Vipi kwa wanawake waliotulia lakini hawapati wachumba wa kuwaoa, wenye uhaba wa kupendwa

Vipi kwa wanawake waliotulia lakini hawapati wachumba wa kuwaoa, wenye uhaba wa kupendwa

Sokoni, kanisani, makongamano ya biashara, Gym, kariakoo, sherehe na maharusi
Ukifika hizo sehemu sio unatembea kama chizi ni unafika mfano kwa muuza viatu unauliza unakaa chini au pembeni kama unaongea simu na mtu, kanisani ujitengetenge kidogo kwa pembeni, gym uombe kupewa support kwa jamaa, harusini ukaekae kwa pembeni.
 
Back
Top Bottom