Viongozi Yanga wafanikiwa kumshawishi Saido Ntibanzokiza kucheza dhidi ya Azam

Gsm ndo anaongoza timu.
Lakini wenyewe wanakwambia timu ya wananchi[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kama ni kweli basi uto ina uongozi dhaifu sana...
 
Eti kahakikishiwa kufunga hahaha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…