ImagineNakurudisha miaka mitatu iliyopita, Rais Samia alipotangaza msiba wa Magufuli alitangaza siku 7 za maombolezo kwa mara ya kwanza. Wakati huo hakuwa anajua Katiba inatambua siku 21. Hili linatosha kuonesha kuwa Viongozi wengi walikuwa hawana ufahamu na katiba
Mahojiano ya Mabeyo ya hivi karibuni yasifanye tuone makosa ya kikatiba yaliyofanyika yalikuwa na nia yoyote ovu dhidi ya aliyetakiwa kuapishwa.
Naweka rekodi sawa tu.
Hivi kwanini kumekuwa kunafichwa mtu aliye kuwa anataka achukue nafasi rais baada ya kifo cha JPM?
Magufuli alikuwa haijui katibaNakurudisha miaka mitatu iliyopita, Rais Samia alipotangaza msiba wa Magufuli alitangaza siku 7 za maombolezo kwa mara ya kwanza. Wakati huo hakuwa anajua Katiba inatambua siku 21. Hili linatosha kuonesha kuwa Viongozi wengi walikuwa hawana ufahamu na katiba
Mahojiano ya Mabeyo ya hivi karibuni yasifanye tuone makosa ya kikatiba yaliyofanyika yalikuwa na nia yoyote ovu dhidi ya aliyetakiwa kuapishwa.
Naweka rekodi sawa tu.