Vip engineering yashinda kesi


Unahangaika kusafisha kilichooza.
 
Unahangaika kusafisha kilichooza.

Kazi kwelikweli ... kama Mtanzania baada ya kupewa hoja, na kuambiwa ajibu kwa hoja ili wananchi wapambanue anaweza akaja na maneno matatu haya, inasikitisha. Hii Forum inajadili mambo makubwa na ndiyo maana mtu akileta "habari" yake anaulizwa source ni nini!!! kwanini unahangaika kuongelea "kilichooza" katikati ya suala ambalo linatakiwa kujadiliwa kwa hekima - Basi tueleze na wewe, kilichooza kwenye hoja hizo ni nini ili Mtanzania ajue! au ulitaka majibu ya "VIP naye kashinda, Standard Chartered wakome" majibu ambayo hayamfanyi Mtanzania aongeze chochote cha kumsaidia kupambanua.
 
Hii Escrow itatufumbua mengi sana. Nilikuwa mtetezi mkubwa wa Zitto lakini baada ya ishu ya Escrow najuta hata kwa nini nilikuwa namtetea. Sikutegemea kama angeweza kuwa muongo na mzandiki kiasi hiki.
 
Last edited by a moderator:
Rudisheni pesa zetu majambawazi wakubwa ninyi
 
Mnanichanganya sasa. Sijui lolote kuhusu sheria, mnapotumia maneno magumu ya kisheria mnanitesa na kunichosha kabisa, nachanganyikiwa. Sasa swali langu ni moja tu, je hii ishu ya escrow na wote waliohusika ni watakatifu? je hakuna pesa yoyote ya sisi walipa kodi ambayo imetafunwa? je wote waliohusika katika kutoa maamuzi yoyote wakati wa mchakato mzima tokea mwanzo hadi mwisho waliyatoa kwa nia njema? Nikiwa kama mtanzania haki yangu ni ipi katika hii ishu. msinichoshe nataka tu nijue endapo kuna eneo fulani nimedhulumiwa au laa, na kama nimedhulumiwa ni nani aliyenidhulumu.
 

Hahahahaaaa! Hata shetani alitumia maandiko ya Biblia kwa kumjaribu Yesu Kristo ambaye alikuwa mwerevu na kuyashinda majaribu yake na kuendelea kuutangaza utukufu wa Mungu.
Isitoshe, licha ya kutumia maandiko matakatifu haikutosha kumsafisha shetani, alibaki kuwa shetani vilevile kwa kuwa alitaka kuyatumia maandiko ili kufanikisha uovu wake.
Mwishoni mwa majaribu, Yesu alisema "Nenda zako shetani!" Nami nakwambia hivi, "Nenda zako kibaraka wa Mafisadi."
(Matthew 4:6-11)
Ova
 
sasa hivi watadai VIP imeshinda kwa sababu...actually Simba trust inamilikiwa na maliah na sasha obama according to brela ya Australia.. hahaahha.
 

usiende haraka haraka, kabla hajamwambia "nenda zako shetani", kwanza alimjibu kila verse kwa verse, hivyo na wewe jibu kwanza hizo "verse za shetani" kabla hujamfukuza.
 
Hii Escrow itatufumbua mengi sana. Nilikuwa mtetezi mkubwa wa Zitto lakini baada ya ishu ya Escrow najuta hata kwa nini nilikuwa namtetea. Sikutegemea kama angeweza kuwa muongo na mzandiki kiasi hiki.

mkuu wabunge wa siku hizi si wakweli wakiambiwa sawa na komed wanakasirika pamoja na vyombo wa habari hapa tz
 
Last edited by a moderator:
usiende haraka haraka, kabla hajamwambia "nenda zako shetani", kwanza alimjibu kila verse kwa verse, hivyo na wewe jibu kwanza hizo "verse za shetani" kabla hujamfukuza.

wenye akili lazima wameona hoja (ilipo hoja) na pumba (ilipo pumba!)
Mwache aendelee na propaganda, anayo haki ya kujionesha namna anavyofikiria kwa jamii.
Tumpe tu heri ya noeli na mwaka Mpya
 

waambie hao wezi wa pesa wawe waadilifu maana kila uchwao wanatafuta vibaraka wa kuwatetea. huyo mzee wa ugolo pesa zingekuwa zake asingegawa kama njugu maana mgao ulikuwa na formula kabisa 1.6 b, 404m. Huyo waziri tiba anapigwa chini kesho!!!!
 
Tatizo watu fulani wachache wamejawa na jazba ya kushabikia vitu sensitive kimzahamzaha kila wanapoona ni fursa ya wao kujinufaisha kisiasa kwa kuupotosha umma.
Ni kweli kabisa. Kwani kama kweli ripoti ya CAG ilikuwa ndiyo inayotakiwa kutumika ili kutoa mapendekezo kwa Bunge ili nalo liweze kutoa mapendekezo sahihi kwa Serikali sasa iweje kamati ya Bunge iachane na ripoti ya CAG na badala yake kutoa mapendekezo yake kutoka katika vichwa na hisia za watu wachache?
Ni vizuri suala la kuheshimu sheria na taratibu za nchi zikaanzia katika kamati za Bunge na kuachana na mchezo mchafu wa kutumia nafasi hizo kwa ajili ya malengo binafsi. Kama kuna mtu wa kuwajibishwa kwa hakika ni Zitto Zuberi Kabwe ili atuelezee hizo tuhuma zimetoka wapi wakati ripoti ya CAG haisemi hivyo wala haijengo taswiar ya kutoa mwanya kwa mtu kufanya maamuzi ya kijinai kama ambavyo imesisitizwa katika ripoti yote ya PAC? tuambiwe kwani tunastahili kuambiwa ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…