Vip engineering yashinda kesi

Vip engineering yashinda kesi

sasa ndo tutajua kati ya ushabiki na common sense kipi kina matter
Mchungaji Msigwa aliposema kuhusu akili ndogo kuongoza akili kubwa, alisema jambo la maana sana.

Iwapo tu, lingetafsiriwa vizuri.
 
Hivi mlitegemea washindwe?? Wakati mpaka majaji wamepewa mgao...eti mchango wa harusi,...haya ni matusi kwa nchi..nani anayeweza mpa rafikiye mchango wa mil 400 kwa ajili ya harus??

Mpaka sasa prof wa anga kashikwa na kigugumizi kutoa tamko..chea bil 5 aliyopewa mke wa kigogo magomeni....
Kwahiyo mpaka majaji kutoka marekani wale wazungu nao wamepewa hongo?
 
Kampuni ya VIP Engineering and Marketing inayoshutumiwa kimakosa kwamba imefanya vitendo vya uvunjifu wa sheria kuhusiana na Akaunti ya Escrow imeibwaga Benki ya Standard Chartered katika shauri lililofunguliwa New York, Marekani. Angalia attachments hapo chini.
Aibu kwa zitto wazungu aliokuwa anawapigania wamegongwa mpaka kwenye mahakama za kwao zitto mburula analeta siasa mpaka kwenye mantiki na sheria.
 
Kama wamepigwa mpaka marekani basi waende mahakama za kuzimu pengine watashinda.
 
naona jamaa wameanza kampeni ya kusafisha wezi hasa waliopewa pesa.
Nani anamsafisha nani? Kesi aliyeifungua ni SCB kupinga hukumua iliyotolewa awali na mahakama ya New York ambayo ilielekeza kwamba mahakama za Tanzania zinastahili kusikiliza mashauri yanayohusu SCB na VIP. sasa hii kampeni ya kusafisha wezi waliopewa pesa ni nani anaifanya Mahakama za Marekani? Tuwe waadilifu kidogo hata kama tuna mitizamo tofauti katika jambo lolote lile.
 
Nimesoma nyaraka hizi za ushindi wa VIP Engineering! Nilipita tu ili nisome nielewe ndo nirudi. Nimesoma, nimeelewa, ni wakati wa kuwaambia Watanzania ukweli.

Bila kupepesa macho, naona dhahiri kuwa Zitto na PAC wametumiwa katika wimbo huu wa ESCROW! Nakubali kusahihishwa kwa hoja!! Ndiyo Hoja zije!

1. Zitto na PAC katika ripoti yao wanasema "kamati imebaini kuwa madai ya Standard Chartered ya Hong Kong kwa IPTL ni halali" – Najiuliza vipi Zitto na kamati yake waliweza kuthibitisha uhalali wa Madai ya Standard Chartered wakati suala la kwamba Standard Chartered ni mdai halali liko bado mahakamani?

2. Nimesoma nyaraka zote zinazohusu ushindi wa VIP Engineering taarifa mbalimbali zinazotolewa kuhusu mashauri haya, nalazimika kusema kuwa kama haya niliyogundua ni ya kweli, basi kazi bado ipo kubwa kufikia ukomavu wa kisiasa wa wanasiasa tunaodhani wanatetea Umma. Hebu twende pamoja:

(a) Standard Chartered Bank ambao wanalalamikia Mahakama za Tanzania baada ya kushindwa kuthibitisha kuwa wanalo deni halali (wanalosema eti walilinunua mwaka 2005 huku IPTL ikiwa tayari katika shauri la ufilisi) wanashitakiwa na VIP Engineering ya Ruge nchini Marekani ili kule zijulikane mbichi na mbivu hasa kuhusu uhalali wa linaloitwa deni na madhara ambayo Standard Chartered Bank imesababisha kwa VIP Engineering kwa kujiita mdai wa IPTL.

(b) Standard Chartered Bank baada ya kushitakiwa Marekani kwa woga wa kuumbiliwa tena huko dunia ya kwanza, wanaiambia Mahakama, IPTL imesajiliwa Tanzania, mtambo upo Tanzania, mashahidi wengi wapo Tanzania, tena kesi nyingine kuhusu IPTL zipo Tanzania!!! na wanaendelea kuiambia Mahakama ya Marekani kuwa shauri la Marekani lifutwe ili kesi ikasikilizwe kwenye Mahakama za Tanzania ambako wanakubali kutii amri yoyote ya Mahakama itakayotolewa. Jaji wa Marekani anakubalina na Standard Chartered Bank na kuamua kuwa mgogogo ulioanzishwa na VIP Engineering upelekwe Tanzania.

(c) VIP Engineering kwa kuzingatia maelekezo yaliyotolewa na Standard Chartered inafungua shauri la madai nchini Tanzania dhidi ya Standard Chartered Bank-Shauri ambalo kimantiki ni lilelile lililokuwa Marekani.

(d) Baada ya kuona kweli kuwa VIP Engineering haiweki mzaha katika madai yake, sasa Standard Chartered Bank wanajaribu kukana walichokisema Mahakamani Marekani [WANAKANA KWAMBA WALIKUBALI KUSHITAKIWA TANZANIA, WANAKANA KWAMBA WALIJIFUNGA KUHESHIMU HUKUMU ITAKAYOTOLEWA NA MAHAKAMA YA TANZANIA – AIBU! Wanakata rufaa ambayo ndo sasa wameshindwa. Mahakam ya Rufaa inakubalina na Maamuzi ya Jaji Victor Marrero yaliyosema:

The Court reaffirms its September 10 Order, which relied on Standard Chartered's representations that it considered Tanzania an adequate alternative forum, and which the Court deems an expression of Standard Chartered's consent to the adjudication of this action in Tanzania, and to comply with any final judgment rendered by any court of competent jurisdiction there in connection with the parties' underlying dispute.

(e) Kama vile haitoshi, WAKIWA TAYARI WAMESHITAKIWA NCHINI TANZANIA, baada ya wao wenyewe kuwa wameomba hivyo kwenye kesi waliyoshitakiwa nchini Marekani, wanafungua kesi dhidi ya VIP Engineering nchini Uingereza ambapo wanapinga kushitakiwa Tanzania [HAWA NDIO ZITTO NA PAC wanasema wana deni halali.

(f) Hawa ndio Standard Chartered Bank ambao Zitto na PAC wanasema kwamba mgogoro wao hauwezi kusikilizwa na Mahakama za Tanzania. Hivi haya majumuisho Zitto aliyapata wapi??? Hivi Zitto ni mweredi sana kuliko Mahakama ya Rufaa ya Nchini Marekani??? KWANINI tusiamini Zitto anatumiwa kuendesha kesi ya Standard Chartered kisiasa kwa sababu anauwezo wa kuongelea Bungeni ambako labda waathirika hawawezi kupata nafasi ya kuongelea.

(g) Wakati kukiwa na kesi nchini Tanzania, na kesi iliyofunguliwa baadaye nchini Uingereza, wakati Standard Chartered Bank ikiwa imefungua rufaa ya kukana iliyoyatamka nchini Marekani (Rufaa ambayo dhahili wameshindwa), ni kitu gani kilichofanya Mheshimiwa Barozi wa Uingereza .... atamke kuhusu yaliyo mahakamani, kama kweli haki ndo inayotafutwa. Zitto mwenyewe alitamka Bungeni kuwa alifuatwa – Aibu tupu?

(h) Hivi tukijaribu kuuvaa umakini, kwa wale waliosoma ripoti ya CAG, hivi ni kweli ripoti ya PAC imezingatia mapendekezo ya CAG, au hata kuyatilia maanani, na kama haikufanya hivyo, kwanini sasa CAG alipewa kazi ya kutayarisha ripoti (wakati PAC ilikuwa na uwezo wa kugundua, kuamua na kutoa hukumu.

(i) Zitto! Huyu huyu na PAC eti "kamati ilishangazwa kuona kwamba katika hali isiyokuwa ya kawaida, mahakama .... ilikwenda mbali zaidi na kupanga kiwango cha bei ya umeme kuwa USD 0.6 hadi 0.8 kwa uniti moja ya umeme. Sasa kama VIP Engineering iliweka sharti kuwa anayenunua hisa zake lazima ashushe bei ya umeme, na mnunuzi akakubali, wewe Zitto ni nani hata upinge hiyo bei ya chini! Na hutaki gharama ya umeme ishuke ili iwe nini! Hapo unamtetea Mtanzania kama unavyotaka uaminike?

(j) SASA SWALI LA MWISHO KWA WENYE AKILI: mgogoro wote unaohusu Tegeta Escrow Account unaanzia kwenye suala kuwa – IPTL ime-i-overcharge TANESCO kwenye CAPACITY CHARGES – SASA, ZITTO TWAMBIE, ni kampuni gani inayouza umeme TANESCO ambayo inatoza capacity charges ambazo ni za chini kuliko IPTL? Mimi nafahamu kuwa IPTL ndiyo inatoza tozo ya chini kabisa kwa maana ya capacity charges.

(k) Mpaka ZITTO na wenzako mkiweza kujibu kwa kutaja kampuni yoyote inayotoza tozo ndogo kuliko IPTL (Ili umma ujue kuwa IPTL inainyonya TANESCO) nitaendelea kusema kuwa MNATUMIWA KWA MASLAHI BINAFSI

(l) Ni wakati wa kuacha ushabiki na kujadili hoja...
 
Nimesoma nyaraka hizi za ushindi wa VIP Engineering! Nilipita tu ili nisome nielewe ndo nirudi. Nimesoma, nimeelewa, ni wakati wa kuwaambia Watanzania ukweli.

Bila kupepesa macho, naona dhahiri kuwa Zitto na PAC wametumiwa katika wimbo huu wa ESCROW! Nakubali kusahihishwa kwa hoja!! Ndiyo Hoja zije!

1. Zitto na PAC katika ripoti yao wanasema "kamati imebaini kuwa madai ya Standard Chartered ya Hong Kong kwa IPTL ni halali" – Najiuliza vipi Zitto na kamati yake waliweza kuthibitisha uhalali wa Madai ya Standard Chartered wakati suala la kwamba Standard Chartered ni mdai halali liko bado mahakamani?

2. Nimesoma nyaraka zote zinazohusu ushindi wa VIP Engineering taarifa mbalimbali zinazotolewa kuhusu mashauri haya, nalazimika kusema kuwa kama haya niliyogundua ni ya kweli, basi kazi bado ipo kubwa kufikia ukomavu wa kisiasa wa wanasiasa tunaodhani wanatetea Umma. Hebu twende pamoja:

(a) Standard Chartered Bank ambao wanalalamikia Mahakama za Tanzania baada ya kushindwa kuthibitisha kuwa wanalo deni halali (wanalosema eti walilinunua mwaka 2005 huku IPTL ikiwa tayari katika shauri la ufilisi) wanashitakiwa na VIP Engineering ya Ruge nchini Marekani ili kule zijulikane mbichi na mbivu hasa kuhusu uhalali wa linaloitwa deni na madhara ambayo Standard Chartered Bank imesababisha kwa VIP Engineering kwa kujiita mdai wa IPTL.

(b) Standard Chartered Bank baada ya kushitakiwa Marekani kwa woga wa kuumbiliwa tena huko dunia ya kwanza, wanaiambia Mahakama, IPTL imesajiliwa Tanzania, mtambo upo Tanzania, mashahidi wengi wapo Tanzania, tena kesi nyingine kuhusu IPTL zipo Tanzania!!! na wanaendelea kuiambia Mahakama ya Marekani kuwa shauri la Marekani lifutwe ili kesi ikasikilizwe kwenye Mahakama za Tanzania ambako wanakubali kutii amri yoyote ya Mahakama itakayotolewa. Jaji wa Marekani anakubalina na Standard Chartered Bank na kuamua kuwa mgogogo ulioanzishwa na VIP Engineering upelekwe Tanzania.

(c) VIP Engineering kwa kuzingatia maelekezo yaliyotolewa na Standard Chartered inafungua shauri la madai nchini Tanzania dhidi ya Standard Chartered Bank-Shauri ambalo kimantiki ni lilelile lililokuwa Marekani.

(d) Baada ya kuona kweli kuwa VIP Engineering haiweki mzaha katika madai yake, sasa Standard Chartered Bank wanajaribu kukana walichokisema Mahakamani Marekani [WANAKANA KWAMBA WALIKUBALI KUSHITAKIWA TANZANIA, WANAKANA KWAMBA WALIJIFUNGA KUHESHIMU HUKUMU ITAKAYOTOLEWA NA MAHAKAMA YA TANZANIA – AIBU! Wanakata rufaa ambayo ndo sasa wameshindwa. Mahakam ya Rufaa inakubalina na Maamuzi ya Jaji Victor Marrero yaliyosema:

The Court reaffirms its September 10 Order, which relied on Standard Chartered's representations that it considered Tanzania an adequate alternative forum, and which the Court deems an expression of Standard Chartered's consent to the adjudication of this action in Tanzania, and to comply with any final judgment rendered by any court of competent jurisdiction there in connection with the parties' underlying dispute.

(e) Kama vile haitoshi, WAKIWA TAYARI WAMESHITAKIWA NCHINI TANZANIA, baada ya wao wenyewe kuwa wameomba hivyo kwenye kesi waliyoshitakiwa nchini Marekani, wanafungua kesi dhidi ya VIP Engineering nchini Uingereza ambapo wanapinga kushitakiwa Tanzania [HAWA NDIO ZITTO NA PAC wanasema wana deni halali.

(f) Hawa ndio Standard Chartered Bank ambao Zitto na PAC wanasema kwamba mgogoro wao hauwezi kusikilizwa na Mahakama za Tanzania. Hivi haya majumuisho Zitto aliyapata wapi??? Hivi Zitto ni mweredi sana kuliko Mahakama ya Rufaa ya Nchini Marekani??? KWANINI tusiamini Zitto anatumiwa kuendesha kesi ya Standard Chartered kisiasa kwa sababu anauwezo wa kuongelea Bungeni ambako labda waathirika hawawezi kupata nafasi ya kuongelea.

(g) Wakati kukiwa na kesi nchini Tanzania, na kesi iliyofunguliwa baadaye nchini Uingereza, wakati Standard Chartered Bank ikiwa imefungua rufaa ya kukana iliyoyatamka nchini Marekani (Rufaa ambayo dhahili wameshindwa), ni kitu gani kilichofanya Mheshimiwa Barozi wa Uingereza .... atamke kuhusu yaliyo mahakamani, kama kweli haki ndo inayotafutwa. Zitto mwenyewe alitamka Bungeni kuwa alifuatwa – Aibu tupu?

(h) Hivi tukijaribu kuuvaa umakini, kwa wale waliosoma ripoti ya CAG, hivi ni kweli ripoti ya PAC imezingatia mapendekezo ya CAG, au hata kuyatilia maanani, na kama haikufanya hivyo, kwanini sasa CAG alipewa kazi ya kutayarisha ripoti (wakati PAC ilikuwa na uwezo wa kugundua, kuamua na kutoa hukumu.

(i) Zitto! Huyu huyu na PAC eti "kamati ilishangazwa kuona kwamba katika hali isiyokuwa ya kawaida, mahakama .... ilikwenda mbali zaidi na kupanga kiwango cha bei ya umeme kuwa USD 0.6 hadi 0.8 kwa uniti moja ya umeme. Sasa kama VIP Engineering iliweka sharti kuwa anayenunua hisa zake lazima ashushe bei ya umeme, na mnunuzi akakubali, wewe Zitto ni nani hata upinge hiyo bei ya chini! Na hutaki gharama ya umeme ishuke ili iwe nini! Hapo unamtetea Mtanzania kama unavyotaka uaminike?

(j) SASA SWALI LA MWISHO KWA WENYE AKILI: mgogoro wote unaohusu Tegeta Escrow Account unaanzia kwenye suala kuwa – IPTL ime-i-overcharge TANESCO kwenye CAPACITY CHARGES – SASA, ZITTO TWAMBIE, ni kampuni gani inayouza umeme TANESCO ambayo inatoza capacity charges ambazo ni za chini kuliko IPTL? Mimi nafahamu kuwa IPTL ndiyo inatoza tozo ya chini kabisa kwa maana ya capacity charges.

(k) Mpaka ZITTO na wenzako mkiweza kujibu kwa kutaja kampuni yoyote inayotoza tozo ndogo kuliko IPTL (Ili umma ujue kuwa IPTL inainyonya TANESCO) nitaendelea kusema kuwa MNATUMIWA KWA MASLAHI BINAFSI

(l) Ni wakati wa kuacha ushabiki na kujadili hoja...

Niliyasema hayo kabla ya matokeo haya ya hii kesi na sasa namuomba Zitto na kamaiti (kamati) yake waje hapa, wajionee na wajitetee.

Ndiyo mtajuwa FaizaFoxy huwa hakisii.
 
Last edited by a moderator:
Mtahangaika kufua, lakini kaniki huo weusi ndio rangi yake. Naona kuna jitihada nyingi sana za kusafishana, lakini ukweli ni kwamba watu waliamua kugawana hela ya umma, hayo mengine nawaachia walio tayari kudanganywa.
Ova
 
Mtahangaika kufua, lakini kaniki huo weusi ndio rangi yake. Naona kuna jitihada nyingi sana za kusafishana, lakini ukweli ni kwamba watu waliamua kugawana hela ya umma, hayo mengine nawaachia walio tayari kudanganywa.
Ova

Mbona zimeandikwa hoja? leta hoja tukusikie, jibu maswali yaliyoulizw, au kama huna facts tulia usome hoja, jifunze, elewa, shiriki - tusiweza na jazba

HALAFU NAENDELEA KUJIULIZA TENA KWA SAUTI:
  1. Hivi baada ya ule uamuzi wa ICSID wa mwaka 2001 katika kesi ambayo TANESCO walifungua dhidi ya IPTL, kesi ambayo ndiyo iliyoweka kiasi cha tozo ambacho TANESCO walitakiwa kulipa kwa IPTL, Je kuna uamuzi wowote ambao ulishabatilisha huo uamuzi wa mwaka 2001? Zitto twambie ripoti ya CAG inasemaje kuhusu hili?
  2. Je TANESCO kwa mujibu wa uamuzi wa ICSID wa mwaka 2001 wanadaiwa fedha kiasi gani na IPTL kwa maana ya fedha waliyotakiwa kuweka kwenye Tegeta Escrow Account lakini hawakuweka?
  3. Mtu mwenye busara atusomee ukurasa wa 24 wa ripoti ya CAG, na baada ya hapo atusomee mapendekezo yanayofuata.
  4. Ni dhambi kubwa kufanyia siasa za chuki, siasa za maslahi, siasa za visasi kwenye chombo tukufu kama Bunge! Bunge ni chombo kitakatifu (au kinatakiwa kuwa chombo kitakatifu)
  5. ZILETWE HOJA HAPA TUZIJADILI, Watanzania wajue pumba zipi au upi mchele... tumechoshwa na propaganda zisizokuwa na mantiki.
 
Mbona zimeandikwa hoja?
leta hoja tukusikie, jibu maswali yaliyoulizw, au kama huna facts tulia usome hoja, jifunze, elewa, shiriki - tusiweza na jazba

HALAFU NAENDELEA KUJIULIZA TENA KWA SAUTI:

[*]Je TANESCO kwa mujibu wa uamuzi wa ICSID wa mwaka 2001 wanadaiwa
fedha kiasi gani na IPTL kwa maana ya fedha waliyotakiwa kuweka kwenye
Tegeta Escrow Account lakini hawakuweka?
[*]Mtu mwenye busara atusomee ukurasa wa 24 wa ripoti ya CAG, na baada
ya hapo atusomee mapendekezo yanayofuata.
[*]Ni dhambi kubwa kufanyia siasa za chuki, siasa za maslahi, siasa za
visasi kwenye chombo tukufu kama Bunge! Bunge ni chombo kitakatifu (au
kinatakiwa kuwa chombo kitakatifu)
[*]ZILETWE HOJA HAPA TUZIJADILI, Watanzania wajue pumba zipi au upi
mchele... tumechoshwa na propaganda zisizokuwa na mantiki.
[/LIST]

Tatizo watu fulani wachache wamejawa na jazba ya kushabikia vitu sensitive kimzahamzaha kila wanapoona ni fursa ya wao kujinufaisha kisiasa kwa kuupotosha umma.
 
Back
Top Bottom