Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Tatizo ni upeo mdogo wa kufikiri!vitu hivi si lazima usome ndo uvijue?hivi kujua kama tendo la ndoa mtoto anatengenezwa hadi ujue kusoma?kumbuka mudi alikua mfanyabiashara na alisafiri sana kwa ajili ya biashara ni ukweli usiopingika mambo mengi alisimuliwa au alisikia masinulizibya watu wengine!
Kuhusu mbingu saba huu ni ujinga tu kitu kama hicho hakipo!kama unabidha dhibitisha!

Acha kumpa sifa ambazo kimsingi hastahili wala hadhi hiyo hana!
Uzururaji wa aina yoyote ile hubadili utamaduni wa mzuraraji na anakofikia pia. Mfano watalii wakija Africa wanachokisema juu ya Afrika huwafanya na wengine waje huku haraka sana ebu fikiria unaambiwa Ukerewe kuna jiwe juu ya jiwe likiwa ziwani linacheza cheza, na kuna mti umeinamia ziwani ila majani yake hayadondokei ziwani, yakidondokea tu ziwani yanakuwa mamba! Kawaida binadamu ambaye hakujaliwa upeo mkubwa akiambiwa hivo huamini kwa moyo wote hata bila kufika akaona.
Sasa fikiria Musa Myahudi amefikaje kwa Wengine wasio Wayahudi? Haya ni matokeo ya vita na utekaji, biashara, utafiti (mama jusi) na utalii. Afu mtu baada ya miaka mia 6 hivi anasema ametumiwa kitabu kutoka juu!!

tuwe wepesi ku-relax na ku-restart our thinking tusiwe juu juu tu tumekazwa akili hatuhoji lolote kwa sababu ya maandiko ya kutishia.
MAGIC power za makabila zipo tu na makabila hayatapotea maana yametokea zamani za Muumba!

Naomba kujua mwenye kumbukumbu ya lile Sanduku la Wayahudi (waisrael) lililokuwa linalindwa kuliko chochote liko wapi miaka hii, Sanduku la agano! Maana inaonekana lilikuwa kama ni sanduku la vyanzo vya uwezo mbali mbali wa Wayahudi! Hilo ndio la kutafuta mpaka huko inakosemekana na milango isiyofunguliwaga (VATICAN)
 
Uzururaji wa aina yoyote ile hubadili utamaduni wa mzuraraji na anakofikia pia. Mfano watalii wakija Africa wanachokisema juu ya Afrika huwafanya na wengine waje huku haraka sana ebu fikiria unaambiwa Ukerewe kuna jiwe juu ya jiwe likiwa ziwani linacheza cheza, na kuna mti umeinamia ziwani ila majani yake hayadondokei ziwani, yakidondokea tu ziwani yanakuwa mamba! Kawaida binadamu ambaye hakujaliwa upeo mkubwa akiambiwa hivo huamini kwa moyo wote hata bila kufika akaona.
Sasa fikiria Musa Myahudi amefikaje kwa Wengine wasio Wayahudi? Haya ni matokeo ya vita na utekaji, biashara, utafiti (mama jusi) na utalii. Afu mtu baada ya miaka mia 6 hivi anasema ametumiwa kitabu kutoka juu!!

tuwe wepesi ku-relax na ku-restart our thinking tusiwe juu juu tu tumekazwa akili hatuhoji lolote kwa sababu ya maandiko ya kutishia.
MAGIC power za makabila zipo tu na makabila hayatapotea maana yametokea zamani za Muumba!

Naomba kujua mwenye kumbukumbu ya lile Sanduku la Wayahudi (waisrael) lililokuwa linalindwa kuliko chochote liko wapi miaka hii, Sanduku la agano! Maana inaonekana lilikuwa kama ni sanduku la vyanzo vya uwezo mbali mbali wa Wayahudi! Hilo ndio la kutafuta mpaka huko inakosemekana na milango isiyofunguliwaga (VATICAN)

Liko kwa wenye Sanduku Waethiopia
 
Kuna mbingu saba kwenye universe kweli?Mtume muongo na amefeli kama walivyo wenzake akina Yesu na Saibaba nk...mtu sio mwanasayansi anajifanya anajua sayansi,what a shame to mtume...

Yaani wanadamu sijui lini tutakataa kudanganywa na mmoja wapo wa wanaadamu wenzetu eti anajifanya kuna "mungu" somewhere kampa "maono".

Uwongo uwongo tu!
To hoja ili kuivunja hiyo sio unaishia kuponda tu then unanyuti
 
Wakati mwingine tujaribu kuzuia uzezeta tulionao
Allah ansema BAHARI wewe unsema MTO hapo anaposema Allah pale yalipokomea maji ya chumvi ktk mchanganyiko na maji barid ukionja ni ya chumvi pia hapohapo yanapokomea ya baridi ktk mchanganyiko na chumvi ukionja ni baridi kisayansi chumvi hubadili ladha ya maji kwa kiasi kidogo nusu kilo ya chumvi yatosha kubadili ladha ya lita 20 za maji matamu. Je. Huko pangani kwako na rufiji yanapatikana hayo?
Kunahaja ya Ndilichako kubadilisha tena alama za ufaulu ziwe juu zaidi.
Papa well said, awa jamaa ubishi ni asili yao hata kwenye ukweli, roho zina wauma kuona kuna ukweli au wakweli kubali kwani kukubali unakua ume badili dini??? acha hizo
 
Tatizo ni upeo mdogo wa kufikiri!vitu hivi si lazima usome ndo uvijue?hivi kujua kama tendo la ndoa mtoto anatengenezwa hadi ujue kusoma?kumbuka mudi alikua mfanyabiashara na alisafiri sana kwa ajili ya biashara ni ukweli usiopingika mambo mengi alisimuliwa au alisikia masinulizibya watu wengine!
Kuhusu mbingu saba huu ni ujinga tu kitu kama hicho hakipo!kama unabidha dhibitisha!

Acha kumpa sifa ambazo kimsingi hastahili wala hadhi hiyo hana!
chuki binafsi hizo, bingu saba zipo wewe wa wapi wewe kuna matabaka ya mbingu ndo maana kuna sehemu ndege zina ruka na zingine ndege hazifiki na hata ndege wanyama pia, na hata satelite kuna anga ndo zina rusha mawasiliano na sayansi ime thibitisha ilo kweli mbingu ni saba, wewe shule ulikimbia acha kudandia train kwa mbele acha chuki binafsi kukubali sio ume badili dini.
 
chuki binafsi hizo, bingu saba zipo wewe wa wapi wewe kuna matabaka ya mbingu ndo maana kuna sehemu ndege zina ruka na zingine ndege hazifiki na hata ndege wanyama pia, na hata satelite kuna anga ndo zina rusha mawasiliano na sayansi ime thibitisha ilo kweli mbingu ni saba, wewe shule ulikimbia acha kudandia train kwa mbele acha chuki binafsi kukubali sio ume badili dini.
Inaonyesha jinsi upeo wako ulivyomdogo wa kuchanganua mambo.....akili yako imezimwa na kufungwa na hadithi za mudi alizopewa na mashetani
 
Inaonyesha jinsi upeo wako ulivyomdogo wa kuchanganua mambo.....akili yako imezimwa na kufungwa na hadithi za mudi alizopewa na mashetani
wewe ndo una upeo mdogo unadanyanwa mkate kua mwili wa mtu na pombe kua damu mnadanyanywa nje nje heti kafa na dhambi zenu msalabani kwahio unapeta kijinga dhambi zipo acha ujinga wewe, mudi fundi wewe ana jua yote hayo astronomy,geology, etc
 
Inaonyesha jinsi upeo wako ulivyomdogo wa kuchanganua mambo.....akili yako imezimwa na kufungwa na hadithi za mudi alizopewa na mashetani
Mi naona wewe ndio akili yako imefungwa na yule shoga mvaa nepi
 
Quran 23
12. Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
13. Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
14. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.
15. Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.
16. Kisha hakika nyinyi Siku ya Kiyama mtafufuliwa.
17. Na kwa yakini tumeziumba juu yenu njia saba. Nasi hatukuwa wenye kughafilika na viumbe.

Hapo kuna embryology jinsi sperm mpaka embryo.
 
Quran 23
12. Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
13. Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
14. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.
15. Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.
16. Kisha hakika nyinyi Siku ya Kiyama mtafufuliwa.
17. Na kwa yakini tumeziumba juu yenu njia saba. Nasi hatukuwa wenye kughafilika na viumbe.

Hapo kuna embryology jinsi sperm mpaka embryo.
Msijitoe ufahamu!hata mwendawazimu anajua jinsi binadamu anavyopatikana!embrology gani mudi anaijua!mtakuwa vipofu hadi lini?
 
Back
Top Bottom