Viongozi wangu wa CCM inatosha sasa, TEC hawatatuelewa hadi tueleweke!

Viongozi wangu wa CCM inatosha sasa, TEC hawatatuelewa hadi tueleweke!

Ukiwa na madaraka kwenye Nchi hipaswi kuleta mambo ya madhehebu yenu.

Upuuzi wa hivi ukome maana unaweza kuja kuleta shida baadae
Ninaposema kichwa chako hakifikiri sawasawa usiwe unakimbilia kukana jambo lililowazi. Mabandiko yako mengi humu sasa yanaonyesha umechanganyikiwa sana.

Ngoja nikukumbushe hapa kwamba ni huyo kiongozi wako ndiye aliyekwenda kutoa zawadi ya tsh 100 milioni, na takataka nyinginezo. Hakulazimishwa na yeyote kufanya hivyo, na sababu zake kufanya hivyo anazijua mwenyewe.

Ukitaka kusemea jambo, anza na huyo huyo anayekulisha na kukupeleka chooni na kukufanya uwe humu jukwaani kutwa, na kila siku.
 
Umazungumza utumbo

Benki ya Mkombozi inafanya kazi za kibenki kwa,mujibu wa sheria na inasimamiwa na Benki kuu . Benki hiyo haikufanya kosa lolote kupokea, pesa zilizowekwa na mteja wake na ilichukua hatua zote ikiwemo kuitaarifu TRA.

Mkombozi haiwezi kufutwa hata zje nani mradi sheria zinafuatwa. Kanisa kwanza halikupokea fungu kama unavyolopoka. Pili yule askofu alipewa pesa na muumini kama matoleo na si kazi ya anayepewa pesa kuhoji uhalali wa pesa inayotolewa sadaka . Wewe hapo unapotoa sadaka huwa unatoa maelezo ya hizo hela umepata wapi.

Tena huyo aliyetoa pesa ni zake kwa sababu aliuza hisa zake kihalali na alikuwa anatambulika Brella kuwa anamiliki hisa hizo na hakuna mahakama yeyote inayoweza ku.mtia hatiani.

Fanya analysis kidogo kabla hujakurupuka kuposti.
Najuwa, hata akikusoma mara mia moja na kukuelewa ulichoandika hapa, bado hatataka kuona ukweli uliouweka wazi.

Hawa watu siyo kwamba haya hawayajui, wanayajua vizuri sana, lakini wanaona ni bora kuendelea na upotoshaji tu.
 
Najuwa, hata akikusoma mara mia moja na kukuelewa ulichoandika hapa, bado hatataka kuona ukweli uliouweka wazi.

Hawa watu siyo kwamba haya hawayajui, wanayajua vizuri sana, lakini wanaona ni bora kuendelea na upotoshaji tu.
Tatizo kubwa ni njaa, ndio maana anajitoa ufahamu.
 
TEC ni akina nani kwani? Tuache mambo ya kuendekeza upumbavu saa zingine.... Wao ni Mungu kiasi kwamba wasipokukubali utetereke? Hii ni stupidity of the highest order
 
Viongozi kuwa na madhehebu Yao ni sawa ila msimamo wa madhehebu Yao haupaswi kuwa msimamo wa Nchi.

Ukiwa na madaraka kwenye Nchi hipaswi kuleta mambo ya madhehebu yenu.

Upuuzi wa hivi ukome maana unaweza kuja kuleta shida baadae
Kwa hiyo, kwa maani yako, wanachokisimamia TEC ni upuuzi?
 
TEC ni akina nani kwani? Tuache mambo ya kuendekeza upumbavu saa zingine.... Wao ni Mungu kiasi kwamba wasipokukubali utetereke? Hii ni stupidity of the highest order
Kwa hiyo wewe unakubali serikali na CCM iwape DP world bandari na ardhi yetu? Au wewe ni mmoja wao?
 
Lazima niseme. Nguvu kubwa inafanywa na viongozi wetu wa CCM Taifa ambao pia ni viongozi serikalini kupata 'uungwaji mkono' na Maaskofu wa Kanisa Katoliki. Ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Kuanzia Mwenyekiti/Rais hadi viongozi wengine waandamizi wamekuwa 'busy' na kutafuta kukubalika na wakatoliki.

Pamoja na ukweli kuwa ili ushindi upatikane na utulivu wa kiuongozi utamalaki lazima ukubalike na TEC, sasa imekuwa 'too much'. Makada wabobezi na waandamizi (hasa tulio wakatoliki) tunatumwa bila kusemwa kwa Kardinali, Maaskofu, Mapadre na wengineo ili kusaka kukubalika kwa viongozi wetu.

Amini nawaambia viongozi wangu wa kichama na kiserikali, TEC hawatashawishika kirahisi.

Hawatasahaulishwa msimamo na Tamko lao juu ya mkataba tata wa DP World. Hawatalaghaiwa kwa ahadi za kifedha; kupokelewa uwanjani au kupewa kanzu. TEC bado wanalo la bandari na wamejipanga kuusimamia msimamo wao.

Ili CCM tujisafishe mbele ya TEC, Tamko lao liheshimiwe. Kupigana vikumbo kujisogeza kwao hakutasaidia chochote. TEC imesheheni waelewa wa mambo zaidi ya wanasiasa wa zamani na wa sasa. Si wepesi kuyumbishwa kwa ahadi zisizo na kadi; michngo ya michongo na zawadi maridadi.

CCM tumeshaanza kampeni, wenzetu vipi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Nilishasema kuwa Mungu anaifuta CCM kwa kasi kubwa.

Sikuwa nafahamu how, lakini yasiyowezekana kwa mwanadamu
 
Kwangu ni upuuzi,kwao ni Cha maana.Tuache kuboresha Ufanisi wa Bandari kisa TEC wamepinga?
Kwa hiyo DP World ndiyo peke yao wenye uwezo wa kuboresha bandari zetu? Je, umesoma na kuelewa vyema masharti yale tata ya mkataba aliosaini mbarawa na bi tozo?
 
Benki ilitumika kutakatisha pesa za wizi hilo hawawezi kulikuepa hamna sadaka ya 100m huo ni wizi, nyie chokozeni serikali na TEC yenu isio kua na mchango wote katika uchumi wetu, mtaliona la mtema kuni......
Duh 🙄 !
 
Hata Mimi naunga mkono,kwani lazima Kila kitu hao TEC waunge mkono? Ni upuuzi kutokubalia kukubaliana na itakuwa Haina maana Sasa ya kuwa na Taifa.

Maendeleo huletwa katikati ya mgongano wa fikra,TEC na RC hawaendeshi hii Nchi ni mambo ya kipuuzi kuwaza hivyo na inajenga mbegu ya chuki kw watu wa madhehebu na dini zingine.

Inakera sana.
[emoji1][emoji1][emoji1]
Haipo sababu ya kukereka..

Muhimu simamia unachokiamini.
Hakuna atakaekereka na msimamo wako ..
 
Maendeleo huletwa katikati ya mgongano wa fikra,TEC na RC hawaendeshi hii Nchi ni mambo ya kipuuzi kuwaza hivyo na inajenga mbegu ya chuki kw watu wa madhehebu na dini zingine.

Inakera sana.
Hawa tec wanataka kujipa umuhimu wasio kua nao, hao umuhimu wao ni huko makanisani, katika swala la uendeshani nchi hao ni raia tu kama raia wengine.
 
Lazima niseme. Nguvu kubwa inafanywa na viongozi wetu wa CCM Taifa ambao pia ni viongozi serikalini kupata 'uungwaji mkono' na Maaskofu wa Kanisa Katoliki. Ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Kuanzia Mwenyekiti/Rais hadi viongozi wengine waandamizi wamekuwa 'busy' na kutafuta kukubalika na wakatoliki.

Pamoja na ukweli kuwa ili ushindi upatikane na utulivu wa kiuongozi utamalaki lazima ukubalike na TEC, sasa imekuwa 'too much'. Makada wabobezi na waandamizi (hasa tulio wakatoliki) tunatumwa bila kusemwa kwa Kardinali, Maaskofu, Mapadre na wengineo ili kusaka kukubalika kwa viongozi wetu.

Amini nawaambia viongozi wangu wa kichama na kiserikali, TEC hawatashawishika kirahisi.

Hawatasahaulishwa msimamo na Tamko lao juu ya mkataba tata wa DP World. Hawatalaghaiwa kwa ahadi za kifedha; kupokelewa uwanjani au kupewa kanzu. TEC bado wanalo la bandari na wamejipanga kuusimamia msimamo wao.

Ili CCM tujisafishe mbele ya TEC, Tamko lao liheshimiwe. Kupigana vikumbo kujisogeza kwao hakutasaidia chochote. TEC imesheheni waelewa wa mambo zaidi ya wanasiasa wa zamani na wa sasa. Si wepesi kuyumbishwa kwa ahadi zisizo na kadi; michngo ya michongo na zawadi maridadi.

CCM tumeshaanza kampeni, wenzetu vipi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Kabla ya 2015 mimi nilikuwa na mtu ambaye alikuwa anaweza kupeleka kwenye mfumo wa nchi maoni yangu juu ya nani ateuliwe na CCM kugombea urais.Nilikuwa natoa hoja mbili kuu kumpendekeza Magufuli; 1. Kati ya viongozi wote yeye bado alikuwa ana imani ya wananchi,2.Alikuwa anatoka kwenye kanda yenye wapiga kura wengi.
Kwa sasa huyo mtu hayuko jirani na mfumo wa sasa.Lakini kwa kuzingatia kuwa mimi nikisema kitu mara nyingi ndiyo huwa ni uhalisia,nashauri CCM wasimteue Mama mwaka 2025 kugombea urais.Ikiwezekana Mwinyi,Rais wa Zanzibar agombee huku Bara.
 
Lazima niseme. Nguvu kubwa inafanywa na viongozi wetu wa CCM Taifa ambao pia ni viongozi serikalini kupata 'uungwaji mkono' na Maaskofu wa Kanisa Katoliki. Ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Kuanzia Mwenyekiti/Rais hadi viongozi wengine waandamizi wamekuwa 'busy' na kutafuta kukubalika na wakatoliki.

Pamoja na ukweli kuwa ili ushindi upatikane na utulivu wa kiuongozi utamalaki lazima ukubalike na TEC, sasa imekuwa 'too much'. Makada wabobezi na waandamizi (hasa tulio wakatoliki) tunatumwa bila kusemwa kwa Kardinali, Maaskofu, Mapadre na wengineo ili kusaka kukubalika kwa viongozi wetu.

Amini nawaambia viongozi wangu wa kichama na kiserikali, TEC hawatashawishika kirahisi.

Hawatasahaulishwa msimamo na Tamko lao juu ya mkataba tata wa DP World. Hawatalaghaiwa kwa ahadi za kifedha; kupokelewa uwanjani au kupewa kanzu. TEC bado wanalo la bandari na wamejipanga kuusimamia msimamo wao.

Ili CCM tujisafishe mbele ya TEC, Tamko lao liheshimiwe. Kupigana vikumbo kujisogeza kwao hakutasaidia chochote. TEC imesheheni waelewa wa mambo zaidi ya wanasiasa wa zamani na wa sasa. Si wepesi kuyumbishwa kwa ahadi zisizo na kadi; michngo ya michongo na zawadi maridadi.

CCM tumeshaanza kampeni, wenzetu vipi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Utumwe wewe kama nani?
 
Wewe ndo muakilishi wa hao TEC au unesemea hisia zako? Kuna mtu ambaye anaweza kugomea CCm hapa Tz kweli, wewe utakua hujui siasa za CCM, TEC inahitaji sana CCM kiliko CCM inavo hitaji TEC, au umesahau pesa za kifisad za Escrow zilipitia Mkombozi benk ambayo ni Benki ya kanisa na Kanisa elipokea fungu, wataka uchunguzi wa hiyo kesi ufufuliwe uone kama mkombozi bank itakuepo tena............acha kushezea state hususani ukiwa Africa.
Hakuna serikali duniani imewahi chezea kanisa ikasurvive.Mama si mjinga kupeleka kanzu usiendeshwe na chuki za kijinga za kidini.
Rais yupi amewahi kwenda ofisi ya Mufti kupeleka zawadi?
 
Hawatasahaulishwa msimamo na Tamko lao juu ya mkataba tata wa DP World. Hawatalaghaiwa kwa ahadi za kifedha; kupokelewa uwanjani au kupewa kanzu. TEC bado wanalo la bandari na wamejipanga kuusimamia msimamo wao.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili CCM tujisafishe mbele ya TEC, Tamko lao liheshimiwe. Kupigana vikumbo kujisogeza kwao hakutasaidia chochote. TEC imesheheni waelewa wa mambo zaidi ya wanasiasa wa zamani na wa sasa. Si wepesi kuyumbishwa kwa ahadi zisizo na kadi; michngo ya michongo na zawadi maridadi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom