Vipers kutoboa kwa Mazembe inaonesha hakuna lisilowezekana kwenye mpira

Vipers kutoboa kwa Mazembe inaonesha hakuna lisilowezekana kwenye mpira

Habari za jion wadau wa soka la Bongo,
Nimetoka kuangalia hapa Live Score hadi nimeshituka baada ya kuona Vipers ametoboa kwenda Makundi Mbele ya Tp-Mazembe ambayo ilikua Mwenyeji.

Hili swala limenipa kitu cha kufikiria na kuamini kile kitu nipo na kiamini kua hata Yanga anaweza kupita pale Sudan,sema sisi Waafrika bado tuna kasumba zile za kizaman kua Kila Team eti inashinda Kwake [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwahio eti Yanga Anaweza tolewa kisa Al Hilal yupo Kwake. Hizi ni Akili za Kizaman sana Wadau siku hizi unapasuliwa upo mbele za Mashabiki zako, uwanja wako, pia na Wake zenu wapo.

Naongea hili nikiwa Mfatiliaji wa Soka la Saivi kwa Karibu sana
Last Year
1.Simba kachapwa na Jwaneng Galaxy hapahapa Tz akatolewa t3na huyu alishinda Away kabisa
2.Ajax Alimtoa Madrid kwenye UEFA kwake pale Stantiago
3.Ajax akenda pia kamtoa Juve kwao pale Turin
4.Tottenham alimtoa pia Ajax pale Amsterdam game ya kwanza wali Droo pale White Lane
5.Atletico alimtoa Pia Man U palepale OT baada ya Droo ya 1-1 kule Spain
6.Barca alitolewa na Frankfurt Europa baada ya kuchapwa pale Camp Nou.

NB:Siku hizi kwenye soka hakuna cha Nyumban wala wapi sema tatizo linalokuja kwa Yanga ni kua Africa bado tuna ile issue ya goli la ugenini tu.

NARUDIA: Siku hizi hakuna cha Home wala wapi unapigiwa hapohapo.
Al hilal mkimpiga wala lile golin la ugenin ulilonalo was was halitahusika , japo pia mkipata sare ya zaidi ya goli moja utafurahia na kusahau kuwa unataman sheria hiyo ifutwe
 
Wenzio wanacheza mpira mguuni sio mdomoni kama nyie
Kwamba Yanga inaongea sana au manjisahaulisha Simba mnavyoongeaga??? sema hii Nchi kujadili haya maswala ya Simba na Yanga Lazima ujitoe Akili.
Mtu haongei kwa Facts kama wewe unaleta kelele tu.
 
Sasa hivi mambo yamebadilika home advantage ipo kwa atmosphere tu ila waamuzi wapo fair
Waamuzi wapo fair? fair ipi unayoiongelea ww

Ya simba kutolewa msimu uliopita na pirates kwa goli la offside ambayo hata VAR refa alikataa kuitumia, fair?
 
Al hilal mkimpiga wala lile golin la ugenin ulilonalo was was halitahusika , japo pia mkipata sare ya zaidi ya goli moja utafurahia na kusahau kuwa unataman sheria hiyo ifutwe
Hilo goli sio kwa Yanga nalitaka mi silipendi toka zaman maana lina uonevu flan mfano Al Mereki kafuzu ila kapigwa 3-1 kisa eti alishinda kwake 2-0 huuuu ni upuuzi soka linakua halina Mvuto kisa huu ujinga Team inakua haisaki magoli inasaka kutokufungwa tu
 
Kwamba Yanga inaongea sana au manjisahaulisha Simba mnavyoongeaga??? sema hii Nchi kujadili haya maswala ya Simba na Yanga Lazima ujitoe Akili.
Mtu haongei kwa Facts kama wewe unaleta kelele tu.
Fact ya kwanza kila mtu ashinde kwake mengine ni majariwa tu ya ngamia kupita kwenye tundu la sindano, supporting evidence ya hili ni namna wasahabiki, viongozi na wachezaji wa yanga wanavyohaha kutetea sare ya 1-1 kwa mkapa

Fact ya pili ni yanga kuleta dharau kwa al hilal mechi ya kwanza eti wamepigwa nne na mazembe B, mara hawajawekeza kama yanga kwahyo tutawapiga kama ngoma, hii ilishusha umakini wa yanga kwenye pitch na kuamin kuwa al hilal no timu dhaifu ndio maana kocha akaamua kuingia bila natural CDM, supporting evidence ua hili na kipindi cha pili kilivyokuwa kigumu kwa yanga
 
Yanga ni kama mwenge tu haivuka mipaka ya nchi yetu

Ama kweli ni wazalendo kweikwei
 
Waamuzi wapo fair? fair ipi unayoiongelea ww

Ya simba kutolewa msimu uliopita na pirates kwa goli la offside ambayo hata VAR refa alikataa kuitumia, fair?
Unakumbuka goli la Simba ?
 
Habari za jion wadau wa soka la Bongo,
Nimetoka kuangalia hapa Live Score hadi nimeshituka baada ya kuona Vipers ametoboa kwenda Makundi Mbele ya Tp-Mazembe ambayo ilikua Mwenyeji.

Hili swala limenipa kitu cha kufikiria na kuamini kile kitu nipo na kiamini kua hata Yanga anaweza kupita pale Sudan,sema sisi Waafrika bado tuna kasumba zile za kizaman kua Kila Team eti inashinda Kwake 😂😂😂

Kwahio eti Yanga Anaweza tolewa kisa Al Hilal yupo Kwake. Hizi ni Akili za Kizaman sana Wadau siku hizi unapasuliwa upo mbele za Mashabiki zako, uwanja wako, pia na Wake zenu wapo.

Naongea hili nikiwa Mfatiliaji wa Soka la Saivi kwa Karibu sana
Last Year
1.Simba kachapwa na Jwaneng Galaxy hapahapa Tz akatolewa t3na huyu alishinda Away kabisa
2.Ajax Alimtoa Madrid kwenye UEFA kwake pale Stantiago
3.Ajax akenda pia kamtoa Juve kwao pale Turin
4.Tottenham alimtoa pia Ajax pale Amsterdam game ya kwanza wali Droo pale White Lane
5.Atletico alimtoa Pia Man U palepale OT baada ya Droo ya 1-1 kule Spain
6.Barca alitolewa na Frankfurt Europa baada ya kuchapwa pale Camp Nou.

NB:Siku hizi kwenye soka hakuna cha Nyumban wala wapi sema tatizo linalokuja kwa Yanga ni kua Africa bado tuna ile issue ya goli la ugenini tu.

NARUDIA: Siku hizi hakuna cha Home wala wapi unapigiwa hapohapo.
Ubaya wa iyo game ilikuwa ni ile suluhu pacha ya goalless.
 
Habari za jion wadau wa soka la Bongo,
Nimetoka kuangalia hapa Live Score hadi nimeshituka baada ya kuona Vipers ametoboa kwenda Makundi Mbele ya Tp-Mazembe ambayo ilikua Mwenyeji.

Hili swala limenipa kitu cha kufikiria na kuamini kile kitu nipo na kiamini kua hata Yanga anaweza kupita pale Sudan,sema sisi Waafrika bado tuna kasumba zile za kizaman kua Kila Team eti inashinda Kwake [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwahio eti Yanga Anaweza tolewa kisa Al Hilal yupo Kwake. Hizi ni Akili za Kizaman sana Wadau siku hizi unapasuliwa upo mbele za Mashabiki zako, uwanja wako, pia na Wake zenu wapo.

Naongea hili nikiwa Mfatiliaji wa Soka la Saivi kwa Karibu sana
Last Year
1.Simba kachapwa na Jwaneng Galaxy hapahapa Tz akatolewa t3na huyu alishinda Away kabisa
2.Ajax Alimtoa Madrid kwenye UEFA kwake pale Stantiago
3.Ajax akenda pia kamtoa Juve kwao pale Turin
4.Tottenham alimtoa pia Ajax pale Amsterdam game ya kwanza wali Droo pale White Lane
5.Atletico alimtoa Pia Man U palepale OT baada ya Droo ya 1-1 kule Spain
6.Barca alitolewa na Frankfurt Europa baada ya kuchapwa pale Camp Nou.

NB:Siku hizi kwenye soka hakuna cha Nyumban wala wapi sema tatizo linalokuja kwa Yanga ni kua Africa bado tuna ile issue ya goli la ugenini tu.

NARUDIA: Siku hizi hakuna cha Home wala wapi unapigiwa hapohapo.
Nakubaliana na wewe kbsa, good night
 
Habari za jioni wadau wa soka la Bongo.

Nimetoka kuangalia hapa Live Score hadi nimeshtuka baada ya kuona Vipers ametoboa kwenda makundi mbele ya Tp-Mazembe ambayo ilikua mwenyeji.

Hili swala limenipa kitu cha kufikiria na kuamini kile kitu nipo nakiamini kuwa hata Yanga anaweza kupita pale Sudan. Sema sisi Waafrika bado tuna kasumba zile za kizamani kuwa Kila timu eti inashinda kwake. [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwahiyo eti Yanga anaweza tolewa kisa Al Hilal yupo kwake. Hizi ni akili za kizaman sana wadau, siku hizi unapasuliwa upo mbele za mashabiki zako, uwanja wako, pia na wake zenu wapo.

Naongea hili nikiwa mfuatiliaji wa soka la sasa hivi kwa karibu sana. Mwaka jana;

1. Simba kachapwa na Jwaneng Galaxy hapa hapa Tanzania akatolewa, tena huyu alishinda ugenini kabisa.
2. Ajax alimtoa Madrid kwenye UEFA kwake pale Stantiago.
3. Ajax akenda pia kamtoa Juve kwao pale Turin.
4. Tottenham alimtoa pia Ajax pale Amsterdam mchezo wa kwanza walitoka sare pale White Lane.
5. Atletico alimtoa pia Man U palepale OT baada ya Droo ya 1-1 kule Spain.
6. Barca alitolewa na Frankfurt Europa baada ya kuchapwa pale Camp Nou.

NB: Siku hizi kwenye soka hakuna cha nyumban wala wapi, sema tatizo linalokuja kwa Yanga ni kuwa Afrika bado tuna ile suala la goli la ugenini tu.

NARUDIA: Siku hizi hakuna cha nyumbani wala wapi, unapigiwa hapohapo.

Nitajie ni timu gani yenye asili ya kiarabu iliyotolewa kwao?,tuanzie hapo bwana utopolo [emoji851]
 
Back
Top Bottom