Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)


Pole au ndo ww ndege ikivyo anza kupaa akaanza kujikaza na kungangania kibin
 
hahaha hii thread makes me laugh jaman..daah watanzania tuna chakujivunia..amani na furaha sana..
mie nashkuru siku yangu ya kwanza ilikua 2004 nilikua na dadayangu ambae mzoefu wa pipa..so akivua viatu nami navua chap..akienda uwani namim huyoo
 
Hiyo cha mtoto ndge yangu ya kwanza kupanda ni lift ya ndege za jesh

imefka juu nina njaa hatari nkacimama kwenda kwa pilot kuomba chakula akanicmamisha mzee mmoja

mpaka natua hata embe la kumumuny

mpaka kesho ujanpandsha ndge ya jesh tena
 

Ila uache wizi (plagiarism) its academic offence
 
Last edited by a moderator:

Duh! hahaha
 
Unge acknowledge
By Free dictionary kwa sababu sio mawazo yako

he he he....ningekwambia logbook nini ungebisha kama ulivyombishia Masanja ndio maana nimekuwekea na tafsiri ya dictionary na inaonyesha wazi ni dictionary.....anyway sijaona kituko chako ulivyopanda ndege..... siku njema.
 
hahahahah dah hii thread ni balaa, nimecheka sana aisee
 
Nakumbuka Mara yangu ya kwanza kukwea pipa its was 2008 nikiwa chuo,baba riz alikuja mwanza wakati anaenda dsm alitupa lift.

Hiyo siku sitaisahau kwan nilianza kumlaani mkulu kwa nini alinipa lift
Wakati inatua airport nilitaman kulia kwan utumbo ulitaka kuchomoka.
 
Kwa ufupi ni kwamba panda ndege miaka nenda rudi,ndege hazizoeleki ndege zinaoogopesha zinapoyumba angani.Kuna bahadhi ya watu wana "allergy"ya kupanda ndege-hawapandi ndege kabisa.

Mimi nillipanda mwaka 1997 kwa mara ya kwanza Dar-Mwz ATC, sikuelewa kilichotokea nilishtukia tunaelea juu ya mawingu. Nakumbuka Rubani alikuwa Rubani WILILO
 
Mimi ilikuwa from Dar to Switzerland...kwenda haikua shida, ngoma wakati tunarudi kuanzia Nairobi hadi Dar!

Masikio yalikuwa yanauma hadi machozi yalitoka (wale wahudumu wanakazi ya kunambia bana pua then fanya kama unapuliza kitu pasipo fumbua mdomo, kuna hewa itatoka masikioni, kimeo tupu loh...thanks God hapana urefu hapa)
 
Huu uzi umenifanya nicheke sana peke yangu leo!!!

Mi naona ndiyo nimecheka zaidi
Hasa nikikumbuka mi ngazi za Jomo Kenyatta airport zilivyonitoa nishai, nilivyoona ngazi zinatembea nikataka kurudi nilikotoka but toka mwa huo wa 1998 mpaka leo ngazi za hivyo sizipendi kabisa!
 
Reactions: ram
1992...ndege ya serikali dar to kia...ndani ya ndege hakukuwa na vituko...kasheshe ilikuwa ni baada ya kufika....yaaani nilihajikisha kila ninayepishana nae anajua kuwa nimekuja kwa ndege

Nimecheka mpaka basi!!!!!!!!!!!!!! daah!
 
Umenichekesha sana ,hilo la madereva tax kulalamika kuhusuabiria wa fastjet lilishanikuta hata mimi.

Dereva tax alinikimbila akawa anawaambia wenzie "changamkieni abiria wadau imetua precisionair ,ikija fastjet tutalia ". Baadae njiani nikamuuliza dereva tax kwanini alisema vile ,akanijibu "kaka wateja wa fastjet hawapandi tax japo ni wengi kiama ,hata hao wachache wanaojitahidi kupanda - wakipanda wanatulalia sana bei ".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…