Viongozi Yanga Sc waipigia magoti CAF

Viongozi Yanga Sc waipigia magoti CAF

Hivi jamii forums mtu anaweza kabandika taarifa Kama hii Tena kishabiki tu kwa Jina la tetesi, bila kutaja hiyo source-tetezi, na Uzi uka kaa tu?
 
Wakati michuano ya club bingwa barani Africa hatua ya awali ikitarajiwa kuanza mwezi ujao tetesi zinasema kuwa uongozi wa Yanga kupitia CEO wao senzo wameiandikia shirikisho la mpira wa miguu barani Africa barua ya kuwaomba mchezo wao hatua ya awali waanzie ugenini na siyo nyumbani wakiofia kufurushwa mashindanoni.

Nb: nyie Yanga Afirika si mnasema mna watu sasa nyeye za nini?


View attachment 2294168

Na wapinzani wao wakisema waanzie ugenini kama ilivyopangwa itakuwaje hapo!
 
Wakati michuano ya club bingwa barani Africa hatua ya awali ikitarajiwa kuanza mwezi ujao tetesi zinasema kuwa uongozi wa Yanga kupitia CEO wao senzo wameiandikia shirikisho la mpira wa miguu barani Africa barua ya kuwaomba mchezo wao hatua ya awali waanzie ugenini na siyo nyumbani wakiofia kufurushwa mashindanoni.

Nb: nyie Yanga Afirika si mnasema mna watu sasa nyeye za nini?


View attachment 2294168
🚮 Rubbish!!!
 
Tatizo hawana protakali za michezo ya kimataifa
 
Wakati michuano ya club bingwa barani Africa hatua ya awali ikitarajiwa kuanza mwezi ujao tetesi zinasema kuwa uongozi wa Yanga kupitia CEO wao senzo wameiandikia shirikisho la mpira wa miguu barani Africa barua ya kuwaomba mchezo wao hatua ya awali waanzie ugenini na siyo nyumbani wakiofia kufurushwa mashindanoni.

Nb: nyie Yanga Afirika si mnasema mna watu sasa nyeye za nini?


View attachment 2294168
Ila Mods siku hizi mmebadilika!! Yaani mnaweza kuvumilia UZUSHI mpaka ukaonekana ukweli?
 
Wakati michuano ya club bingwa barani Africa hatua ya awali ikitarajiwa kuanza mwezi ujao tetesi zinasema kuwa uongozi wa Yanga kupitia CEO wao senzo wameiandikia shirikisho la mpira wa miguu barani Africa barua ya kuwaomba mchezo wao hatua ya awali waanzie ugenini na siyo nyumbani wakiofia kufurushwa mashindanoni.

Nb: nyie Yanga Afirika si mnasema mna watu sasa nyeye za nini?


View attachment 2294168
Watafilika mapema kama msimu uliopita
 
....Ile ni droo... Ikikuangia utaanzia popote...
ni droo kwa ajili ya kutafuta mshindani. Akishapatikana, underdog anaanzia nyumbani na anamalizia ugenini. Huo ni utaratibu wa CAF kwa hatua ya awali, na wala si uchaguzi wa klabu. Upatikanaji wa nani ni underdog hufuata ranking ya CAF ya vilabu kwa miaka mitana inayokuwa imetangulia
 
Ila Mods siku hizi mmebadilika!! Yaani mnaweza kuvumilia UZUSHI mpaka ukaonekana ukweli?
Senzo anayumba. Juzi hapa ameiingiza hasara klabu kwa kuweka order ya kambi Uturuki. Jamaa wamekomalia malipo kulingana na mkataba, maana Yanga imeamua kwenda Morogoro
 
Huyu Senzo ni kheri Serikali imdeport arejee kwao maana anakuwa na akili za ajabu ajabu tangia aingie utopoloni .... Wao wana sababu gan ya kuomba waanzie ugenini ?

Wachague either wajitoe auwatulie wachezee
 
Acheni kudanganyana bhanaah... Wameomba lini? Una uthibitisho..? Au ndio umbulula...

Kwanza unaombaje... Kwani kila ikiomba je..? Ile ni droo... Ikikuangia utaanzia popote...

Nipo tangu mchana hap nikisubiri barua aliyoisoma mleta uzi. [emoji23][emoji23]
 
Wakati michuano ya club bingwa barani Africa hatua ya awali ikitarajiwa kuanza mwezi ujao tetesi zinasema kuwa uongozi wa Yanga kupitia CEO wao senzo wameiandikia shirikisho la mpira wa miguu barani Africa barua ya kuwaomba mchezo wao hatua ya awali waanzie ugenini na siyo nyumbani wakiofia kufurushwa mashindanoni.

Nb: nyie Yanga Afirika si mnasema mna watu sasa nyeye za nini?


View attachment 2294168
Nawahurumia wazazi wako wana hasara sana kufuga lifara miaka yote hio

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Wakati michuano ya club bingwa barani Africa hatua ya awali ikitarajiwa kuanza mwezi ujao tetesi zinasema kuwa uongozi wa Yanga kupitia CEO wao senzo wameiandikia shirikisho la mpira wa miguu barani Africa barua ya kuwaomba mchezo wao hatua ya awali waanzie ugenini na siyo nyumbani wakiofia kufurushwa mashindanoni.

Nb: nyie Yanga Afirika si mnasema mna watu sasa nyeye za nini?


View attachment 2294168
Barua inayoonysha wameomba ipo wapi?Umekula zako makande kisha unakuja Jf kuandika mashudu tupu.
 
Wewe na mwenzako Njaakarihatari aka Jemedari! mna shida kweli! Kutwa mnaanzisha zisizo na kichwa wala miguu kuhusu Yanga!

Sijui mnaumwa nini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu cnaaaaah.
 
ni droo kwa ajili ya kutafuta mshindani. Akishapatikana, underdog anaanzia nyumbani na anamalizia ugenini. Huo ni utaratibu wa CAF kwa hatua ya awali, na wala si uchaguzi wa klabu. Upatikanaji wa nani ni underdog hufuata ranking ya CAF ya vilabu kwa miaka mitana inayokuwa imetangulia
Watajuaje haya? Akati wao level zao ni Moro Utd na matombo centre. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Labda mantiki yao ni kuwa siku ya kuaga mashindano wawe ktk uwanja wa nyumbani baas, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom