Sea Beast JF-Expert Member Joined Aug 5, 2022 Posts 2,212 Reaction score 4,808 Jul 9, 2024 #201 Django doer said: Sokoni, kanisani, makongamano ya biashara, Gym, kariakoo, sherehe na maharusi Click to expand... Ukifika hizo sehemu sio unatembea kama chizi ni unafika mfano kwa muuza viatu unauliza unakaa chini au pembeni kama unaongea simu na mtu, kanisani ujitengetenge kidogo kwa pembeni, gym uombe kupewa support kwa jamaa, harusini ukaekae kwa pembeni.
Django doer said: Sokoni, kanisani, makongamano ya biashara, Gym, kariakoo, sherehe na maharusi Click to expand... Ukifika hizo sehemu sio unatembea kama chizi ni unafika mfano kwa muuza viatu unauliza unakaa chini au pembeni kama unaongea simu na mtu, kanisani ujitengetenge kidogo kwa pembeni, gym uombe kupewa support kwa jamaa, harusini ukaekae kwa pembeni.
Sea Beast JF-Expert Member Joined Aug 5, 2022 Posts 2,212 Reaction score 4,808 Jul 9, 2024 #202 desayi said: Tatizo hao walio tulia Wana mambo ya kishamba mpaka muzungushane sanaa ndo aingie kibra Click to expand... Kweli mimi mpaka nimeamua kuachananae tu nimeona napoteza energy tu.
desayi said: Tatizo hao walio tulia Wana mambo ya kishamba mpaka muzungushane sanaa ndo aingie kibra Click to expand... Kweli mimi mpaka nimeamua kuachananae tu nimeona napoteza energy tu.
Sea Beast JF-Expert Member Joined Aug 5, 2022 Posts 2,212 Reaction score 4,808 Jul 9, 2024 #203 tamuuuuu said: Bahati mbaya na sie vijana wa kiume tuliotulia hatukutani na hao watu.Mimi kwakweli naomba Mungu nikutane na the likes hao Click to expand... Kweli kabisa sijui kwanini 🤒
tamuuuuu said: Bahati mbaya na sie vijana wa kiume tuliotulia hatukutani na hao watu.Mimi kwakweli naomba Mungu nikutane na the likes hao Click to expand... Kweli kabisa sijui kwanini 🤒