Vipaji ( live bands and karaoke) hivi hawa vijana wanakwama wapi kutoka kimuziki?

Vipaji ( live bands and karaoke) hivi hawa vijana wanakwama wapi kutoka kimuziki?

Glenn

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2015
Posts
69,329
Reaction score
164,730
Kwa wapenzi wa live band na karaoke hasa kwenye lounges tofauti watakubaliana nami kuna vijana wanaimba kwa kiwango cha juu sana tena nyimbo wametunga wao.

Pili kuna hawa wanaimba nyimbo za kuiga za kila namna. Katika kundi hili utakuta kijana anaimba vizuri hadi kumzidi mtunzi wa wimbo husika.

Swali langu hawa watu wanakwama wapi kuvibadili vipaji hivi kuwaletea maendeleo?
  • Je ni umasikini?
  • Je ni kuridhika na kutuzwa hivi vi 10k?
  • Je hawajitambui kuwa wanatembea na utajiri?
 
Kuna kipaji cha kuimba na kuna biashara ya muziki. Kinacholeta mafanikio ni biashara ya muziki kwa sababu inahusisha uandishi, production ya audio na video, usambazaji na promotion ya muziki lakini pia kuhakikisha msaanii anaingiza pesa zaidi kupitia brand yake..

Mafanikio sio tu kujua kuimba nyimbo za watu wengine ila kuweza kutengeneza yako na ikawa hit
 
Kuna kipaji cha kuimba na kuna biashara ya muziki. Kinacholeta mafanikio ni biashara ya muziki kwa sababu inahusisha uandishi, production ya audio na video, usambazaji na promotion ya muziki lakini pia kuhakikisha msaanii anaingiza pesa zaidi kupitia brand yake..

Mafanikio sio tu kujua kuimba nyimbo za watu wengine ila kuweza kutengeneza yako na ikawa hit
Unawashauri wafanye nini?
 
Unawashauri wafanye nini?
Kama Yammi kajulikana kupitia TikTok lakini pia kuna studios kila sehemu tofauti na zamani. Watumie tu online platforms na majukwaa kama bongo star search vizuri lakini kama hawaujui utunzi watafute wasndishi.. Inshort waongeze njaa ya kuingia mainstream
 
Nawakubali ma underground wengi sana
 

Attachments

  • Andro_CPH_X_Machalii_watundu-Misosi__Official_Video_(18).mp4
    22.8 MB
Back
Top Bottom