mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Gsm ndo anaongoza timu.
Lakini wenyewe wanakwambia timu ya wananchi[emoji16][emoji16][emoji16]
Lakini wenyewe wanakwambia timu ya wananchi[emoji16][emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa. Hawataki sisi tubembeleze wachezaji wetu.Mbumbumbu wameshachukia hapo
Kama ni kweli basi uto ina uongozi dhaifu sana...Tunashukuru kwa viongozi kuweza mshawishi Saido kucheza match ya leo dhidi ya Azam. Tena baada ya kumwakikishia kuwa atapangwa kuanzia mwanzo na hatotolewa.
Kocha mpya ameambiwa kuwa asiwe anamwacha Saido nje ataleta matatizo kwa team. Saido amekubali kucheza dhidi ya Azam na viongozi pia wamemwakikishia kuwa atapata nafasi ya kufunga.
Kama ambavyo Nchimbi alihakikishiwa dhidi ya Gwambina kuwa naye angalau siku ile afute gundu. Wanayanga sasa wanatembea kifua mbele wakiwa na uhakika wa ushindi kwa baadhi ya team kutokana na maandalizi ambayo yanakuwa yamefanywa. Ili msimu huu kuhakikisha wanachukua kombe.
Hongera sana kwa viongozi wa Yanga. Daima mbele nyuma mwiko.
hv mngekuwa na mchezaj km Konde boy si mngeenda hata kumfulia boxer zakeWe mkia unateseka?