Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)


Duh, hii ni nouma. Yaan kama ni muuza chips anakuuliza "niweke kila kitu?"
 
Pipa line rata yake Jamani asikuambie mtu. Hasa ukutane na mabrazameni na masistaduu wa Facebook Full kujishebedua picha mpaka Toilet
 
Kuna kali zaidi niliibakiza.Hizo labda siku moja ntaziweka kwenye film maana ni vunja mbavu.

Duh, hii ni nouma. Yaan kama ni muuza chips anakuuliza "niweke kila kitu?"
 
Daah Shikamoo fast jet Bila ww ndege ningeisikia kwenye radio tu
 
Mimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...

Daaaa! Pole Mkuu.
 
Mimi siku ya kwanza itakuwa mwakani. Asanteni
 
kuna mtu alipiga magoti Amsterdam wakati wanaunga ndege waende switz. Haya ni maneno waliokuwa karibu walimsikia akisema.
"eh baba! ushukuriwe kwa kunifikisha huku juu mbinguni baba! duniani dhiki na shida nyng baba! Mweh ndaga mwalafyale mweh"

Comment zote sijacheka, ila hii. Mwisho duuuuu
 
Tuchangamkie ofa za Fastjet kabla hazijaisha. Hope hata baada ya Uongozi wa Prof. kwisha Fastjet itaendelea kutoa huduma.
 

Nilishawahi safiri na mzee mmoja wa asili ya kiarabu alikua anasali safari nzima ndio wewe nini mkuu
 
Ndege siku ya kwanza unaweza kuendesha ukachafua hali ya hewa ndegeni. Chezeya Uchawi wa Mungu
 
Mkuu umeniacha hoi yaani saa wakati ndege inapaa we ndo unatia timu eapoti ha ha ha!!! hakika ulifunika mbovu. Ila wengi tumepitia huko
 
Ilikuwa mwaka 2002 toka Mza-Dsm, sikupata tabu yoyote, ila tu nilishindwa kula chakula cha "kizungu" Sandwich, tushazoea maharage na sangara. Hii mikate na majani kama mabichi ktkt ndio vitu gani, nikaona usiwe tabu, nikafunika kiboksi nikanywa soda.

Mimi hivyo vyakula vigeni kwangu sijisumbuagi hata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…