Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Taratibu basi[emoji23][emoji23]Kunani[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]?
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu basi[emoji23][emoji23]Kunani[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]?
Labda hutizama channel ya taifa tuMkuu ni kwamba we TV hauna ama unaatumia Channel za DSTV tu?
Kwani mke akifanya hivyo mme kirukanjia atatulia? Kakwambia nani tabia nikama ngozi mkuu!Kiukweli kusingekuwa na mwanaume mwembamba duniani
Yule dada ananimalizaga kinoma
Kwani mke akifanya hivyo mme kirukanjia atatulia? Kakwambia nani tabia nikama ngozi mkuu!
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Na kataa kabisa nakataaSio kweli.
chanzo cha mwanaume kutoka nje wanawake wanachangia
Kwahiyo tuseme hata chanzo cha mke kuchepuka na mme mwenyewe? Tunaeleweshana tu mkuu, mme anakuwa na mchepuko huko tena wakudumu, mke akilijua hilo na kumwambia endele na huyo mie basi mhona huwa wanakataa na mke akimwaga manyanga mme hulalamika sana, kama mke kamkinai basi abaki na brand mpya [emoji23][emoji23][emoji23]Endelea kukataa tu mkuu na wala siwezi kulazimisha ukubali lakini chanzo ni wanawake wenyewe.
Mwanamke unamuweka ndani anakuzoea, anakujibu atakavyo.
Tunajua ni igizo ila wadau wanatamani ungekua ndio ukweli wa maisha, afya za wanaume wengi huenda zingeimarika na huenda swali la yule msanii lingepata jibu "why do married men die earlier than their wives"Kwahiyo ule ukarimu unaoonyeshwa na huyo mdada umeuchukulia kuwa ni tabia ya kweli ya huyo msanii? Wake up man, hiyo ni advertisement babaah!
Sio mke wa mtu mkuu??Nikupe namba yake?
Mkuu weka kideo nasi tulione kama vpLaiti kama wake zetu wangekuwa na ukarimu wa namna ile mambo ya kupenda vipande yasingekuwepo.
"Na ile elfu ninayosevu kila siku ndio nimetumia baabah!"
Mwamba unaacha 10 unakula msosi wa elfu 15! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ai wishi i kudu bi Haijipiii!!!
Kwani nyie mpo Kama mwanaume wa tangazo Hilo la tigo?Laiti kama wake zetu wangekuwa na ukarimu wa namna ile mambo ya kupenda vipande yasingekuwepo.
"Na ile elfu ninayosevu kila siku ndio nimetumia baabah!"
Mwamba unaacha 10 unakula msosi wa elfu 15! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ai wishi i kudu bi Haijipiii!!!