa kwnye foleni massa 2 kumbe mtu hajaamka yupo kitandani
Katika vitu vinavyokera ktk maisha ni misafara isiyozingatia maisha ya watu wengine mnawekwa kwnye foleni massa 2 kumbe mtu hajaamka yupo kitandani
magnifico JF-Expert Member Joined Jan 14, 2013 Posts 11,075 Reaction score 24,634 Nov 24, 2021 #45 Maghayo said: Dogo si mliwachagua wenyewe? Click to expand... Naonekana kama nachagua upuuzi?!
M Maghayo JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 20,307 Reaction score 47,210 Nov 24, 2021 #46 magnifico said: Naonekana kama nachagua upuuzi?! Click to expand... Dogo acha porojo mfungulie shemeji yako geti anapiga honi
magnifico said: Naonekana kama nachagua upuuzi?! Click to expand... Dogo acha porojo mfungulie shemeji yako geti anapiga honi