Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Ujumbe wangu ni huo fanyeni utafiti, wachawi na wafuasi wa mashetani hawana utu na ubinadamu na mioyo yao haina huruma. Mbele ya mchawi binadamu yeyote ni chakula chao.
Wenye macho ya rohoni na utambuzi mtaongezea mengine.
Ni hayo tu
Wenye macho ya rohoni na utambuzi mtaongezea mengine.
Ni hayo tu