Viongozi wetu wameiua Geneva ya Afrika.

Viongozi wetu wameiua Geneva ya Afrika.

agapito

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2014
Posts
252
Reaction score
258
Kikao cha usuluhishi wa mgogoro wa Kongo kimefanyika leo jijini Dar es salaam. Si nia ya uzi huu kujadili maamuzi ya kikao hicho, bali kuangalia faida zitokanazo na kikao hicho. Kama nchi lazima tuangalie faida tunazozipata na hasara zake! Kama sikosei vikao vyote vya usuluhishi wa Burundi kuanzia alipoanza mwalimu Nyerere mpaka alipokuja kupokea kijiti mzee Mandela vilifanyika Arusha. Hii ilifanya jiji la Arusha kujitangaza zaidi na kuonekana kweli ni kitovu cha amani Afrika,leo hali imekuwa tofauti! Vikao vyote ni Dar hali inayosababisha vurugu kubwa na foleni zisizo za lazima katika barabara za jiji,kifupi shughuli zote za jiji zimesimama. Hebu viongozi wetu wafikiri nje ya box sasa ili vikao kama hivi vifanyike Arusha ambapo hakuna mishemishe kama Dar na pia kuzidi kuliinua jina la Geneva ya Africa.
 
Kikao cha usuluhishi wa mgogoro wa Kongo kimefanyika leo jijini Dar es salaam. Si nia ya uzi huu kujadili maamuzi ya kikao hicho, bali kuangalia faida zitokanazo na kikao hicho. Kama nchi lazima tuangalie faida tunazozipata na hasara zake! Kama sikosei vikao vyote vya usuluhishi wa Burundi kuanzia alipoanza Mzee Mandela mpaka alipokuja kupokea kijiti mwalimu Nyerere vilifanyika Arusha. Hii ilifanya jiji la Arusha kujitangaza zaidi na kuonekana kweli ni kitovu cha amani Afrika,leo hali imekuwa tofauti! Vikao vyote ni Dar hali inayosababisha vurugu kubwa na foleni zisizo za lazima katika barabara za jiji,kifupi shughuli zote za jiji zimesimama. Hebu viongozi wetu wafikiri nje ya box sasa ili vikao kama hivi vifanyike Arusha ambapo hakuna mishemishe kama Dar na pia kuzidi kuliinua jina la Geneva ya Africa.
Kweli kabisa 👍🙏
 
Kikao cha usuluhishi wa mgogoro wa Kongo kimefanyika leo jijini Dar es salaam. Si nia ya uzi huu kujadili maamuzi ya kikao hicho, bali kuangalia faida zitokanazo na kikao hicho. Kama nchi lazima tuangalie faida tunazozipata na hasara zake! Kama sikosei vikao vyote vya usuluhishi wa Burundi kuanzia alipoanza Mzee Mandela mpaka alipokuja kupokea kijiti mwalimu Nyerere vilifanyika Arusha. Hii ilifanya jiji la Arusha kujitangaza zaidi na kuonekana kweli ni kitovu cha amani Afrika,leo hali imekuwa tofauti! Vikao vyote ni Dar hali inayosababisha vurugu kubwa na foleni zisizo za lazima katika barabara za jiji,kifupi shughuli zote za jiji zimesimama. Hebu viongozi wetu wafikiri nje ya box sasa ili vikao kama hivi vifanyike Arusha ambapo hakuna mishemishe kama Dar na pia kuzidi kuliinua jina la Geneva ya Africa.
Nyerere Kisha Mandela ....na sio Mandela Kisha Nyerere.
 
Kikao cha usuluhishi wa mgogoro wa Kongo kimefanyika leo jijini Dar es salaam. Si nia ya uzi huu kujadili maamuzi ya kikao hicho, bali kuangalia faida zitokanazo na kikao hicho. Kama nchi lazima tuangalie faida tunazozipata na hasara zake! Kama sikosei vikao vyote vya usuluhishi wa Burundi kuanzia alipoanza Mzee Mandela mpaka alipokuja kupokea kijiti mwalimu Nyerere vilifanyika Arusha. Hii ilifanya jiji la Arusha kujitangaza zaidi na kuonekana kweli ni kitovu cha amani Afrika,leo hali imekuwa tofauti! Vikao vyote ni Dar hali inayosababisha vurugu kubwa na foleni zisizo za lazima katika barabara za jiji,kifupi shughuli zote za jiji zimesimama. Hebu viongozi wetu wafikiri nje ya box sasa ili vikao kama hivi vifanyike Arusha ambapo hakuna mishemishe kama Dar na pia kuzidi kuliinua jina la Geneva ya Africa.
Huyu Mama in Lissu voice tukimchekea atapeleka vikao Kizimkazi.
 
Unauliza Rc chalamila Makao makuu yapo wapi ya serikali
IMG_0535.jpeg
 
Kikao cha usuluhishi wa mgogoro wa Kongo kimefanyika leo jijini Dar es salaam. Si nia ya uzi huu kujadili maamuzi ya kikao hicho, bali kuangalia faida zitokanazo na kikao hicho. Kama nchi lazima tuangalie faida tunazozipata na hasara zake! Kama sikosei vikao vyote vya usuluhishi wa Burundi kuanzia alipoanza mwalimu Nyerere mpaka alipokuja kupokea kijiti mzee Mandela vilifanyika Arusha. Hii ilifanya jiji la Arusha kujitangaza zaidi na kuonekana kweli ni kitovu cha amani Afrika,leo hali imekuwa tofauti! Vikao vyote ni Dar hali inayosababisha vurugu kubwa na foleni zisizo za lazima katika barabara za jiji,kifupi shughuli zote za jiji zimesimama. Hebu viongozi wetu wafikiri nje ya box sasa ili vikao kama hivi vifanyike Arusha ambapo hakuna mishemishe kama Dar na pia kuzidi kuliinua jina la Geneva ya Africa.
Kwanza tunamshukuru mama kwa kutuletea M23 hakika tumepaisha utalii wetu kutokana na wageni waliofika
 
Back
Top Bottom