Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Hili pia huhitaji kusoma au kuoteshwa na Mungu....nenda kaangalie mto pangani au rufiji maji yake yanapokutana na bahari utaona tofauti!Waliozipa majina hizi bahari na wasafiri wafanyabiashara karne na karne wanajua!labda kwa alah wa maka kwa sababu anajua lugha moja tu huu kwake ni muujiza

Wakati mwingine tujaribu kuzuia uzezeta tulionao
Allah ansema BAHARI wewe unsema MTO hapo anaposema Allah pale yalipokomea maji ya chumvi ktk mchanganyiko na maji barid ukionja ni ya chumvi pia hapohapo yanapokomea ya baridi ktk mchanganyiko na chumvi ukionja ni baridi kisayansi chumvi hubadili ladha ya maji kwa kiasi kidogo nusu kilo ya chumvi yatosha kubadili ladha ya lita 20 za maji matamu. Je. Huko pangani kwako na rufiji yanapatikana hayo?
Kunahaja ya Ndilichako kubadilisha tena alama za ufaulu ziwe juu zaidi.
 
Wakati mwingine tujaribu kuzuia uzezeta tulionao
Allah ansema BAHARI wewe unsema MTO hapo anaposema Allah pale yalipokomea maji ya chumvi ktk mchanganyiko na maji barid ukionja ni ya chumvi pia hapohapo yanapokomea ya baridi ktk mchanganyiko na chumvi ukionja ni baridi kisayansi chumvi hubadili ladha ya maji kwa kiasi kidogo nusu kilo ya chumvi yatosha kubadili ladha ya lita 20 za maji matamu. Je. Huko pangani kwako na rufiji yanapatikana hayo?
Kunahaja ya Ndilichako kubadilisha tena alama za ufaulu ziwe juu zaidi.
Ujinga wako ndo unakufanya usiyajue haya....kwetu sisi mabaharia tuajua...mipaka ya bahari rahis kuitambua pale maji yanapojitenga!sasa nashangaa ala wako anataka kutufanya majuha kwa kuona huo nao ni ushuhuda kwamba aliyegundua hayo ni mudi!jiongeze kidogo...weka kando buku lako la mudi angalau dk 2 utazame ulimwengu ulivyo....soma vitabu vingine uelimike!ndo mana mlifundishwa kuchamba kwa mchanga na bila kutafakari mkafanya hivyo kisa mtume feki kawaamrisha![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tatizo ni upeo mdogo wa kufikiri!vitu hivi si lazima usome ndo uvijue?hivi kujua kama tendo la ndoa mtoto anatengenezwa hadi ujue kusoma?kumbuka mudi alikua mfanyabiashara na alisafiri sana kwa ajili ya biashara ni ukweli usiopingika mambo mengi alisimuliwa au alisikia masinulizibya watu wengine!
Kuhusu mbingu saba huu ni ujinga tu kitu kama hicho hakipo!kama unabidha dhibitisha!

Acha kumpa sifa ambazo kimsingi hastahili wala hadhi hiyo hana!
Unajua the Big Bang Theory?
 
Ujinga wako ndo unakufanya usiyajue haya....kwetu sisi mabaharia tuajua...mipaka ya bahari rahis kuitambua pale maji yanapojitenga!sasa nashangaa ala wako anataka kutufanya majuha kwa kuona huo nao ni ushuhuda kwamba aliyegundua hayo ni mudi!jiongeze kidogo...weka kando buku lako la mudi angalau dk 2 utazame ulimwengu ulivyo....soma vitabu vingine uelimike!ndo mana mlifundishwa kuchamba kwa mchanga na bila kutafakari mkafanya hivyo kisa mtume feki kawaamrisha![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Never argue with embeciel
 
Mnachobishania hata sikioni. Kama ni wanasayansi walikuwepo na yapo waliyoyagundua kwa wakati huo, kinachofanyika sasa ni muendelezo tu wa yale yaliyoanzwa na waliotangulia. Huwezi kufanya invention ya kila kitu mara moja, ndio maana hata hawa wa karne hii yapo mambo ambayo hawawezi kuyagundua bali yatakuja kugunduliwa na kizazi kinachokuja.

Quran kuzungumzia mambo yaliyokuwepo kabla haijaandikwa si ugunduzi bali ni copy & paste, na kama ingekuwa imejikita kwenye sayansi kama mnavyodai ningetegemea kuwaona wanasayansi wengi wenye background ya quran, badala yake tunashuhudia wanajimu tu na wataalam wa tiba, kwanini? Kwa sababu quran imejikita zaidi kwenye sayansi ya tiba...
List of inventions in the medieval Islamic world - Wikipedia
 
Mnachobishania hata sikioni. Kama ni wanasayansi walikuwepo na yapo waliyoyagundua kwa wakati huo, kinachofanyika sasa ni muendelezo tu wa yale yaliyoanzwa na waliotangulia. Huwezi kufanya invention ya kila kitu mara moja, ndio maana hata hawa wa karne hii yapo mambo ambayo hawawezi kuyagundua bali yatakuja kugunduliwa na kizazi kinachokuja.

Quran kuzungumzia mambo yaliyokuwepo kabla haijaandikwa si ugunduzi bali ni copy & paste, na kama ingekuwa imejikita kwenye sayansi kama mnavyodai ningetegemea kuwaona wanasayansi wengi wenye background ya quran, badala yake tunashuhudia wanajimu tu na wataalam wa tiba, kwanini? Kwa sababu quran imejikita zaidi kwenye sayansi ya tiba...
Bishop wewe unahisi biblia ina sayansi ama haina?
 
Science ilikuepo toka kuumbwa kwa ulimwengu na binadamu amekua akibadilisha tu dhana yakurahisisha kulingana na mahitaji yake ya wakati uliopo.Kwaiyo kulingana na mahitaj ndo mana kunaletwa vitu vyakurahisisha mahitaj ila tangu uko nyuma sayansi ilikuepo na kulikua na mambo makubwa zaid kulingana na wakat wao ambayo leo hayana tena kazi.kwaiyo unapozungumzia mabadiliko ya teknolojia unazungumzia katika zana ya zama na mahitaji ndo mana yako yaliyoandikwa na mitume miaka iyo na leo tunayaona ni uvumbuz mpya kwasababu yamerahisishwa zama zetu kutokana na mahitaj yetu ya sasa.Mim binafsi naona hakuna kitu kipya duniani.kanuni za maisha na vilivyomo vilikuepo toka zaman kinachofanyika sasa ni kurahisisha tu kulingana na mahitaj na nyakati.
 
Mimi naomba kila jambo moja hapo nieleweshwe limetajwa vipi na Quran. Maji baridi na ya chumvi ni kweli Quran imetaja. Ila jambo hili lilifahamika miaka mingi sana kabla ya Mtume hasa na wale wasafiri wa majahazi.
 
Na wewe tumia akili japo kidogo, kama sayansi ilikuwa duni pyramids zilijengajwe? hivi umepewa ubongo unajuwa kazi ya ubongo?
Mkuu mbona hoja unaikimbia?
Mfano wa maji ya chumvi na matamu aya changanyikani, quran 25.53: And He it is Who has made two seas to flow freely, the one sweet that subdues thirst by its sweetness, and the other salt that burns by its saltness; and between the two He has made a barrier and inviolable obstruction.
 
Kuna mbingu saba kwenye universe kweli?Mtume muongo na amefeli kama walivyo wenzake akina Yesu na Saibaba nk...mtu sio mwanasayansi anajifanya anajua sayansi,what a shame to mtume...

Yaani wanadamu sijui lini tutakataa kudanganywa na mmoja wapo wa wanaadamu wenzetu eti anajifanya kuna "mungu" somewhere kampa "maono".

Uwongo uwongo tu!
Ila mzungu aliyekudanganya kutumia tishu baada ya haja kubwa ili uwe safi Ndo unayemkubali siyo!!!
 
Hoja gani? Bahari ipo kabla ya mtume wala Qur'an, IQ ndogo ndio tatizo linalowasumbuwa nyinyi viumbe.
mf.Wewe Hyo bahari uliijua kwa kuingia darasani,ila mtume Muhammad s.a.w aliijua akiwa nyumbani kwake...
 
mf.Wewe Hyo bahari uliijua kwa kuingia darasani,ila mtume Muhammad s.a.w aliijua akiwa nyumbani kwake...
Kuna tatizo kwenye vichwa vya baadhi ya waislamu, hivi mtu aliyezaliwa, Unguja,Pemba, Mafia na sehemu zote zenye bahari ni mtume ndio kawaambia hii ni bahari? Au na wewe ni miongoni mwa wapumbavu wanaoamini Mlima Kilimanjaro uligunduliwa na Mzungu wakati Wachaga wapo hapo kabla hata ya wazungu kuja?
 
Hapa tunaongelea Biblia au sayansi kwenye quran? Mbona unataka kuchanganya mada!...
Vitabu vya dini vyote vimekua na chembechembe za sayansi. Maana hata uumbaji tu na jinsi mwanadamu anavyofanya kazi yote ni sayansi. Sasa unaposema vitabu vya dini vibaki kua vya dini huoni kama hata biblia unapingana nayo?
 
Vitabu vya dini vyote vimekua na chembechembe za sayansi. Maana hata uumbaji tu na jinsi mwanadamu anavyofanya kazi yote ni sayansi. Sasa unaposema vitabu vya dini vibaki kua vya dini huoni kama hata biblia unapingana nayo?
Sayansi haiamini uwepo wa Mungu, ila wanasayansi wanamuamini Mungu.

Usichanganye mambo hapa. We need both faith and science.
 
Ni kweli kabisa kwamba pale Egypt sehemu ya Pyramid ya Giza na sanamu ya Simba pamewekwa au kufichwa sayansi kubwa sana duniani. Mfano ni Golden number na pai ya hesabu ambavyo ukivichanganya kidogo vinakupa speed ya mwanga.
Wa Egypt hawakuwa hawa Waarabu. Hawa waliwavamia real Egyptian na kuwafukuza maeneo hayo. Kuna kila dalili kuwa wale walikuwa Weusi na moja ya mabaki yao yanaweza kuwa ni kabila la Dogon wanaoishi Mali.
Kuna sayari ambazo Dogoni alizisema miaka mingi nyuma ndiyo kwanza Nasa wamekuja kuziona kwa kutumia powerful telescope.
Kuna story kwenye Biblia inasema kuwa kuna watu walikuja kutoka mbinguni na baada yakuwaona Mabinti wa Dunia hii wakawapenda. Wengine wanadai kuwa hawa jamaa walikuja Babylon kuja kutafuta dhahabu. Kumbuka dhahabu ni best material kwa ajili ya kupitisha joto na umeme.
Walipoona hii kazi ngumu sana basi wakawazalisha Binadanu na wale watoto wakawa ni kama binadamu ila Super natural talented. Hawa ndiyo inasemwa walikuja kujenga hizo Pyramid na vitu vingine baadaye.

Vatican hizi siri wanazo siku nyingi na ukiangalia makanisa hata ya zamani sana, walitumia Golden Ratio kujenga. Bendera ya USA imetengenezwa kwa kutumia Golden Ratio. Symbol ya Toyota vilevile.

Swali hapa ni vipi Vatican walijenga hivi? Ni lazima walijua siri hii. Ndiyo maana CIA na Vatican ni marafiki wakubwa na wao ndiyo walinzi wa siri hizi za dunia.

Mwenye hamu ya kutaka kujua hili basi aanzie kufuatilia matukio ya vifo vya wale (Samaki wakubwa?) Waliokuwa wakiokotwa wamekufa kwenye fukwe za bahari. Anzia tukio la wale waliokutwa wamekufa RSA.
Njoo angalia siri ya Pyramid ya Giza. Njoo usome au sikiliza siri ya kabila la Dogoni na hapo utapata mwanga mkubwa wa hizi habari. Dogoni wao wanathibitisha kabisa walitoka angani kwenye sayari ndogo pembeni mwa Sirius.
Natamani uendelee,binafsi nimefika huko Giza ,ahsante kwa darasa
 
Mtume kazaliwa kayakuta hayo yote yapo, ni uvivu wako tu wa kusoma, wewe umekaa na kitabu kimoja tu tena unasomewa na kutafsiriwa na viongozi wako
na pia ukae ukijua Mtume ndio kaja kuiua kabisa Sayansi ya Waarabu waliyoiiba kule kwa watu weusi wa Misri, Sudan na Ethiopia,

Wewe unachokiamini ndicho wanazuoni walipokuwa wanawakataza Wanasayansi wasiangaike kufanya tafiti zao za Kisayansi kwani Sayansi yote iko ndani ya Quran, watu wakaacha kufanya tafiti wakaanza kujikita kwenye kuitafuta sayansi kwenye Quran na mwisho wake ndio ikaiua kabisa Sayansi hiyo ya Mwarabu

Sayansi yote ya Dunia iko ndani ya Mapiramidi na mapango ya huko Misri, kila kitu kimo humo
Unaongea pumba tuu!!!
 
Back
Top Bottom