Viongozi wastaafu walishtukizwa kuongea na wameongea ukweli

Dr Ulimboka alitekwa na Ramdhani Ighondu ,Ulimboka mwenyewe alimtambua na pia Side Mnyamwezi Kubenea aliweka hadi ushahidi wa mawasiliano yao A to Z ,hakukuwa na mawasiliono ya Ighondu na JK bali Ighondu alifanya kwa utashi wake mwenyewe.
Kwahio huyu mtekaji ndio mgombea ubunge?? Karma itafanya kazi yake
 
Wakwere asili yao ni unafiki. Pengi JK sifahamu vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…