Tuna save sana, utasikia zile unazofichana lete basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sevuni hela za vocha hizo tuishi vizuri tukifulia jamani. Acheni majungu af mjifunze kupika misosi mikali hadi tushangae.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa Baba na nihiiVizuri mtaletewa tulieni jamani, nyie pikeni na kulea watoto!
Haaa haaaaUkisikia hivyo ujue baharia kakwama hapo! Mwanamke anayejua maisha lazma kuna vihela anafichaga tu. [emoji23][emoji23][emoji23]
ππ½ππ½Eeh mkuu, nilitaka nikutag kama ushalipata freshi!
Mie pia TV nimeanza kuangalia kipindi hiki cha corona niliweka Azam Tv! Kabla ya hapo nilikuwa naifutaga vumbi tu πππ
[emoji16][emoji16] bajeti ya kusuka inajitegemeaMiezi miwili kwa nywele anazosuka zile ingekuwa ngumu, yule katupiga kunga bana [emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo Ni kwa sababu wanawake wanajisahau.Mnawapenda hao mkiwa na kipato kidogo, siku mkiwa na kipato kikubwa mnaenda kuwatafuta wanaojua kuzitumia vizuri, nyie mnajema kuanzia lini?
Halafu anavyosifanya lips wakati anaongea, huwa nahisi kumwagaHahahahahahaaa Japo sijui hesabu najua nguvu ya buku 10 , Mamaa huu mzigo sio wa buku 10.....Yaani nikiliona ilo tangazo ni bahati ukija kubahatika kupata mke anayembeleleza kama yule hana hiyana "UWE NA SIKU NJEMA".
Hata "Vita ya Kagera" iliwafyeka sana.kama hao walishakufa kwenye vita vya kwanza vya dunia mkuu!
πππππHata "Vita ya Kagera" iliwafyeka sana.
Hakuna cha mke kujisahau, mbona zikiisha mtu anarudisha pingili zake za mkewe akiambiwa si mvumiliane na mlie tumbua naye anagoma nakumpigia magoti mkewe!Hiyo Ni kwa sababu wanawake wanajisahau.
Kwenye matangazoHatari hatari, hivi wake kama hawa wanapatikana wapi mkuu?
"Ndo nimetumia hiyo babaaaa"..yule sista kaua sanaMwenye kumjua yule mdada mi ananimaliza kabisa na ile sauti balaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjidanganye