Lakini sema la ukweli first experience kwenyd ndege sio mchezo.
Kund msiba flani ulitokea Arusha wa mtu wa hapa ICTR-UN sasa yule bwana alikuwa mtu wa Congo ikabidi mama mmoja local nae akaenda huko Congo kumzika jamaa.
Shida ilikuja wakati mambo tayari ndege iko kwenye run way ndo inaacha ardhi mama alishikwa na tumbo la dharura yule alipiga yowe moja kilichofwata sina kumbukumbu nacho vyema
Kwani ilibidi pilot apige turn up kwa sababu za kiafya kwani hali haikuwa muhali hata kidogo me nlijuaga watu huwa wanatapika tu
Kwenye ndege lakini yule mmama alienda some extra Miles Jamani.