Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio huyu mtekaji ndio mgombea ubunge?? Karma itafanya kazi yakeDr Ulimboka alitekwa na Ramdhani Ighondu ,Ulimboka mwenyewe alimtambua na pia Side Mnyamwezi Kubenea aliweka hadi ushahidi wa mawasiliano yao A to Z ,hakukuwa na mawasiliono ya Ighondu na JK bali Ighondu alifanya kwa utashi wake mwenyewe.
Kwahio huyu mtekaji ndio mgombea ubunge?? Karma itafanya kazi yake
Wakwere asili yao ni unafiki. Pengi JK sifahamu vizuriMkwere sio mnafiki. Anaongea ukweli. Nakumbuka miaka yake walikuwa wakipingana kwa hoja bungeni baadae anawaita ikulu anasikiliza hoja za kila upande then wanamaliza. Hakukuwepo kupigana risasi, kutekana au kupotea kwa watu kwa miaka yote 10. Hongeraaa rais Kikwete.