Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Hao wanajifanya wanasayansi kwenye hii thread sio lolote ni wakristo wanautukana uislam kwa mgongo wa sayansi
Hapana mkuu kuna atheists humu non believer wao wanaamini kila kitu ni science sio Mungu ndo kafanya
 
Msipende kudanganya watu n'a uvivu wa kusoma vitabu vingne, science n'a technologie vlikuwepo even before Christ
Sija kataa kama havikuwepo, vilikuwepo ila watu hawakuvijua vingine. kutokana na science yao ilikua duni.
 
wewe hapo ndo unaji dhalilisha wapi nime sema Quran is a book of science?????????? wewe una dandia train kwambele ili upate umarufu.yale maandiko ya Mungu ila kuna maneno yako wazi kwa vitu fulani na science ika prove kweli so science eneywe inakubaliana na maandiko hayo. mfano nyuki maisha ya nyuki wana science wana mchambua nyuki ila kwenye Quran mungu alivyo mtaja wana science kweli waka prove ni kweli kama maandiko yanavyosema.
 
God is always there, sija leta science hapa. simply naelezea Maneno ya Mungu.


We will show them Our Signs in the universe, and in their own selves, until it becomes

manifest to them that this (the Quran) is the truth
 
Mkuu acha kuota...Mohamed kajulia wapi Black Holes?Acheni kuota..

Nipe mistari yake na ka-define blackhole kama nini?Ka-develop equations pertaining blackholes?Mbuzi wa maziwa kabisa...unafikiri ni kazi ya kitoto kama kufundisha dini ambayo ji vitu vya uongo A to Z?Hebu acheni kujidhalilisha,jikiteni kwenye dini acheni kujifanya wanasayansi,mnazidi kujidhalilisha kabisa.
Mie naweza kupa proof ya big bang theory.
 
Léonard de vinchi alidesign mchoro wa ndege before Christ, Archimedes ndo aliye gundua sheria za vitu kuelea eg ships, boats, balloon, ndege, n'a aligundua mizan or levers huyu aliishi before Christ ....zipo facts nying San znaprove
Kuelea hata mtoto akitupa kopo ataona linaelea. Suala la safina la nuhu hilo linatosha kuhusu boti na meli. Wewe umesema technologia ilikua imesha Advance kabla. Mie nimekuuliza ndege zilikuepo? Unaniambia mtu alichora mchoro wa plan ya ndege
 
Mtume kazaliwa kayakuta hayo yote yapo, ni uvivu wako tu wa kusoma, wewe umekaa na kitabu kimoja tu tena unasomewa na kutafsiriwa na viongozi wako
na pia ukae ukijua Mtume ndio kaja kuiua kabisa Sayansi ya Waarabu waliyoiiba kule kwa watu weusi wa Misri, Sudan na Ethiopia,

Wewe unachokiamini ndicho wanazuoni walipokuwa wanawakataza Wanasayansi wasiangaike kufanya tafiti zao za Kisayansi kwani Sayansi yote iko ndani ya Quran, watu wakaacha kufanya tafiti wakaanza kujikita kwenye kuitafuta sayansi kwenye Quran na mwisho wake ndio ikaiua kabisa Sayansi hiyo ya Mwarabu

Sayansi yote ya Dunia iko ndani ya Mapiramidi na mapango ya huko Misri, kila kitu kimo humo
Big fact
 
Kuelea hata mtoto akitupa kopo ataona linaelea. Suala la safina la nuhu hilo linatosha kuhusu boti na meli. Wewe umesema technologia ilikua imesha Advance kabla. Mie nimekuuliza ndege zilikuepo? Unaniambia mtu alichora mchoro wa plan ya ndege

Mnachobishania hata sikioni. Kama ni wanasayansi walikuwepo na yapo waliyoyagundua kwa wakati huo, kinachofanyika sasa ni muendelezo tu wa yale yaliyoanzwa na waliotangulia. Huwezi kufanya invention ya kila kitu mara moja, ndio maana hata hawa wa karne hii yapo mambo ambayo hawawezi kuyagundua bali yatakuja kugunduliwa na kizazi kinachokuja.

Quran kuzungumzia mambo yaliyokuwepo kabla haijaandikwa si ugunduzi bali ni copy & paste, na kama ingekuwa imejikita kwenye sayansi kama mnavyodai ningetegemea kuwaona wanasayansi wengi wenye background ya quran, badala yake tunashuhudia wanajimu tu na wataalam wa tiba, kwanini? Kwa sababu quran imejikita zaidi kwenye sayansi ya tiba...
 
Na wewe tumia akili japo kidogo, kama sayansi ilikuwa duni pyramids zilijengajwe? hivi umepewa ubongo unajuwa kazi ya ubongo?

Labda ungeelezea lakustaajabisha kwako kisayansi kwa ujenzi wa pyramids ili ufafanuliwe hiyo ajabu unayo ing'ang'aniza ya ujenzi wa pyramids kisayansi.
 
1. Seven heavens-Mbingu kweli saba
2. Worm holes
3. Sea's can seperated and No light down there
4. Bigbang and bing crunch
5. Singularity
6. Black holes
7. Dark matter
8. Gravity
9. Human embrology
10. expanding of the universe
11. Time is relative
12. nerves in skin
13. ice in coments
14. seas
Huyu ni mtume, wote wana science wamekuja kujua kipindi hiki yote hayo.
Tatizo ni upeo mdogo wa kufikiri!vitu hivi si lazima usome ndo uvijue?hivi kujua kama tendo la ndoa mtoto anatengenezwa hadi ujue kusoma?kumbuka mudi alikua mfanyabiashara na alisafiri sana kwa ajili ya biashara ni ukweli usiopingika mambo mengi alisimuliwa au alisikia masinulizibya watu wengine!
Kuhusu mbingu saba huu ni ujinga tu kitu kama hicho hakipo!kama unabidha dhibitisha!

Acha kumpa sifa ambazo kimsingi hastahili wala hadhi hiyo hana!
 
Kuna mbingu saba kwenye universe kweli?Mtume muongo na amefeli kama walivyo wenzake akina Yesu na Saibaba nk...mtu sio mwanasayansi anajifanya anajua sayansi,what a shame to mtume...

Yaani wanadamu sijui lini tutakataa kudanganywa na mmoja wapo wa wanaadamu wenzetu eti anajifanya kuna "mungu" somewhere kampa "maono".

Uwongo uwongo tu!


Umedhihirisha afya mbaya ya akili kweli
alio kwambia mbingu zimo ktk universe nani? 're u really know what's an universe? can u define it.?_ na wapi mtume kasema mbigu zipo ktk ulimwengu? au unatapika tu
 
Mfano wa maji ya chumvi na matamu aya changanyikani, quran 25.53: And He it is Who has made two seas to flow freely, the one sweet that subdues thirst by its sweetness, and the other salt that burns by its saltness; and between the two He has made a barrier and inviolable obstruction.
Hili pia huhitaji kusoma au kuoteshwa na Mungu....nenda kaangalie mto pangani au rufiji maji yake yanapokutana na bahari utaona tofauti!Waliozipa majina hizi bahari na wasafiri wafanyabiashara karne na karne wanajua!labda kwa alah wa maka kwa sababu anajua lugha moja tu huu kwake ni muujiza
 
Umesema kuhusu Tissue za Mafarao. Sasa yule Farao wa Misri aliomsumbua Sana Mussa na wana wa Israel. QURAN imesema mwili wake utahifadhiwa. Wala hautooza ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo. Na ndio maana mpaka leo ukienda Misri utaukuta mwili wake na ndani ya mwili wake kuna organs zote kama moyo, mapafu , utumbo nk. Heby jiulize toka Enzi za Mussa mpaka leo ni miaka Mingapi?

Quran inasema hivi:-
10:90-92
90.
Tukawavusha bahari Wana wa Israili, na Firauni na askari wake wakawafuatia kwa dhulma na uadui. Hata Firauni alipo kuwa anataka kuzama akasema: Naamini kuwa hapana mungu ila yule waliye muamini Wana wa Israili, na mimi ni miongoni mwa walio nyenyekea!

91.
Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!

92.
Leo, basi, TUTAKUOKOA KWA MWILI WAKO, ili uwe ISHARA kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.
Ujinga wako ndo umasikini wako!endelea na porojo zako za quaran....wenye akili timamu hatuna mpango nazo....unatupotezea muda tu!
 
Tatizo una panic kama utaki kua Quran imetaja vingi na science ya leo ime kuja kuvivumbua mfano miaka ya kina Albert ndo wamekuja kujua mambo ya black holes space and time ila kumbe vilikuwepo kwenye kitabu na Mungu kaeleza 1400 iliopita asa una bisha nini, umeomba ya pharaoh hio hapo aya ya kuifadhiwa kwake kama fundisho ili nyie leo mnaokufuru muogope. mpate pakujifunzia What, now! When previously you rebelled and were one of the corrupters? Today we will preserve your body so you can be a Sign for people who come after you. Surely many people are heedless of Our Signs." (Qur'an, 10:91-92)
Ujinga huu sijui utakuisha lini!
 
Back
Top Bottom