Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule Kaka anaonekana kabisa ni mkweli na mwaminifu kwa mkewe ndio maana hata alivyomwambia mkewe mkewe alimuelewa.Ndio mama sema mie leo nna buku 5 tu! Fanya maajabu bas.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa mwaminifu si inategemea na huyo unaemfanyia uaminifu. Sasa mwanamke mpole mnyenyekevu na muelewa unaanzaje kumdanganya.Yule Kaka anaonekana kabisa ni mkweli na mwaminifu kwa mkewe ndio maana hata alivyomwambia mkewe mkewe alimuelewa.
Hakuna mwanamke atashindwa kumuelewa mwanaume wa aina ile.
Sasa tukija upande wenu nyie Kaka zetu vichomi na wadanganyifu..mwanamke gani atakubali kuwa vile kwa wanaume waongo waongo? Huyo mwanamke hayupo,labda zezeta
Ningeua mtu,mwanamke yule anauza mechi halafu anadanganya eti,,tuliza honey...Laiti kama wake zetu wangekuwa na ukarimu wa namna ile mambo ya kupenda vipande yasingekuwepo.
"Na ile elfu ninayosevu kila siku ndio nimetumia baabah!"
Mwamba unaacha 10 unakula msosi wa elfu 15! 🤣🤣🤣
Ai wishi i kudu bi Haijipiii!!!
Sawa kabisa , nasubilia jibu hapa maana wengi wanataka mke malaika wakati huo huo yeye ni shetani, ulishaona wapi shetani akaoa malaika?Kwani nyie mpo Kama mwanaume wa tangazo Hilo la tigo?
Wao wanachokifanya akiwa na pesa anakuwa kunguru asiye fugika na siku akifulia anakuwa njiwa [emoji23][emoji23]Yule Kaka anaonekana kabisa ni mkweli na mwaminifu kwa mkewe ndio maana hata alivyomwambia mkewe mkewe alimuelewa.
Hakuna mwanamke atashindwa kumuelewa mwanaume wa aina ile.
Sasa tukija upande wenu nyie Kaka zetu vichomi na wadanganyifu..mwanamke gani atakubali kuwa vile kwa wanaume waongo waongo? Huyo mwanamke hayupo,labda zezeta
Acheni uongo..Kuwa mwaminifu si inategemea na huyo unaemfanyia uaminifu. Sasa mwanamke mpole mnyenyekevu na muelewa unaanzaje kumdanganya.
Mwanamke anajua kunata na biti sio wale kasuku mapenzi ukiwa uko njema tu siku ukifulia unatangazwa na makelele hata ndani hapakaliki.
Utaona watakavyokuja na majibu Yao yasiyo na mashiko.Sawa kabisa , nasubilia jibu hapa maana wengi wanataka mke malaika wakati huo huo yeye ni shetani, ulishaona wapi shetani akaoa malaika?
Wasanii tu Hawa[emoji3]Wao wanachokifanya akiwa na pesa anakuwa kunguru asiye fugika na siku akifulia anakuwa njiwa [emoji23][emoji23]
Inashangaza sana, mtu kamtoa kwao kamaleta kwake, hivi kama anafanyiwa mazuri anaanzaje kuwa hovyo? Maranyingi wake hubadilika kulingana na mdudo unavyopigwaUtaona watakavyokuja na majibu Yao yasiyo na mashiko.
Malaika na shetani ni vitu viwili tofautiWasanii tu Hawa[emoji3]
Halafu wanataka sisi tuwe malaika,watasubiri Sana.
NdiyoInashangaza sana, mtu kamtoa kwao kamaleta kwake, hivi kama anafanyiwa mazuri anaanzaje kuwa hovyo? Maranyingi wake hubadilika kulingana na mdudo unavyopigwa
Kabisa yaani[emoji3]Malaika na shetani ni vitu viwili tofauti
Ndiyo hivyo, ujanja utasikia eti wanapenda vipande vipande [emoji23][emoji23] sasa aliyewadanganya mwanamke yeye anapenda vizima vizima nani? Wao wakigeuziwa vibao haraka sana kutafuta panga haa haaaNdiyo
Hakuna mwanamke anaweza kuwa mkorofi kwa mwanaume mtulivu.
Ujanja ujanja wao ndio huwa unawabadilisha wanawake.
Alikuwa anasave kila wiki elfu nne, assume alisave kwa miezi miwiliYule mwanamke alihongwa ase buku anayosave isngetosha kupika ile chakula yote