Viongozi wangu wa CCM inatosha sasa, TEC hawatatuelewa hadi tueleweke!

We mzee baada ya mkataba kusainiwa leo hii mbele ya hao TEC una lolote la kusema?
 
TEC wapo pamoja na serikali.
 
TEC wapo pamoja na serikali.
Hapana, TEC hawapo pamoja na serikali, bali serikali ndo wapo pamoja na TEC, na sababu ni kwamba wamebadirisha vipengere vyote tata vya kwenye mkataba, ambavyo ni;

1. Mkataba maximum miaka 30, siyo kama mwanzo haukuwa na mwisho.

2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria.

3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5.

4. Serikali itachukua 60% ya mapato au faida.

5. Serikali ina uwezo wa kuvunja mkataba muda wowote.Si kamahapo mwazo.

6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata kuwa DP World).

7. Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote nyingine mwambaowa Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.

#Dawa ya TEC iliingia….😂😂
 
👆
 
Ile dhana ya kwamba wenye nchi ni wananchi kwa taifa la Tanzania haipo...
 
"kama hujui kiarabu hutoi mzigo bandarini",,si ndio nyie hau hamkusema,,huu ndio muda wa nyoosha maelezo,,ni mpaka mseme😂
Usinijumlishe, kwangu mimi ilikuwa maboresho yaliyoorodheshwa. Huo upuuzi mwingine niwekee ushahidi wa mimi nilipoandika au niliposema hivyo..!! Acha kusingizia na kukwepa hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…