Vipindi vya michezo vya redio "vitanoga" sana wiki hii nzima

Vipindi vya michezo vya redio "vitanoga" sana wiki hii nzima

Yanga Ipo kwenye njia sahihi, Mpira unaonekana, timu inaonekana kinachotakiwa kuongeza quality uwanjani muda si mrefu timu itafika mbali kimataifa.
Kwa apa ndani timu bado itaendelea kubeba Mataji ila Kwa soka la Africa kunahitajika figisu na kuhonga sana Marefa.
Nime mwelewa MO alipo amua kukimbilia kwenye Ngumi, amechoka kuhonga na bado timu Haina Cha maana inacho pata.

Nakushauri uongozi ni Bora kuchelewa kufanikiwa katika ngazi ya kimataifa kuliko kutumia nguvu nyingi kuhonga Marefa Ili utoboe Makundi na mwisho wake ni aibu tupu.
Uongozi ujikite katika kuendelea kujenga timu ya ushindani tulipofika ai pabaya.
 
Yanga Ipo kwenye njia sahihi, Mpira unaonekana, timu inaonekana kinachotakiwa kuongeza quality uwanjani muda si mrefu timu itafika mbali kimataifa...
Uzuri ni kwamba akili za mashabiki na viongozi wao zinaendana.

Yanga alipopigwa na Vipers 2-0 ilikua ndio picha halisi ya timu Kimataifa.

Badala ya kujipanga zaidi kwa kucheza mechi nyingi za kirafiki za Kimataifa,viongozi wakapeleka timu wakaifungia Avic town baada ha hapo wakaanza kutafuta timu za kuokoteza then mashabiki wakasema timu yao ni nzuri kimataifa. Haya sasa kiko wapi.
 
Yanga Ipo kwenye njia sahihi, Mpira unaonekana, timu inaonekana kinachotakiwa kuongeza quality uwanjani muda si mrefu timu itafika mbali kimataifa...
Sikujua kuwa kumbe kuna Siku huwa unakuwa na Akili hivi na Kuongea Kimpira (Kispoti) zaidi.
 
Yanga Ipo kwenye njia sahihi, Mpira unaonekana, timu inaonekana kinachotakiwa kuongeza quality uwanjani muda si mrefu timu itafika mbali kimataifa.
Kwa apa ndani timu bado itaendelea kubeba Mataji ila Kwa soka la Africa kunahitajika figisu na kuhonga sana Marefa.
Nime mwelewa MO alipo amua kukimbilia kwenye Ngumi, amechoka kuhonga na bado timu Haina Cha maana inacho pata.

Nakushauri uongozi ni Bora kuchelewa kufanikiwa katika ngazi ya kimataifa kuliko kutumia nguvu nyingi kuhonga Marefa Ili utoboe Makundi na mwisho wake ni aibu tupu.
Uongozi ujikite katika kuendelea kujenga timu ya ushindani tulipofika ai pabaya.
Unaendelea kujenga timu ya ushindani kwa kutumia wachezaji wazee. Kikosi kilichocheza jana kina wastani wa miaka 30. Kwa kifupi msimu ujao 70% ya wachezaji hao hawatakuwa na uwezo wa kushindana.
 
Yanga Ipo kwenye njia sahihi, Mpira unaonekana, timu inaonekana kinachotakiwa kuongeza quality uwanjani muda si mrefu timu itafika mbali kimataifa.
Kwa apa ndani timu bado itaendelea kubeba Mataji ila Kwa soka la Africa kunahitajika figisu na kuhonga sana Marefa.
Nime mwelewa MO alipo amua kukimbilia kwenye Ngumi, amechoka kuhonga na bado timu Haina Cha maana inacho pata.

Nakushauri uongozi ni Bora kuchelewa kufanikiwa katika ngazi ya kimataifa kuliko kutumia nguvu nyingi kuhonga Marefa Ili utoboe Makundi na mwisho wake ni aibu tupu.
Uongozi ujikite katika kuendelea kujenga timu ya ushindani tulipofika ai pabaya.

Lomalisa
Bangala
Bigirimana
Djuma shabani
Fei toto

Etc etc

Wote hawa ni wachezaji used sana na ndo uti wa mgongo wa timu.

Njoo simba unakutana na Inonga,kanoute, sakho, okrah, isra, phiri, banda, zimbwe, kibu,onyango, outarra kennedy hawa wote bado ni wadogo na ndo first eleven .
 
Lomalisa
Bangala
Bigirimana
Djuma shabani
Fei toto

Etc etc

Wote hawa ni wachezaji used sana na ndo uti wa mgongo wa timu.

Njoo simba unakutana na Inonga,kanoute, sakho, okrah, isra, phiri, banda, zimbwe, kibu,onyango, outarra kennedy hawa wote bado ni wadogo na ndo first eleven .
Okrah 27,phiri 29
 
Hakuna timu inayo chukua ubinwa na wavulana, wachezaji wenye umri mkubwa wanahitajika, watatu,wanne sio mbya.
 
Hakuna timu inayo chukua ubinwa na wavulana, wachezaji wenye umri mkubwa wanahitajika, watatu,wanne sio mbya.
Sasa timu ina wachezaji wenye umri mkubwa 98%. BTW timu gani ilishachukua ubingwa ikiwa na wazee?
 
Redio mchongo na wachambuzi uchwara wanaona aibu kwa walivyokuwa wanaisema vibaya SIMBA SC huku wakiwaaminisha mashabiki wa YANGA kuwa wana timu bora.
 
Redio mchongo na wachambuzi uchwara wanaona aibu kwa walivyokuwa wanaisema vibaya SIMBA SC huku wakiwaaminisha mashabiki wa YANGA kuwa wana timu bora.
Yanga wanatimu Bora kuliko Simba, Swala la matokeo ya mchongo mnayopata aiondoi ubora wa Yanga. Ukipenda ndivyo ilivyo, ukikataa ndivyo ilivyo.
 
Yanga Ipo kwenye njia sahihi, Mpira unaonekana, timu inaonekana kinachotakiwa kuongeza quality uwanjani muda si mrefu timu itafika mbali kimataifa.
Kwa apa ndani timu bado itaendelea kubeba Mataji ila Kwa soka la Africa kunahitajika figisu na kuhonga sana Marefa.
Nime mwelewa MO alipo amua kukimbilia kwenye Ngumi, amechoka kuhonga na bado timu Haina Cha maana inacho pata.

Nakushauri uongozi ni Bora kuchelewa kufanikiwa katika ngazi ya kimataifa kuliko kutumia nguvu nyingi kuhonga Marefa Ili utoboe Makundi na mwisho wake ni aibu tupu.
Uongozi ujikite katika kuendelea kujenga timu ya ushindani tulipofika ai pabaya.
Kwa hyo kwenye mechi za nyumbani ile mechi ya AZAM ilikuwa halali kupata droo au bahasha gani unazungumzia
 
Unaendelea kujenga timu ya ushindani kwa kutumia wachezaji wazee. Kikosi kilichocheza jana kina wastani wa miaka 30. Kwa kifupi msimu ujao 70% ya wachezaji hao hawatakuwa na uwezo wa kushindana.
Diara, Kibwana, Dickson Job, Mwamnyeto, Feisal Salum, Tuisila Kisinda, Stefan Aziz K, Mayele, Jisus Moloko, Farid Musa. Tafuta Mzee kati ya hao alafu utafute iyo Asilimia 70 unayosema. Ao niwachezaji ambao mara nyingi Wana anza kikosi Cha kwanza.
 
Uzuri ni kwamba akili za mashabiki na viongozi wao zinaendana.

Yanga alipopigwa na Vipers 2-0 ilikua ndio picha halisi ya timu Kimataifa.

Badala ya kujipanga zaidi kwa kucheza mechi nyingi za kirafiki za Kimataifa,viongozi wakapeleka timu wakaifungia Avic town baada ha hapo wakaanza kutafuta timu za kuokoteza then mashabiki wakasema timu yao ni nzuri kimataifa. Haya sasa kiko wapi.
Mechi ya vipers na ile ya coastal union pale arusha ndo ilikuwa kipimo sahihi cha caf champions league match ila wakaweka pamba.
 
Yanga Ipo kwenye njia sahihi, Mpira unaonekana, timu inaonekana kinachotakiwa kuongeza quality uwanjani muda si mrefu timu itafika mbali kimataifa.
Kwa apa ndani timu bado itaendelea kubeba Mataji ila Kwa soka la Africa kunahitajika figisu na kuhonga sana Marefa.
Nime mwelewa MO alipo amua kukimbilia kwenye Ngumi, amechoka kuhonga na bado timu Haina Cha maana inacho pata.

Nakushauri uongozi ni Bora kuchelewa kufanikiwa katika ngazi ya kimataifa kuliko kutumia nguvu nyingi kuhonga Marefa Ili utoboe Makundi na mwisho wake ni aibu tupu.
Uongozi ujikite katika kuendelea kujenga timu ya ushindani tulipofika ai pabaya.
Pole sana [emoji16][emoji2][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom