Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,133
mimi ilikua 2014 dar to mbeya. Nilikua napiga kelele kua Ticket yangu Haina City No. kumbe unapewa City No. pindi napanda.
nilipopanda nikawa nakenua meno kila mtu ananishangaa. alafu nilikua na viroba vya konyag
Kwahiyo mnataka kuniambia nikipanda na maindi yangu ya kuchemsha na tumuogo twangu twa kuchoma twa kulegezea njaa njiani watanshusha!!
Mwee!! Vibaya hivyooo!!
Mimi niling'ang'ania kuingilia pale inapoingia mizigo sikupenda kabisa kutenganishwa na mizigo yangu.Halafu nilikosea mlango wa chooni nikaingia kwa rubani dah!
Mi nilikua natoka Iringa kwenda Dar 2008 na ndege ya aridhini inaitwa Sumry, hizo kona za Iyovi ni balaa
Mi nilikua natoka Iringa kwenda Dar 2008 na ndege ya aridhini inaitwa Sumry, hizo kona za Iyovi ni balaa
Mimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...
jamani fastjet imekuja TZ changamkieni tiketi za 32,000 anagalau mtoe ushamba wa ndege
day 1 nili enjoy sanaaaa yani sanaaaa
baada ya hapo safari zilizofata ni hofu tupu as ..sipendi wakati inapoanza kuruka na wakati wa kutua. Pia hali ya hewa ikiwa mbaya safar inakuwa hovyo.
kioja changu kilikuwa kwenye pasport jamani.. nilipata ile ya muda as ilikuwa ya karatasi huyo mbio stationary kuifanyia lamination eti isiharibike. Walahi kama sio yule binti wa stationery sijui huko airport ingekuwaje ..looo!
Lakini sema la ukweli first experience kwenyd ndege sio mchezo.
Kund msiba flani ulitokea Arusha wa mtu wa hapa ICTR-UN sasa yule bwana alikuwa mtu wa Congo ikabidi mama mmoja local nae akaenda huko Congo kumzika jamaa.
Shida ilikuja wakati mambo tayari ndege iko kwenye run way ndo inaacha ardhi mama alishikwa na tumbo la dharura yule alipiga yowe moja kilichofwata sina kumbukumbu nacho vyema
Kwani ilibidi pilot apige turn up kwa sababu za kiafya kwani hali haikuwa muhali hata kidogo me nlijuaga watu huwa wanatapika tu
Kwenye ndege lakini yule mmama alienda some extra Miles Jamani.
Mimi sikumbuki vizuri,ila nina zaidi ya masaa laki moja hewani