Nyie wote chamtoto, mie nlitua jberg enroute to cape town, nkaulizia mabegi yangu wakati nilisha-chekin mpaka cape.
Halafu kurudi nikawa na mzigo wa ku-claim tax, nkachukua kitoroli cha mzigo nkaweka mabegi, nkaulizia nkaambiwa ni juu na unatumia escalator, jamaa akagoma kunisaidia kupanda nayo maana niliona kabisa kuna kubilingika, basi nkasema liwalo na liwe, nkapanda nacho kufika juu natakiwa nibonyeze chini kwenye mikono ya toroli ili brake ziachie, mwanaume nkajikuta nimengangania mwisho wa escalaror na watu wanapanda wananikaribia, kushuka sasa, nikajitoma na toroli tena nkawaza kubilingika, kuangalia watu kama vile wananicheka, nilivyofika chini kuuwa soo kwamba mshamba ikabidi nikimbize toroli sasa najifanya nimechelewa ndege, walinikoma mbona.