Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangia tulione tangazo la tigoMnawapenda hao mkiwa na kipato kidogo, simu mkiwa na kipato kikubwa mnaenda kuwatafuta wanajua kuzitumia vizuri, nyie mnajema kuanzia lini?
Ushaanza sasa! Tunawapenda wote tu sema mnajistukia. Kuwa mkarimu tu hutapungukiwa kituMnawapenda hao mkiwa na kipato kidogo, simu mkiwa na kipato kikubwa mnaenda kuwatafuta wanajua kuzitumia vizuri, nyie mnajema kuanzia lini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushaanza sasa! Tunawapenda wote tu sema mnajistukia. Kuwa mkarimu tu hutapungukiwa kitu
Hahah kwahio hamna KE wa hivyo eeh?Hiyo ni lugha ya Biashara tu na kamwe usidanganyike!
Kama unataka kuharibikiwa ndoa yako jaribu huo ushauri fake wa Tigo...!!
Njemba watajirusha na mkeo wanamwachia mpunga wa kueleweka halafu wewe ukija unaishia kulishwa makombo....sidanganyiki ng'o!!!
MmmmmTangia tulione tangazo la tigo
Hahah kwahio hamna KE wa hivyo eeh?
Kwahiyo ule ukarimu unaoonyeshwa na huyo mdada umeuchukulia kuwa ni tabia ya kweli ya huyo msanii? Wake up man, hiyo ni advertisement babaah!Hatari hatari, hivi wake kama hawa wanapatikana wapi mkuu?
Hatari hatari, hivi wake kama hawa wanapatikana wapi mkuu?
Kunani😂🤣😂🤣?Mnawapenda hao mkiwa na kipato kidogo, simu mkiwa na kipato kikubwa mnaenda kuwatafuta wanajua kuzitumia vizuri, nyie mnajema kuanzia lini?