Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Huu Mchezo mbona hausomeki vema.
kumbe Kuna Aya/Sura zikionekana siyo zinafanywa zisahaulike au kufanyiwa merekebisho kwa kuleta same AYA or something better than it???? Huyu Allah kiboko.

In the name of Allah, Most Gracious, Most Merciful



Assalaamu `alaykum waRahmatullahi Wabarakatoh



At the outset, I would like to explain the aspect of naskh (نسخ) in Shariah.



The Jews believe that naskh cannot take place. They say that if naskh is accepted, then it will prove that Allah Ta’ala is prone to mistakes (May Allah forbid). Their understanding of naskh is that Allah Ta’ala made a certain ruling, thinking it was appropriate, and later found out that he had made a mistake, so he changed the ruling (May Allah forbid).



The correct belief is that naskh can take place; and the correct understanding of naskh is that Allah Ta’ala, who is all-knowing, issues his rulings according to the requirements of that time and era. This does not prove that the former ruling was wrong, but it proves that the former ruling was more appropriate for that time and the new ruling is more appropriate for the present time.



Uloomul Quran – Mufti Taqi Uthmani Saheb Pg:160 (Maktabah Darul Uloom Krachi)



A very good example of naskh is the ruling on alcohol. Initially, alcohol was not totally prohibited, because theSahabah (Radiyallahu Anhum) had just accepted Islam and it would have been difficult for them to abandon something they loved. Therefore, the Quran gradually prohibited alcohol by saying that its harms outweigh its benefits; then it said that it is not permissible to perform salaah in the state of intoxication; and after Islam had settled in firmly in the hearts of the Sahabah (Radiyallahu Anhum), alcohol was totally prohibited.



In this example, the prohibition of alcohol in the end does not prove that its permissibility initially was a mistake, but it proves that permissibility was more appropriate in the initial stages and prohibition was more appropriate in the end.



The aspect of naskh is also explained in the Quran in the following verse:



ما ننسخ من آية أو ننسها نأت بخير منها أو مثلها



Whenever we cancel a verse or cause it to be forgotten, We bring something better or equal to it. (Verse 1:106)



Secondly, Allah Ta’ala has taken the responsibility of safeguarding the Quran. Allah Ta’ala says in the Quran:



إنا نحن نزلنا الذكر وإنا له لحافظون



Verily We have revealed the Reminder (Quran) and We shall certainly be its protectors. (Verse 15:9)



Therefore, any text that proves otherwise will not be accepted.
Shida yako ni nini hapo?Mbona maelezo yako wazi?Au tatizo ni lugha?Qur'an yenyewe ndio inajieleza kama kuna aya zinazochukuwa nafasi ya aya nyingine,baada ya aya ya mwanzo maagizo yake kubadilika,kupitia hiyo hiyo Qur'an.
Kipengele Muhimu:
Qur'an yenyewe ndio inayojieleza sio kama kuna chanzo kingine ndio kimeeleza hayo.
 
Mbona tukisoma sehemu nyingi na kutoka kwa nguli wa uislam hawasemi Muhammad hajui kusoma na kuandika? ni wapi unatoa hiyo tafsir kwamba huyo mtume hajui kusoma wala kuandika?
Kama hakujua kusoma wa kuandika, aliwezaje kujua kwamba vitabu walivyopewa Jews and Christian vimevurugwa pasipo yeye kuvisoma?
Mbona Quran haisemi kuwa Muhammad hajui kusoma wa kuandika?
Huko kutojuwa kusoma na kuandika,kumetajwa ndani ya Qur'an.
 
29:48 And you did not recite before it any scripture, nor did you inscribe one with your right hand. Otherwise the falsifiers would have had [cause for] doubt.

29:49 Rather, the Qur'an is distinct verses [preserved] within the breasts of those who have been given knowledge. And none reject Our verses except the wrongdoers.

29:50 But they say, "Why are not signs sent down to him from his Lord?" Say, "The signs are only with Allah , and I am only a clear warner."

29:51 And is it not sufficient for them that We revealed to you the Book which is recited to them? Indeed in that is a mercy and reminder for a people who believe.

29:52 Say, "Sufficient is Allah between me and you as Witness. He knows what is in the heavens and earth. And they who have believed in falsehood and disbelieved in Allah - it is those who are the losers."

29:53 And they urge you to hasten the punishment. And if not for [the decree of] a specified term, punishment would have reached them. But it will surely come to them suddenly while they perceive not.

29:54 They urge you to hasten the punishment. And indeed, Hell will be encompassing of the disbelievers

29:55 On the Day the punishment will cover them from above them and from below their feet and it is said, "Taste [the result of] what you used to do."


 
Umesema kuhusu Tissue za Mafarao. Sasa yule Farao wa Misri aliomsumbua Sana Mussa na wana wa Israel. QURAN imesema mwili wake utahifadhiwa. Wala hautooza ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo. Na ndio maana mpaka leo ukienda Misri utaukuta mwili wake na ndani ya mwili wake kuna organs zote kama moyo, mapafu , utumbo nk. Heby jiulize toka Enzi za Mussa mpaka leo ni miaka Mingapi?

Quran inasema hivi:-
10:90-92
90.
Tukawavusha bahari Wana wa Israili, na Firauni na askari wake wakawafuatia kwa dhulma na uadui. Hata Firauni alipo kuwa anataka kuzama akasema: Naamini kuwa hapana mungu ila yule waliye muamini Wana wa Israili, na mimi ni miongoni mwa walio nyenyekea!

91.
Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!

92.
Leo, basi, TUTAKUOKOA KWA MWILI WAKO, ili uwe ISHARA kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.
Hivi wakati hiyo Quran inaandikwa Huyo Filauni alikuwa hai? na wana wa Israeli walikuwa hawajavushwa Bahari ya Shamu? kama vyote vilikuwa vimeisha tokea nini cha ajabu hapo? hiyo si Historia!
 
Hivi wakati hiyo Quran inaandikwa Huyo Filauni alikuwa hai? na wana wa Israeli walikuwa hawajavushwa Bahari ya Shamu? kama vyote vilikuwa vimeisha tokea nini cha ajabu hapo? hiyo si Historia!
Tunajifunza historia,ili kama kuna makosa yaliyofanyika na sisi wa sasa tusifanye na kama yapo yenye manufaa,tuyaendeleze.
 
Hivi wakati hiyo Quran inaandikwa Huyo Filauni alikuwa hai? na wana wa Israeli walikuwa hawajavushwa Bahari ya Shamu? kama vyote vilikuwa vimeisha tokea nini cha ajabu hapo? hiyo si Historia!
Historia ngapi ambazo unakuta hazina ukweli ndani yake? Mbona biblia haikusema chochote kuhusu firauni baada ya kifo chake?
 
Historia ngapi ambazo unakuta hazina ukweli ndani yake? Mbona biblia haikusema chochote kuhusu firauni baada ya kifo chake?
Kuto kuandikwa kwa habari baada ya kifo cha huyo Filauni mimi siwezi kujua kwanini hazikuandikwa kwenye Bible, isitoshe kila kitu kilichokuwepo nyakati hizo kiliwekwa kwenye maandishi vinginevyo sipati picha Bible ingekuwa na ukubwa gani iwapo kilakitu unachokitaka wewe kiandikwe kingeandikwa. hata hivyo sidhani kama habariza huyo Filauni baada ya kifo chake kama zina impact yoyote katika maisha ndani ya KRISTO!
 
Kuto kuandikwa kwa habari baada ya kifo cha huyo Filauni mimi siwezi kujua kwanini hazikuandikwa kwenye Bible, isitoshe kila kitu kilichokuwepo nyakati hizo kiliwekwa kwenye maandishi vinginevyo sipati picha Bible ingekuwa na ukubwa gani iwapo kilakitu unachokitaka wewe kiandikwe kingeandikwa. hata hivyo sidhani kama habariza huyo Filauni baada ya kifo chake kama zina impact yoyote katika maisha ndani ya KRISTO!
Ohh kama hazina impact yoyote kulikua kuna haja ya gani yakueleza kabisa hata mambo ya kina mUssa na nuhu na Ibrahim? Si ingewekwa tu historia ya Yesu?

Halafu suala hilo la Farauni nimetoa kama mfano tu. Yapo mengi ambayo yamegunduliwa juzi juzi tu na wana sayansi haliyakua Quran imeshayasema siku nyingi.
Mfano kuna Theory inaitwa BIG BANG. yaani Dunia mbingu na kila kilochomo ilikua ni kitu kimoja na zikasambaratishwa na kua sayari na mbingu mbalimbali.

Hayo Quran imesema miaka 1400 lakini juzi juzi tu sayansi imegundua.
 
Shida yako ni nini hapo?Mbona maelezo yako wazi?Au tatizo ni lugha?Qur'an yenyewe ndio inajieleza kama kuna aya zinazochukuwa nafasi ya aya nyingine,baada ya aya ya mwanzo maagizo yake kubadilika,kupitia hiyo hiyo Qur'an.
Kipengele Muhimu:
Qur'an yenyewe ndio inayojieleza sio kama kuna chanzo kingine ndio kimeeleza hayo.
hapo ndipo nianapata tabu, huyu Allah anawezaje toa statement bila kujua kuwa ipo sawa, mwishowe anaifanyia marekebisho, au kuirudia hiyo hiyo?
Ninachojua Mungu akisema neno halibdiliki hadi litimie katika ukamilifu wake na hawezi rudi na kusema hii kitu ilikuwa dhaifu niiongezee nguvu au naleta nyingine.
Tunaposema hizi ni fabrication za Qathem Abdullah mnakuwa wakali na kuj majibu rahisi rahisi, "eti qurani inasema yenyewe"
fafanua zaidi mkuu nikuelewe, quran haikuokotwa jangwani kama vumbi!!
 
Ohh kama hazina impact yoyote kulikua kuna haja ya gani yakueleza kabisa hata mambo ya kina mUssa na nuhu na Ibrahim? Si ingewekwa tu historia ya Yesu?

Halafu suala hilo la Farauni nimetoa kama mfano tu. Yapo mengi ambayo yamegunduliwa juzi juzi tu na wana sayansi haliyakua Quran imeshayasema siku nyingi.
Mfano kuna Theory inaitwa BIG BANG. yaani Dunia mbingu na kila kilochomo ilikua ni kitu kimoja na zikasambaratishwa na kua sayari na mbingu mbalimbali.

Hayo Quran imesema miaka 1400 lakini juzi juzi tu sayansi imegundua.
hiyo sayansi ya quran ndio kutuambia kuwa ndunia ipo flat na mbingu zimejipanga kama ghorofa(parallel) ama jua linatembea na kwenda kuzama kwenye dimbwi la tope?
 
Historia ngapi ambazo unakuta hazina ukweli ndani yake? Mbona biblia haikusema chochote kuhusu firauni baada ya kifo chake?
biblia imeongea kuhusu Farao kwa sababu ilihusu wana Israel kuwepo utumwani Misri. Mungu alipowatoa kule kuwarudisha kwenye inchi yao aliyowaahidi tangu enzi za Abraham.
 
biblia imeongea kuhusu Farao kwa sababu ilihusu wana Israel kuwepo utumwani Misri. Mungu alipowatoa kule kuwarudisha kwenye inchi yao aliyowaahidi tangu enzi za Abraham.
Baada ya kifo cha farao kwenye bahari. Nini kilifatia?
 
1. Seven heavens-Mbingu kweli saba
2. Worm holes
3. Sea's can seperated and No light down there
4. Bigbang and bing crunch
5. Singularity
6. Black holes
7. Dark matter
8. Gravity
9. Human embrology
10. expanding of the universe
11. Time is relative
12. nerves in skin
13. ice in coments
14. seas
Huyu ni mtume, wote wana science wamekuja kujua kipindi hiki yote hayo.
acha uongo wewe mtume kayakuta yote hayo,hizo ni porojo tu na kupaste kazi za watu,ingekuwa dunia hii tungemfunga jera kwa wizi wa kazi za watu
 
hapo ndipo nianapata tabu, huyu Allah anawezaje toa statement bila kujua kuwa ipo sawa, mwishowe anaifanyia marekebisho, au kuirudia hiyo hiyo?
Ninachojua Mungu akisema neno halibdiliki hadi litimie katika ukamilifu wake na hawezi rudi na kusema hii kitu ilikuwa dhaifu niiongezee nguvu au naleta nyingine.
Tunaposema hizi ni fabrication za Qathem Abdullah mnakuwa wakali na kuj majibu rahisi rahisi, "eti qurani inasema yenyewe"
fafanua zaidi mkuu nikuelewe, quran haikuokotwa jangwani kama vumbi!!
Tatizo ni elewa wako mdogo,hizo aya unazosikia zimechukuwa nafasi ya aya nyingine,ni aya ambazo mwanzo zilikataza jambo halafu baadaye zikaamrisha jambo hilo lifanyike Mfano
Wakati waislamu,wakiteswa na kupigwa na wasiokuwa waislamu,mwanzo Allah,waliwakataza wasijibu mapigo,mpaka ilipofikia wakati wa waislamu wamejiimarisha vizuri,ndio wakapewa amri ya kujibu mapigo.Sasa hapo kumebadilika nini,hakujabadilika kitu,ni amri ya msijibu mapigo mapaka muwe mumejiimarisha.
 
Tatizo ni elewa wako mdogo,hizo aya unazosikia zimechukuwa nafasi ya aya nyingine,ni aya ambazo mwanzo zilikataza jambo halafu baadaye zikaamrisha jambo hilo lifanyike Mfano
Wakati waislamu,wakiteswa na kupigwa na wasiokuwa waislamu,mwanzo Allah,waliwakataza wasijibu mapigo,mpaka ilipofikia wakati wa waislamu wamejiimarisha vizuri,ndio wakapewa amri ya kujibu mapigo.Sasa hapo kumebadilika nini,hakujabadilika kitu,ni amri ya msijibu mapigo mapaka muwe mumejiimarisha.
Haaa so funny!
ama kweli hakuna Mungu isipokuwa Allah!
 
hiyo sayansi ya quran ndio kutuambia kuwa ndunia ipo flat na mbingu zimejipanga kama ghorofa(parallel) ama jua linatembea na kwenda kuzama kwenye dimbwi la tope?
Hakuna katika Qur'an haya umeandika hapa.Itakuwa uwelewa wako mdogo
1.Hakuna sehemu Qur'an imesema mbingu zimepangana kama maghorofa
2.Hakuna sehemu Qur'an imesema jua linazama kwenye tope,kilichoandikwa ni huyo aliyetajwa katika Qur'an ,NDIO ALIONA JUA LINAZAMA kwenye tope,hii ni sayansi tosha,yakuonyesha kama uoni wa binadamu una masafa yake ya kuona.Hata ukiwa baharini,jua likizama utaona linazama baharini,kwa upeo wa uoni wa kibinadamu.
hiyo sayansi ya quran ndio kutuambia kuwa ndunia ipo flat na mbingu zimejipanga kama ghorofa(parallel) ama jua linatembea na kwenda kuzama kwenye dimbwi la tope?
Hakuna katika Qur'an haya umeandika hapa.Itakuwa uwelewa wako mdogo
1.Hakuna sehemu Qur
 
Umesema kuhusu Tissue za Mafarao. Sasa yule Farao wa Misri aliomsumbua Sana Mussa na wana wa Israel. QURAN imesema mwili wake utahifadhiwa. Wala hautooza ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo. Na ndio maana mpaka leo ukienda Misri utaukuta mwili wake na ndani ya mwili wake kuna organs zote kama moyo, mapafu , utumbo nk. Heby jiulize toka Enzi za Mussa mpaka leo ni miaka Mingapi?

Quran inasema hivi:-
10:90-92
90.
Tukawavusha bahari Wana wa Israili, na Firauni na askari wake wakawafuatia kwa dhulma na uadui. Hata Firauni alipo kuwa anataka kuzama akasema: Naamini kuwa hapana mungu ila yule waliye muamini Wana wa Israili, na mimi ni miongoni mwa walio nyenyekea!

91.
Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!

92.
Leo, basi, TUTAKUOKOA KWA MWILI WAKO, ili uwe ISHARA kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.
Bila shaka nakufahamu shekhe
 
Back
Top Bottom