Vipi wake zetu wangekuwa kama mdada wa tangazo la Tigo?

Vipi wake zetu wangekuwa kama mdada wa tangazo la Tigo?

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
Laiti kama wake zetu wangekuwa na ukarimu wa namna ile mambo ya kupenda vipande yasingekuwepo.

"Na ile elfu ninayosevu kila siku ndio nimetumia baabah!"

Mwamba unaacha 10 unakula msosi wa elfu 15! 🤣🤣🤣
Ai wishi i kudu bi Haijipiii!!!
 
Back
Top Bottom