Ramp Agent
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 272
- 194
Hapana mkuu kuna atheists humu non believer wao wanaamini kila kitu ni science sio Mungu ndo kafanyaHao wanajifanya wanasayansi kwenye hii thread sio lolote ni wakristo wanautukana uislam kwa mgongo wa sayansi
Mie naweza kupa proof ya big bang theory.Mkuu acha kuota...Mohamed kajulia wapi Black Holes?Acheni kuota..
Nipe mistari yake na ka-define blackhole kama nini?Ka-develop equations pertaining blackholes?Mbuzi wa maziwa kabisa...unafikiri ni kazi ya kitoto kama kufundisha dini ambayo ji vitu vya uongo A to Z?Hebu acheni kujidhalilisha,jikiteni kwenye dini acheni kujifanya wanasayansi,mnazidi kujidhalilisha kabisa.
Hujaelewa nimesema nini ama unajitoa akili?Qur'an imekuja tayari huo mwili upo ntajie
Ndege zilikuepo? Mobile phones zilikuepo hujajibu hapoSoma Léonard da Vinci ,Thalas, Plato, Aristotle etc biographies zao utaona n'a walishi BC
Kuelea hata mtoto akitupa kopo ataona linaelea. Suala la safina la nuhu hilo linatosha kuhusu boti na meli. Wewe umesema technologia ilikua imesha Advance kabla. Mie nimekuuliza ndege zilikuepo? Unaniambia mtu alichora mchoro wa plan ya ndegeLéonard de vinchi alidesign mchoro wa ndege before Christ, Archimedes ndo aliye gundua sheria za vitu kuelea eg ships, boats, balloon, ndege, n'a aligundua mizan or levers huyu aliishi before Christ ....zipo facts nying San znaprove
Big factMtume kazaliwa kayakuta hayo yote yapo, ni uvivu wako tu wa kusoma, wewe umekaa na kitabu kimoja tu tena unasomewa na kutafsiriwa na viongozi wako
na pia ukae ukijua Mtume ndio kaja kuiua kabisa Sayansi ya Waarabu waliyoiiba kule kwa watu weusi wa Misri, Sudan na Ethiopia,
Wewe unachokiamini ndicho wanazuoni walipokuwa wanawakataza Wanasayansi wasiangaike kufanya tafiti zao za Kisayansi kwani Sayansi yote iko ndani ya Quran, watu wakaacha kufanya tafiti wakaanza kujikita kwenye kuitafuta sayansi kwenye Quran na mwisho wake ndio ikaiua kabisa Sayansi hiyo ya Mwarabu
Sayansi yote ya Dunia iko ndani ya Mapiramidi na mapango ya huko Misri, kila kitu kimo humo
Kuelea hata mtoto akitupa kopo ataona linaelea. Suala la safina la nuhu hilo linatosha kuhusu boti na meli. Wewe umesema technologia ilikua imesha Advance kabla. Mie nimekuuliza ndege zilikuepo? Unaniambia mtu alichora mchoro wa plan ya ndege
Na wewe tumia akili japo kidogo, kama sayansi ilikuwa duni pyramids zilijengajwe? hivi umepewa ubongo unajuwa kazi ya ubongo?
Tatizo ni upeo mdogo wa kufikiri!vitu hivi si lazima usome ndo uvijue?hivi kujua kama tendo la ndoa mtoto anatengenezwa hadi ujue kusoma?kumbuka mudi alikua mfanyabiashara na alisafiri sana kwa ajili ya biashara ni ukweli usiopingika mambo mengi alisimuliwa au alisikia masinulizibya watu wengine!1. Seven heavens-Mbingu kweli saba
2. Worm holes
3. Sea's can seperated and No light down there
4. Bigbang and bing crunch
5. Singularity
6. Black holes
7. Dark matter
8. Gravity
9. Human embrology
10. expanding of the universe
11. Time is relative
12. nerves in skin
13. ice in coments
14. seas
Huyu ni mtume, wote wana science wamekuja kujua kipindi hiki yote hayo.
Kuna mbingu saba kwenye universe kweli?Mtume muongo na amefeli kama walivyo wenzake akina Yesu na Saibaba nk...mtu sio mwanasayansi anajifanya anajua sayansi,what a shame to mtume...
Yaani wanadamu sijui lini tutakataa kudanganywa na mmoja wapo wa wanaadamu wenzetu eti anajifanya kuna "mungu" somewhere kampa "maono".
Uwongo uwongo tu!
Hili pia huhitaji kusoma au kuoteshwa na Mungu....nenda kaangalie mto pangani au rufiji maji yake yanapokutana na bahari utaona tofauti!Waliozipa majina hizi bahari na wasafiri wafanyabiashara karne na karne wanajua!labda kwa alah wa maka kwa sababu anajua lugha moja tu huu kwake ni muujizaMfano wa maji ya chumvi na matamu aya changanyikani, quran 25.53: And He it is Who has made two seas to flow freely, the one sweet that subdues thirst by its sweetness, and the other salt that burns by its saltness; and between the two He has made a barrier and inviolable obstruction.
Ujinga wako ndo umasikini wako!endelea na porojo zako za quaran....wenye akili timamu hatuna mpango nazo....unatupotezea muda tu!Umesema kuhusu Tissue za Mafarao. Sasa yule Farao wa Misri aliomsumbua Sana Mussa na wana wa Israel. QURAN imesema mwili wake utahifadhiwa. Wala hautooza ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo. Na ndio maana mpaka leo ukienda Misri utaukuta mwili wake na ndani ya mwili wake kuna organs zote kama moyo, mapafu , utumbo nk. Heby jiulize toka Enzi za Mussa mpaka leo ni miaka Mingapi?
Quran inasema hivi:-
10:90-92
90.
Tukawavusha bahari Wana wa Israili, na Firauni na askari wake wakawafuatia kwa dhulma na uadui. Hata Firauni alipo kuwa anataka kuzama akasema: Naamini kuwa hapana mungu ila yule waliye muamini Wana wa Israili, na mimi ni miongoni mwa walio nyenyekea!
91.
Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!
92.
Leo, basi, TUTAKUOKOA KWA MWILI WAKO, ili uwe ISHARA kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.
Ili iweje sasa?amuhifadhi kwa ajili ya nin?hivi mbona hutumii hata chembe ya akili yako?Hao mbona wameoza mzee mcheki yule aliyetajwa kuwa mungu atamuhifadhi
Ujinga huu sijui utakuisha lini!Tatizo una panic kama utaki kua Quran imetaja vingi na science ya leo ime kuja kuvivumbua mfano miaka ya kina Albert ndo wamekuja kujua mambo ya black holes space and time ila kumbe vilikuwepo kwenye kitabu na Mungu kaeleza 1400 iliopita asa una bisha nini, umeomba ya pharaoh hio hapo aya ya kuifadhiwa kwake kama fundisho ili nyie leo mnaokufuru muogope. mpate pakujifunzia What, now! When previously you rebelled and were one of the corrupters? Today we will preserve your body so you can be a Sign for people who come after you. Surely many people are heedless of Our Signs." (Qur'an, 10:91-92)