Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kushiriki kwenye UziUtopolo mna timu mbovu mno mwaka huu.
Wachezaji wenu wengi wameshachoka.
Al hilal mkimpiga wala lile golin la ugenin ulilonalo was was halitahusika , japo pia mkipata sare ya zaidi ya goli moja utafurahia na kusahau kuwa unataman sheria hiyo ifutweHabari za jion wadau wa soka la Bongo,
Nimetoka kuangalia hapa Live Score hadi nimeshituka baada ya kuona Vipers ametoboa kwenda Makundi Mbele ya Tp-Mazembe ambayo ilikua Mwenyeji.
Hili swala limenipa kitu cha kufikiria na kuamini kile kitu nipo na kiamini kua hata Yanga anaweza kupita pale Sudan,sema sisi Waafrika bado tuna kasumba zile za kizaman kua Kila Team eti inashinda Kwake [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahio eti Yanga Anaweza tolewa kisa Al Hilal yupo Kwake. Hizi ni Akili za Kizaman sana Wadau siku hizi unapasuliwa upo mbele za Mashabiki zako, uwanja wako, pia na Wake zenu wapo.
Naongea hili nikiwa Mfatiliaji wa Soka la Saivi kwa Karibu sana
Last Year
1.Simba kachapwa na Jwaneng Galaxy hapahapa Tz akatolewa t3na huyu alishinda Away kabisa
2.Ajax Alimtoa Madrid kwenye UEFA kwake pale Stantiago
3.Ajax akenda pia kamtoa Juve kwao pale Turin
4.Tottenham alimtoa pia Ajax pale Amsterdam game ya kwanza wali Droo pale White Lane
5.Atletico alimtoa Pia Man U palepale OT baada ya Droo ya 1-1 kule Spain
6.Barca alitolewa na Frankfurt Europa baada ya kuchapwa pale Camp Nou.
NB:Siku hizi kwenye soka hakuna cha Nyumban wala wapi sema tatizo linalokuja kwa Yanga ni kua Africa bado tuna ile issue ya goli la ugenini tu.
NARUDIA: Siku hizi hakuna cha Home wala wapi unapigiwa hapohapo.
Kwamba Yanga inaongea sana au manjisahaulisha Simba mnavyoongeaga??? sema hii Nchi kujadili haya maswala ya Simba na Yanga Lazima ujitoe Akili.Wenzio wanacheza mpira mguuni sio mdomoni kama nyie
Waamuzi wapo fair? fair ipi unayoiongelea wwSasa hivi mambo yamebadilika home advantage ipo kwa atmosphere tu ila waamuzi wapo fair
Hilo goli sio kwa Yanga nalitaka mi silipendi toka zaman maana lina uonevu flan mfano Al Mereki kafuzu ila kapigwa 3-1 kisa eti alishinda kwake 2-0 huuuu ni upuuzi soka linakua halina Mvuto kisa huu ujinga Team inakua haisaki magoli inasaka kutokufungwa tuAl hilal mkimpiga wala lile golin la ugenin ulilonalo was was halitahusika , japo pia mkipata sare ya zaidi ya goli moja utafurahia na kusahau kuwa unataman sheria hiyo ifutwe
Fact ya kwanza kila mtu ashinde kwake mengine ni majariwa tu ya ngamia kupita kwenye tundu la sindano, supporting evidence ya hili ni namna wasahabiki, viongozi na wachezaji wa yanga wanavyohaha kutetea sare ya 1-1 kwa mkapaKwamba Yanga inaongea sana au manjisahaulisha Simba mnavyoongeaga??? sema hii Nchi kujadili haya maswala ya Simba na Yanga Lazima ujitoe Akili.
Mtu haongei kwa Facts kama wewe unaleta kelele tu.
Unakumbuka goli la Simba ?Waamuzi wapo fair? fair ipi unayoiongelea ww
Ya simba kutolewa msimu uliopita na pirates kwa goli la offside ambayo hata VAR refa alikataa kuitumia, fair?
Ubaya wa iyo game ilikuwa ni ile suluhu pacha ya goalless.Habari za jion wadau wa soka la Bongo,
Nimetoka kuangalia hapa Live Score hadi nimeshituka baada ya kuona Vipers ametoboa kwenda Makundi Mbele ya Tp-Mazembe ambayo ilikua Mwenyeji.
Hili swala limenipa kitu cha kufikiria na kuamini kile kitu nipo na kiamini kua hata Yanga anaweza kupita pale Sudan,sema sisi Waafrika bado tuna kasumba zile za kizaman kua Kila Team eti inashinda Kwake 😂😂😂
Kwahio eti Yanga Anaweza tolewa kisa Al Hilal yupo Kwake. Hizi ni Akili za Kizaman sana Wadau siku hizi unapasuliwa upo mbele za Mashabiki zako, uwanja wako, pia na Wake zenu wapo.
Naongea hili nikiwa Mfatiliaji wa Soka la Saivi kwa Karibu sana
Last Year
1.Simba kachapwa na Jwaneng Galaxy hapahapa Tz akatolewa t3na huyu alishinda Away kabisa
2.Ajax Alimtoa Madrid kwenye UEFA kwake pale Stantiago
3.Ajax akenda pia kamtoa Juve kwao pale Turin
4.Tottenham alimtoa pia Ajax pale Amsterdam game ya kwanza wali Droo pale White Lane
5.Atletico alimtoa Pia Man U palepale OT baada ya Droo ya 1-1 kule Spain
6.Barca alitolewa na Frankfurt Europa baada ya kuchapwa pale Camp Nou.
NB:Siku hizi kwenye soka hakuna cha Nyumban wala wapi sema tatizo linalokuja kwa Yanga ni kua Africa bado tuna ile issue ya goli la ugenini tu.
NARUDIA: Siku hizi hakuna cha Home wala wapi unapigiwa hapohapo.
Nakubaliana na wewe kbsa, good nightHabari za jion wadau wa soka la Bongo,
Nimetoka kuangalia hapa Live Score hadi nimeshituka baada ya kuona Vipers ametoboa kwenda Makundi Mbele ya Tp-Mazembe ambayo ilikua Mwenyeji.
Hili swala limenipa kitu cha kufikiria na kuamini kile kitu nipo na kiamini kua hata Yanga anaweza kupita pale Sudan,sema sisi Waafrika bado tuna kasumba zile za kizaman kua Kila Team eti inashinda Kwake [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahio eti Yanga Anaweza tolewa kisa Al Hilal yupo Kwake. Hizi ni Akili za Kizaman sana Wadau siku hizi unapasuliwa upo mbele za Mashabiki zako, uwanja wako, pia na Wake zenu wapo.
Naongea hili nikiwa Mfatiliaji wa Soka la Saivi kwa Karibu sana
Last Year
1.Simba kachapwa na Jwaneng Galaxy hapahapa Tz akatolewa t3na huyu alishinda Away kabisa
2.Ajax Alimtoa Madrid kwenye UEFA kwake pale Stantiago
3.Ajax akenda pia kamtoa Juve kwao pale Turin
4.Tottenham alimtoa pia Ajax pale Amsterdam game ya kwanza wali Droo pale White Lane
5.Atletico alimtoa Pia Man U palepale OT baada ya Droo ya 1-1 kule Spain
6.Barca alitolewa na Frankfurt Europa baada ya kuchapwa pale Camp Nou.
NB:Siku hizi kwenye soka hakuna cha Nyumban wala wapi sema tatizo linalokuja kwa Yanga ni kua Africa bado tuna ile issue ya goli la ugenini tu.
NARUDIA: Siku hizi hakuna cha Home wala wapi unapigiwa hapohapo.
Wawa aliuza mechiHata Juaneng Galaxy walimgonga Simba sebuleni kwake
siku zote hua anataftwa wa kutolewa kafaraWawa aliuza mechi
Habari za jioni wadau wa soka la Bongo.
Nimetoka kuangalia hapa Live Score hadi nimeshtuka baada ya kuona Vipers ametoboa kwenda makundi mbele ya Tp-Mazembe ambayo ilikua mwenyeji.
Hili swala limenipa kitu cha kufikiria na kuamini kile kitu nipo nakiamini kuwa hata Yanga anaweza kupita pale Sudan. Sema sisi Waafrika bado tuna kasumba zile za kizamani kuwa Kila timu eti inashinda kwake. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo eti Yanga anaweza tolewa kisa Al Hilal yupo kwake. Hizi ni akili za kizaman sana wadau, siku hizi unapasuliwa upo mbele za mashabiki zako, uwanja wako, pia na wake zenu wapo.
Naongea hili nikiwa mfuatiliaji wa soka la sasa hivi kwa karibu sana. Mwaka jana;
1. Simba kachapwa na Jwaneng Galaxy hapa hapa Tanzania akatolewa, tena huyu alishinda ugenini kabisa.
2. Ajax alimtoa Madrid kwenye UEFA kwake pale Stantiago.
3. Ajax akenda pia kamtoa Juve kwao pale Turin.
4. Tottenham alimtoa pia Ajax pale Amsterdam mchezo wa kwanza walitoka sare pale White Lane.
5. Atletico alimtoa pia Man U palepale OT baada ya Droo ya 1-1 kule Spain.
6. Barca alitolewa na Frankfurt Europa baada ya kuchapwa pale Camp Nou.
NB: Siku hizi kwenye soka hakuna cha nyumban wala wapi, sema tatizo linalokuja kwa Yanga ni kuwa Afrika bado tuna ile suala la goli la ugenini tu.
NARUDIA: Siku hizi hakuna cha nyumbani wala wapi, unapigiwa hapohapo.
Sa nyingine tuwe tunakubali kuwa tumefungwa kwa kuzidiwa au kwa kufanya makosa na si kutafuta visingizio kama hivi.Wawa aliuza mechi
Nadhani umeyaona ya Plateau kule Tunisia.Sasa hivi mambo yamebadilika home advantage ipo kwa atmosphere tu ila waamuzi wapo fair
Hii risti nimeitunza mpaka baadae nitakapoamua kuitumia.Sa nyingine tuwe tunakubali kuwa tumefungwa kwa kuzidiwa au kwa kufanya makosa na si kutafuta visingizio kama hivi.