Vipimo "DNA" Mtoto "Aliyefufuka", kuokotwa Porini Vyaibua Mapya

Vipimo "DNA" Mtoto "Aliyefufuka", kuokotwa Porini Vyaibua Mapya

Sayansi imekataa..
Lakini najiuliza ni kweli wazazi wamfananishe mtoto wao wa miaka 8..!![emoji848]

Kwani limit/mpaka wa ushirikina ni wapi..!!?[emoji848] ivi ushirikina hauwezi kumanipulate majibu ya kisayansi on it's favour..!?[emoji848]

Ni mara ngapi tunasikia mtu huyu amepimwa (sayansi) amekutwa na ugonjwa flan, akienda kwa mganga/kuombewa anaambiwa alitupiwa jini na anapona completely, akirudi kwenye sayansi ugonjwa hauonekani.

Scenario
Mwanzoni mwa April nilienda Tanga. Mtaa niliofikia wana story za mgonjwa anaeumwa kila kitu, i mean kila kitu. Yani amepimwa sukari ipo, UTI ipo, ukimwi upo, shinikizo la damu lipo, malaria yapo, typhoid ipo, STD's zipo, yaani kila kitu (at least alichopima). Na ana tezi dume linakaribia kuburuza chini na limeoza na kuozesha mapaja upande wa ndani (samahani kama umepata kinyaa au msisimko hasi)

Ni mtu wa 35-38 story zinasema alianza kunusa hela akapita na vibinti sana, alifika na kwa mke wa mtu, akaonywa bila kusikia. Sasahivi kila anaeenda kumtembelea anamuomba akamuombee msamaha kwa mwenye mke.

Swali linabaki, how far can "ushirikina" go
Watu wanapaa bila engine, wanapita ukutani vipi kuhusu hayo majibu kua compromised na ushirikina? In any ways

Gravitational force inakua takataka kwa mshirikina mwenye ungo. Vipi kuhusu DNA.
Hakuna ukweli wo wote katika simulizi zako. Huo ni uongo unaoenezwa na huyo anayejifanya mganga ili apate wateja zaidi!

Hadithi kama hizi ni maarufu sana kwenye maeneo yaliyojaa wajinga wengi au maeneo yaliyojaa mashehe ubwabwa na wachungaji feki!
 
Hakuna ukweli wo wote katika simulizi zako. Huo ni uongo unaoenezwa na huyo anayejifanya mganga ili apate wateja zaidi!

Hadithi kama hizi ni maarufu sana kwenye maeneo yaliyojaa wajinga wengi au maeneo yaliyojaa mashehe ubwabwa na wachungaji feki!
Asante kaka
Mimi na uzushi wangu ni mmoja wa hao wajinga waliomshuhudia huyo mgonjwa.
Ila shukrani nyingi zikufikie ulipo. Hongera kwa akili nyingi.
 
Sayansi imekataa..
Lakini najiuliza ni kweli wazazi wamfananishe mtoto wao wa miaka 8..!![emoji848]

Kwani limit/mpaka wa ushirikina ni wapi..!!?[emoji848] ivi ushirikina hauwezi kumanipulate majibu ya kisayansi on it's favour..!?[emoji848]

Ni mara ngapi tunasikia mtu huyu amepimwa (sayansi) amekutwa na ugonjwa flan, akienda kwa mganga/kuombewa anaambiwa alitupiwa jini na anapona completely, akirudi kwenye sayansi ugonjwa hauonekani.

Scenario
Mwanzoni mwa April nilienda Tanga. Mtaa niliofikia wana story za mgonjwa anaeumwa kila kitu, i mean kila kitu. Yani amepimwa sukari ipo, UTI ipo, ukimwi upo, shinikizo la damu lipo, malaria yapo, typhoid ipo, STD's zipo, yaani kila kitu (at least alichopima). Na ana tezi dume linakaribia kuburuza chini na limeoza na kuozesha mapaja upande wa ndani (samahani kama umepata kinyaa au msisimko hasi)

Ni mtu wa 35-38 story zinasema alianza kunusa hela akapita na vibinti sana, alifika na kwa mke wa mtu, akaonywa bila kusikia. Sasahivi kila anaeenda kumtembelea anamuomba akamuombee msamaha kwa mwenye mke.

Swali linabaki, how far can "ushirikina" go
Watu wanapaa bila engine, wanapita ukutani vipi kuhusu hayo majibu kua compromised na ushirikina? In any ways

Gravitational force inakua takataka kwa mshirikina mwenye ungo. Vipi kuhusu DNA.

Exodus 7:10-12 New King James Version​

10 So Moses and Aaron went in to Pharaoh, and they did so, just as the Lord commanded. And Aaron cast down his rod before Pharaoh and before his servants, and it became a serpent.

11 But Pharaoh also called the wise men and the [a]sorcerers; so the magicians of Egypt, they also did in like manner with their [b]enchantments. 12 For every man threw down his rod, and they became serpents. But Aaron’s rod swallowed up their rods.
 
Sayansi imekataa..
Lakini najiuliza ni kweli wazazi wamfananishe mtoto wao wa miaka 8..!![emoji848]

Kwani limit/mpaka wa ushirikina ni wapi..!!?[emoji848] ivi ushirikina hauwezi kumanipulate majibu ya kisayansi on it's favour..!?[emoji848]

Ni mara ngapi tunasikia mtu huyu amepimwa (sayansi) amekutwa na ugonjwa flan, akienda kwa mganga/kuombewa anaambiwa alitupiwa jini na anapona completely, akirudi kwenye sayansi ugonjwa hauonekani.

Scenario
Mwanzoni mwa April nilienda Tanga. Mtaa niliofikia wana story za mgonjwa anaeumwa kila kitu, i mean kila kitu. Yani amepimwa sukari ipo, UTI ipo, ukimwi upo, shinikizo la damu lipo, malaria yapo, typhoid ipo, STD's zipo, yaani kila kitu (at least alichopima). Na ana tezi dume linakaribia kuburuza chini na limeoza na kuozesha mapaja upande wa ndani (samahani kama umepata kinyaa au msisimko hasi). Huyu mgonjwa namimi nilimuona

Ni mtu wa 35-38 story zinasema alianza kunusa hela akapita na vibinti sana, alifika na kwa mke wa mtu, akaonywa bila kusikia. Sasahivi kila anaeenda kumtembelea anamuomba akamuombee msamaha kwa mwenye mke.

Swali linabaki, how far can "ushirikina" go
Watu wanapaa bila engine, wanapita ukutani vipi kuhusu hayo majibu kua compromised na ushirikina? In any ways

Gravitational force inakua takataka kwa mshirikina mwenye ungo. Vipi kuhusu DNA.

Sayansi haidanganyi ukiona ugonjwa haujaonekana nenda hospital kubwa.
 
Back
Top Bottom