Viongozi wetu hamtembei kuona majiji ya wenzetu yalivyoendelea kwa upande wa barabara?

Viongozi wetu hamtembei kuona majiji ya wenzetu yalivyoendelea kwa upande wa barabara?

Kwaasenga

Member
Joined
Jan 28, 2023
Posts
74
Reaction score
104
Mm inaniumiza sana jiji kama la Dar es salaam Tanroads bado ina barabara za tope. Tunapoteza hela nyingi kuchonga na hata uchumi mwingi wa wananchi unapotelea kwenye barabara mbovu.

Nimejiuliza swali, hivi viongozi wetu hawatembei kuona majiji ya wenzetu yalivyosheheni barabara nzuri?? Huwezi kuicha sehemu inayokuzalishia zaidi ya asilimia 60 ya mapato yote ya nchi iendelee kuwa na barabara mbovu tena za Tanroads. Ingekuwa na miundo mbinu safi za barabara si ingezalisha zaidi ya hizi asilimia kwenye mapato?

Tunamuomba mh Rais aangalie uwezekano wa kuhakikisha barabara zote za Tanroads Dar zinakuwa na lami. Makakati uanze na zile za Tanroads then Tarura itakuwa baadae.

Nikiangalia majiji ya wenzetu na kuingalia Dar nasikitika sana kwa kweli. Barabara nyingi ni mahandaki. Tuongeze lami ili tukuze mji, hii inasaidia pia kurahisha shughuli za kiuchumi maeneo yenye lami. Uchumi wa eneo unapokua ndo hata kodi zinavyoongezeka.
 
Wanaenda kila sehemu na wanajua vizuri
Tatizo tamaa zao za kuiba na sio kwamba hawataki na kuyaona haya bali wanaiba mpaka ule mfuko wa kubebea hela
 
Wakati huo Tanzania ina 85k+, sisi bado sana mkuu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230415_222354_Facebook.jpg
    Screenshot_20230415_222354_Facebook.jpg
    64.9 KB · Views: 7
TanRoads wamepiga Trilioni 2 na point, hizo Balabala wamezigeuza kuwa Konyagi na Michepuko ya kudumu.
 
Wanaenda kila sehemu na wanajua vizuri
Tatizo tamaa zao za kuiba na sio kwamba hawataki na kuyaona haya bali wanaiba mpaka ule mfuko wa kubebea hela
Miji ya wenzetu inayoleta uchumi imeendela sana kwa kweli kwa upande wa barabara. Kwetu mpaka awepo kiongozi eneo flani ndo Tanroads wanapeleka lami! Hatari sana.
 
Mm inaniumiza sana jiji kama la Dar es salaam Tanroads bado ina barabara za tope. Tunapoteza hela nyingi kuchonga na hata uchumi mwingi wa wananchi unapotelea kwenye barabara mbovu.

Nimejiuliza swali, hivi viongozi wetu hawatembei kuona majiji ya wenzetu yalivyosheheni barabara nzuri?? Huwezi kuicha sehemu inayokuzalishia zaidi ya asilimia 60 ya mapato yote ya nchi iendelee kuwa na barabara mbovu tena za Tanroads. Ingekuwa na miundo mbinu safi za barabara si ingezalisha zaidi ya hizi asilimia kwenye mapato?

Tunamuomba mh Rais aangalie uwezekano wa kuhakikisha barabara zote za Tanroads Dar zinakuwa na lami. Makakati uanze na zile za Tanroads then Tarura itakuwa baadae.

Nikiangalia majiji ya wenzetu na kuingalia Dar nasikitika sana kwa kweli. Barabara nyingi ni mahandaki. Tuongeze lami ili tukuze mji, hii inasaidia pia kurahisha shughuli za kiuchumi maeneo yenye lami. Uchumi wa eneo unapokua ndo hata kodi zinavyoongezeka.
Wanatembea ila hakuna pesa za kutosha kujenga Kwa viwango hivyo plus ushamba.
 
Mm inaniumiza sana jiji kama la Dar es salaam Tanroads bado ina barabara za tope. Tunapoteza hela nyingi kuchonga na hata uchumi mwingi wa wananchi unapotelea kwenye barabara mbovu.

Nimejiuliza swali, hivi viongozi wetu hawatembei kuona majiji ya wenzetu yalivyosheheni barabara nzuri?? Huwezi kuicha sehemu inayokuzalishia zaidi ya asilimia 60 ya mapato yote ya nchi iendelee kuwa na barabara mbovu tena za Tanroads. Ingekuwa na miundo mbinu safi za barabara si ingezalisha zaidi ya hizi asilimia kwenye mapato?

Tunamuomba mh Rais aangalie uwezekano wa kuhakikisha barabara zote za Tanroads Dar zinakuwa na lami. Makakati uanze na zile za Tanroads then Tarura itakuwa baadae.

Nikiangalia majiji ya wenzetu na kuingalia Dar nasikitika sana kwa kweli. Barabara nyingi ni mahandaki. Tuongeze lami ili tukuze mji, hii inasaidia pia kurahisha shughuli za kiuchumi maeneo yenye lami. Uchumi wa eneo unapokua ndo hata kodi zinavyoongezeka.
Kwani si walikubaliana hawataki uchumi wa vitu?
 
Hii nchi ndogo kama baadhi ya mikoa yetu au hata wilaya, wao wanawezaje kutengeneza barabara zilizo bora kuliko sisi? 🤔... Hivi sisi tunafeli wapi?? TANROAD hakuna wasomi wenye uwezo hata wa ku-copy na ku-paste?

 
Back
Top Bottom